Unaakili timamu wewe...??? Kanisa la Matendo ya Mitume ndio kituko gani...??? Hiyo "ni sawa na kusema" ni mujibu wa rejea gani...???Na kwataarifa yako, hayo siyo Makanisa ila mi
Yes! Kina Petro na Paulo waliuawa na utawala huo....Kwa heshima yao kama miamba ya Kanisa, yakajengwa makanisa makubwa..mf St. Peters Basilica na St. Paul basilica...
Hasira hizi sio bure zatoka kwa yule muovu baada ya propaganda zenu kugonga mwambaKwataarifa yako mwokozi wenu ni Nabii Mke Ellen Gould White...
Wasabato mna Mungu nyie...? Mungu gani. ? Labda Hiram Edson na John Snow na EGW(Polytheisism)
Hapa eti hawasujudii sanamu!Inna lillahi waina lillahi rajiun
View attachment 510732
View attachment 510733
View attachment 510734
Ndugu yangu....Haya ninayokuambia niyatolee wapi zaidi ya kwenye Biblia ya Wasabato(The Clear Word Bible)...?Hasira hizi sio bure zatoka kwa yule muovu baada ya propaganda zenu kugonga mwamba
Si unamuona mwenzako huyo......Hapa eti hawasujudii sanamu!
Hapo ndo ujue kiwa msabato anakutakia mema utoke huko babeli ili uepukane na adhabu ya mauti. Kumbuka kayika kanisa la roma ndipo kilipo kiti cha enzi cha shetani.Hivi wasabato, wakatoliki wamewakosea nini, hakuna maada hata moja ya msabato utakuta inafundisha neno la Mungu tofauti na kuwakosoa wakatoliki,
Hakuna hata mmoja atakae kwenda mbinguni kwa ajili ya dini yake,, Yesu mwenyewe kasema sio kila atajae bwana bwana atauona uzima wa milele,, wote wenye moyo safi ndio watakao muona bwana,
Sasa nyie kalieni kuwasema wakatoliki ni kama wao ndio wamefanya mioyo yenu iwe michafu,,,
Mtatoa mapovu lakini kabisa katoliki litakuepo mwanzo mpaka mwisho wa ulimwengu huu, izo effort zenu mnazotumia kuliharibu mngezitumia kuwekeza hata bustani za matunda leo mngekua ma barkhesa wadogo,,
Nawakumbusha tena wasabato, sio wenye dini safi ndio watakao muona BWANA,, bali wenye moyo safi.
Unakuta jitu linawatukana wakatoliki kua wanaabudu sanamu wakati jana tu lenyewe limetoka kuzini,,
Safi sana nimekuelewa .nimejifunza kituUnaakili timamu wewe...??? Kanisa la Matendo ya Mitume ndio kituko gani...??? Hiyo "ni sawa na kusema" ni mujibu wa rejea gani...???Na kwataarifa yako, hayo siyo Makanisa ila miji....Umesahau na Roma...au hukuona Epistle ya St. Paul to Romans...???
Roma ni mji mkuu wa nchi ya Italia...
Sawa kabisa..iliitwa Roman Empire
Yes! Kina Petro na Paulo waliuawa na utawala huo....Kwa heshima yao kama miamba ya Kanisa, yakajengwa makanisa makubwa..mf St. Peters Basilica na St. Paul basilica...
Ndugu Msabato ambaye siye Mkristo mambo ya Wakristo yanamhusu nini...??Hapo ndo ujue kiwa msabato anakutakia mema utoke huko babeli ili uepukane na adhabu ya mauti. Kumbuka kayika kanisa la roma ndipo kilipo kiti cha enzi cha shetani.
Yule mtumishi aliyekuwa amelewa? Yupi huyo ebu tutajie jina lake na sisi tumjue au umetunga tuDini zimeingiza wengi kuzimu na zinazidi kupeleka wengi kuzimu.Kutokusoma Biblia kumakuwa ni tatizo la wengi matokeo yake mmetengnezewa vijitabu vingine kwani mkiachwa msome Biblia mtaujua ukweli.Huu ushabiki wa dini bila kuchunguza utakupeleka Jehanamu ,unaweza zania unaiponya nafsi yako kumbe unaiangamiza.
Yesu alikuwa wazi kwa habari ya hizi dini alisema "mtawatambua kwa matunda yao".Leo anngalia wafuasi wa hizo zinazosemwa ni dini za Mungu,tabia zao zikoje na je maisha yao katika jamii yakoje?
Huko disco wanaoenda ni wapagani?Je vilabuni?Vipi fiesta nako wote ni wapagani?
Umekaa kwenye dini yako miaka kibao lakini haijakusaidia hata kuishinda dhambi ya kusema uongo.
Muda wa kujilisha upepo umeisha,wengi mnatetea dini zenu kwa sababu hazijawabana na wala haziwakemei kwa habari ya dhambi.Time will tell,kweli mtu unashindwa kujua dini yako ulaya wanafanya nini?na wakileta hayo mambo na huku africa utapona?Mwenye masikio na asikie.Hatuingii mbinguni kwa sababu ya dini,mbinguni vinaingia vilivyo vitakatifu.
Sasa naanza kumwelewe yule mtumishi aliyekutwa amelewa alisema "mambo mengine inategemea kanisa wamekubalianaje" akimanisha kanisa fulani wanaweza kukubaliana jambo fulani si dhambi ingawa kwa kanisa jingine ni dhambi.Hapo inaonyesha Mungu hana nafasi bali ni makubaliano ya wanadamu,wengine wamekubaliana kunywa pombe kidogo si dhambi.
Wana waupotevu sometime wanachekesha utawasikia "mimi nikinywa bia yangu,sijamtukana mtu naenda nyumbani nalala kwani nitakuwa nimetenda dhambi".Jameni tutumie akilizetu haya mwanamke mzinzi naye atasema "mimi nikizini,nikajisafisha nikarudi kwa mme wangu nikampatia haki yake,kwa sababu sijamtukana mtu wala kumwumiza nitakuwa nimefanya dhambi?".
Soma biblia,soma biblia,soma biblia kila siku.
Huyo jamaa naye hajielewi...Anaongelea mambo ya pombe angali biblia imeruhusu kunywa pombe ilaimekataza ulevi.Yule mtumishi aliyekuwa amelewa? Yupi huyo ebu tutajie jina lake na sisi tumjue au umetunga tu
Ameongea kama anahubiri hana factsHuyo jamaa naye hajielewi...Anaongelea mambo ya pombe angali biblia imeruhusu kunywa pombe ilaimekataza ulevi.
Hebu Msome St. Paul akimpa ushauri mujarab Timoteo(Timothy)
1 Timotheo 5:23
Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara.
Naona mmebanwa kila kona hadi mnatia huruma.hatuwachii hadi hayo mapepo ya kwenye rozari na sanamu yawatoke.Ndugu Msabato ambaye siye Mkristo mambo ya Wakristo yanamhusu nini...??
Huu ndo ujinga wa walevi wengi. Aliyekwambia neno mvinyo ni pombe nani? Pombe huwa pombe ama kileo inapotiwa chachu. Divai ama mvinyo ikitiwa chachu huwa pombe. Divai ama mvinyo bila kuchachushwa sio pombe ama kileo. Kwa kifupi mvinyo na divai ni maji yanayokamiliwa kutoka mzabibu. Suala la kuifanya pombe ni juu yako wewe mlevi. Lakini ipo divai ama mvinyo isiyochachushwa ndio Paulo anazungumzia. Na ndio hiyo Yesu alitengeneza katika harusi ya kana.Huyo jamaa naye hajielewi...Anaongelea mambo ya pombe angali biblia imeruhusu kunywa pombe ilaimekataza ulevi.
Hebu Msome St. Paul akimpa ushauri mujarab Timoteo(Timothy)
1 Timotheo 5:23
Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara.
Utahamisha magoli sana kwa kujifanya kukijua Kitabu cha Wakristo (Biblia)...Lakini ipo divai ama mvinyo isiyochachushwa ndio Paulo anazungumzia. Na ndio hiyo Yesu alitengeneza katika harusi ya kana
Naona mmebanwa kila kona hadi mnatia huruma.hatuwachii hadi hayo mapepo ya kwenye rozari na sanamu yawatoke.
Shikamoo kaka! Ubarikiwe muhimu katika maisha ni kujua Neno linakutaka ufanye nini sio mapokeo ya madhehebu!Mimi ni mkatoliki nisiyeunga mkono uwepo wa masanamu kanisani... Na ijumaa kuu huwa sijiangaishi kubusu msalaba. Sisali rozari kwakuwa naamini bikira Maria hawezi kusikia sala zangu...
Ntabakia mkatoliki kwa msimamo wangu.
Huyo jamaa anajiita Mcharo ni Muislam...Naona umepata kampani..Naona mmebanwa kila kona hadi mnatia huruma.hatuwachii hadi hayo mapepo ya kwenye rozari na sanamu yawatoke.
Mimi kitabu changu ni Biblia na Biblia pekeeNimekuuliza Msabato na mambo ya Wakristo wapi na Wapi..???
Hebu ingia Wikipedia kisha andika Xtian Religion...Watakutajia sects zote za Kikristo....
Mwishoni kabisa wanamalizia na
"Other Groups that Claims to be Christian hapa utakutana na SDA, Mormon, Jehova Witness...
Wasabato msipende kujipendekeza kwenye dini ya Kikristo..