Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Ile Biblia yenu inayo mkufuru Roho Mtakatifu kwa kusema Utatu ni (Polytheism) imeshafika huku tz..?Mpinga Kristo tangu lini akawa mtu wa kugawa ukristo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile Biblia yenu inayo mkufuru Roho Mtakatifu kwa kusema Utatu ni (Polytheism) imeshafika huku tz..?Mpinga Kristo tangu lini akawa mtu wa kugawa ukristo?
Uzinzi na Ulevi zote ni dhambi..Jameni tutumie akilizetu haya mwanamke mzinzi naye atasema "mimi nikizini,nikajisafisha nikarudi kwa mme
Mmeona kila propaganda chafu mnazotunga zinagonga mwamba sasa mnajianika na uongo mwingine. Shetani ameshindwa kwa damu ya Yesu.Ile Biblia yenu inayo mkufuru Roho Mtakatifu kwa kusema Utatu ni (Polytheism) imeshafika huku tz..?
Kanisa la roma ulevi ndo nyumbani kwao na bado eti wanajiita wakristo!Uzinzi na Ulevi zote ni dhambi..
Unafahamu tofauti ya kunywa pombe na kulewa pombe..?7
Mmeona kila propaganda chafu mnazotunga zinagonga mwamba sasa mnajianika na uongo mwingine. Shetani ameshindwa kwa damu ya Yesu.
Hongera sana kwa kushika maagizo ya mungu wako anae agiza kuchukia wengine,ila ss wakatoliki MUNGU wetu anatuagiza kuwapenda hata wanaojiinua kuwa adui zetuHizi biashara za dini zina lipa sana!
hakuna dhehebu nnalolichukia kama waroma...na hayo madude wanayaabudu na kwenda kinyume na amri za Mungu.
imeandikwa usijifanyie sanamu ya kuchonga wala kitu chochote kilicho mfano mbinguni,baharini,nchi kavu etc...na kukiabudu.
lakini hawa ndo kwanza ukiingia unakuta kila kona wamechonga masanamu ya maria mtakatifu...masanamu ya yesu..hivi mliwah kuwaona? nyie ndo kwanza mmekazana na rozari mnabusu na zina sanamu ya yesu..ni wazima nyie?
mnachefua.
Hivi unajia pia wewe ni sanamu kwa mujibu wa biblia?hakuna dhehebu nnalolichukia kama waroma...na hayo madude wanayaabudu na kwenda kinyume na amri za Mungu.
imeandikwa usijifanyie sanamu ya kuchonga wala kitu chochote kilicho mfano mbinguni,baharini,nchi kavu etc...na kukiabudu.
lakini hawa ndo kwanza ukiingia unakuta kila kona wamechonga masanamu ya maria mtakatifu...masanamu ya yesu..hivi mliwah kuwaona? nyie ndo kwanza mmekazana na rozari mnabusu na zina sanamu ya yesu..ni wazima nyie?
mnachefua.
Je unajua kuwa we pia ni sanamu?Bible imeandikwa usitengeze sanamu,wala kitu chochote mfano wa Mungu,ukakiweka madhabahuni,ni kosa kubwa sana mbele za Mungu,
Wasabato na kuingilia mambo ya Kiristo wapi na wapi..?Kanisa la roma ulevi ndo nyumbani kwao na bado eti wanajiita wakristo!
Ufunuo 5:8Hivi ufunuo inasemaje kuhusu watakatifu? Naomba mwongozo
Yesu ni Mungu na ndiye Mwakozi wetu. Mungu ni mmoja katika Utatu Mtakatifu. Blessed Trinity. Shetani na wakala qake roman catholic wamwshindwa. Wametunga uongo wa kila namna kuchafua Kanisa la Mungu lakini wanazidi kishindwa.Wasabato na kuingilia mambo ya Kiristo wapi na wapi..?
Unataka kuwa Mkristo...?
Hajui kuwa Sanamu ni mfano wa kitu..Je unajua kuwa we pia ni sanamu?
Yesu ni Mungu na ndiye Mwakozi wetu. Mungu ni mmoja katika Utatu Mtakatifu. Blessed Trinity. Shetani na wakala qake roman catholic wamwshindwa. Wametunga uongo wa kila namna kuchafua Kanisa la Mungu lakini wanazidi kishindwa.
Kwataarifa yako mwokozi wenu ni Nabii Mke Ellen Gould White...Yesu ni Mungu na ndiye Mwakozi wetu. Mungu ni mmoja katika Utatu Mtakatifu.
Yesu ni Mungu na ndiye Mwakozi wetu. Mungu ni mmoja katika Utatu Mtakatifu. Blessed Trinity. Shetani na wakala qake roman catholic wamwshindwa. Wametunga uongo wa kila namna kuchafua Kanisa la Mungu lakini wanazidi kishindwa.
Daah..inapendeza sana...Hilo ndio Kanisa moja Takatifu Katoliki la Mitume...