Ukweli Kuhusu Wakazi Halisi wa Nchi Takatifu (the Holy Land)

Ukweli Kuhusu Wakazi Halisi wa Nchi Takatifu (the Holy Land)

MSIKILIZE BENJAMIN NATANYAHU kuhusu mada hii
 

Attachments

  • Facebook 6936883743034728(SD).mp4
    5.1 MB
Hakuna nchi takatifu hapa duniani zaidi ya Tanzania, Kenya, Ethiopia. Hizi ndizo nchi ambazo mwanadamu wa kwanza anapatikana hapa, hakuna taifa lingine hapa duniani ambalo linaweza kusema hivyo na ushuhuda tunao wa kuona si wa kusimuliwa tu toka kwenye vitabu vilivyotungwa na binadamu. Never trust the Bible, Qur'an na Torat, si vitabu vya kweli.
Imeandikwa wapi?
 
Hakuna nchi takatifu hapa duniani zaidi ya Tanzania, Kenya, Ethiopia. Hizi ndizo nchi ambazo mwanadamu wa kwanza anapatikana hapa, hakuna taifa lingine hapa duniani ambalo linaweza kusema hivyo na ushuhuda tunao wa kuona si wa kusimuliwa tu toka kwenye vitabu vilivyotungwa na binadamu. Never trust the Bible, Qur'an na Torat, si vitabu vya kweli.
Tanzania,Kenya na Ethiopia mmefanya nini kwenye maendeleo ya kiroho na kimwili zaidi ya kuwa waabudu mizimu na wapenda ngono.
 
Shetani na yesu wakipiga Sana story,so yesu alimsikiliza shetani
Jamani wana JF huyu bwana inammankusweke anashingo ngumu na kutaka kupingana na NENO HALISI LA MUNGU; kwanza ni mwambie tu kuwa katika biblia, hususani Injili hakuna aya inayohamasisha chuki dhidi ya dini yeyote. kwahiyo sisi wakiristo tunapoofichua UONGO na CHUKI zilizoandikwa kwenye QURAN ni kwa upendo tu ili wasije wakaangamia na hiyo dini ya UONGO. Sasa hapa penye video huyo ni MSAUDI ARABIA. Kwanza kabisa WAISLAMU jiulizeni kwanini HAYA MAANDAMANO yanayoendelea kuunga Mkono HAMASI HAMJA SIKIA WASAUDI ARABIA WAKIANDAMANA?
Huyu msaudi pamoja na mambo mengine amesema kitu kizuri sana kuwa hiyo AL Aqsa mosque mnayosema Mohamed alipelekwa na ALLAH KUWA ni hiyo ya Jerusalam ni UONGO. iko Al Aqsa nyinginne huko huko Saudia. Hili Jengo la Jerusalam lilijengwa mwaka wa 668 wakati Mtume alikuffa mwakka wa 632. Tafadhali tafakarini sana maneno haya kwani AGENDA zao za Kijahidina na Muslim Brotherhood Wasaudia wamegundua zina udiscredit Uisllam ndiyo maana hawawaungi Mkono. Watasema mbona Crown Prince Bin Salman ametamkuwa kuwa na Wapalestina? kwanza amesema Palestina na siyo Hamas; mbili ni tamko la kisiasa tu hilo ndiyo maana hata statement yake imekuwa well crafted
 
Jamani wana JF huyu bwana inammankusweke anashingo ngumu na kutaka kupingana na NENO HALISI LA MUNGU; kwanza ni mwambie tu kuwa katika biblia, hususani Injili hakuna aya inayohamasisha chuki dhidi ya dini yeyote. kwahiyo sisi wakiristo tunapoofichua UONGO na CHUKI zilizoandikwa kwenye QURAN ni kwa upendo tu ili wasije wakaangamia na hiyo dini ya UONGO. Sasa hapa penye video huyo ni MSAUDI ARABIA. Kwanza kabisa WAISLAMU jiulizeni kwanini HAYA MAANDAMANO yanayoendelea kuunga Mkono HAMASI HAMJA SIKIA WASAUDI ARABIA WAKIANDAMANA?
Huyu msaudi pamoja na mambo mengine amesema kitu kizuri sana kuwa hiyo AL Aqsa mosque mnayosema Mohamed alipelekwa na ALLAH KUWA ni hiyo ya Jerusalam ni UONGO. iko Al Aqsa nyinginne huko huko Saudia. Hili Jengo la Jerusalam lilijengwa mwaka wa 668 wakati Mtume alikuffa mwakka wa 632. Tafadhali tafakarini sana maneno haya kwani AGENDA zao za Kijahidina na Muslim Brotherhood Wasaudia wamegundua zina udiscredit Uisllam ndiyo maana hawawaungi Mkono. Watasema mbona Crown Prince Bin Salman ametamkuwa kuwa na Wapalestina? kwanza amesema Palestina na siyo Hamas; mbili ni tamko la kisiasa tu hilo ndiyo maana hata statement yake imekuwa well crafted
View attachment 2784503
Nawasihi muisikilize vizuri hii video na kuangalia hizo subtitles zake kwani huyu msaudi Arabia ndiyo kamaliza kabisa case kati ya Waisrael na hao wanaojiita Wapalestina kwa kutaka kutimiza AGENDA zao za Siasa kali"
1. Anasema hiyo wanayosema Al Aqsa ya Jerusalem kiukweli ni Alquds ambayo ilijengwa na Hisham mwaka 682 baada ya Mtume kuwa aliisha kufa yapata miaka 50. Al Aqsa ya kweli iko Saudia kilometa 29 toka mji unaitwa Taif
2. Wapalestina they have no Land, the Land belongs to the Jews; Kumbukeni mwanzo mwa uzi huu nilisema mbali ya Makabila 12 ya Israel, wengine waliokuwa Wakazi wa palestine land ni Wafilisti. Lakini baada ya kuchukuliwa Utumwani na Nabukadreza hawakuja kurudi tena, na nikaonyesha na maandiko yanayothibitisha. Mwisho mwa Uzi nikasema hivyo kihalisi waliokuja kubaki kama wakazi wa nchi hiyo ni Wayahudi. Waarabu walikuja kuvamia tu; Hivyo Wangekuwa Wastaarabu basi wangekubali Mpango wa UN 1947, tusingefika hapa tulipo; Mungu amewaacha wafanye shingo ngumu kama alivyomwachaga Pharao, ili kuangamizwa kwake kuwe kwa Kishindo-Wanaanza kukataliwa hata na Waarabu wenzao
3. Huyo Msaudi Arabia kwa jinsi alivyokereka na Wapalestina, anadiriki hata kumuita Natanyahu kuwa ni coward kwanini hakuwaangamiza kabisa hao criminals
My take
Huu ugomvi walioanzisha Hamas utapelekea watu wengi hasa waarabu kupata ukweli na hivyo kutupeleka kwenye kupata Amani huko Mashariki ya Kati. HIYO AMANI ITAKAYOPATIKANNA, PIA INAMAANA YAKE KULINGANA NA BIBLIA STAY TUNED NINAANDAA UZI KUHUSU HICHO KINACHOKARIBIA KUFUATA
 
Nawashauri pia muingie kwenye mtandao mtafute "Hamas Charter 1988" Hapa chini nitawawekea Sehemu ya mwanzo kabisa ya charter na Article 7:
1. Utangulizi kabisa wa charter panasema: Israel will exist and will continue to exist until ISLAM will obliterate it; Hapa inamaanisha kuwa VITA dhidi ya Israel ni ya Waislamu wote. Ona jinsi hawa watu walivyo wabaya
2. Article 7 angalia jinsi ambavyo hiyo charter ilivyoshawishiwa na QURAN; imechukua aya ya Sahihi Muslim Hadith 2922 ambayo inachochea Waislam kuwa kabla, au ni jukumu lao kuwaua wayahudi wote ili kutoa nafasi kwa Allah kuuleta ule Muisho wa Dunia. na hiyo Aya ndiyo wameifanya Slogani ya Harakati zao ili uelewe vizuri hapo ni kuwa Aya hiyo ndiyo KAULI MBIU YAO YA MAPIGANO DHIDI YA ISRAEL- Kama si USHETANI NI NINI HICHO!!
Screenshot (49) 2.png


Screenshot (48) 2.png
 
Jamani wana JF huyu bwana inammankusweke anashingo ngumu na kutaka kupingana na NENO HALISI LA MUNGU; kwanza ni mwambie tu kuwa katika biblia, hususani Injili hakuna aya inayohamasisha chuki dhidi ya dini yeyote. kwahiyo sisi wakiristo tunapoofichua UONGO na CHUKI zilizoandikwa kwenye QURAN ni kwa upendo tu ili wasije wakaangamia na hiyo dini ya UONGO. Sasa hapa penye video huyo ni MSAUDI ARABIA. Kwanza kabisa WAISLAMU jiulizeni kwanini HAYA MAANDAMANO yanayoendelea kuunga Mkono HAMASI HAMJA SIKIA WASAUDI ARABIA WAKIANDAMANA?
Huyu msaudi pamoja na mambo mengine amesema kitu kizuri sana kuwa hiyo AL Aqsa mosque mnayosema Mohamed alipelekwa na ALLAH KUWA ni hiyo ya Jerusalam ni UONGO. iko Al Aqsa nyinginne huko huko Saudia. Hili Jengo la Jerusalam lilijengwa mwaka wa 668 wakati Mtume alikuffa mwakka wa 632. Tafadhali tafakarini sana maneno haya kwani AGENDA zao za Kijahidina na Muslim Brotherhood Wasaudia wamegundua zina udiscredit Uisllam ndiyo maana hawawaungi Mkono. Watasema mbona Crown Prince Bin Salman ametamkuwa kuwa na Wapalestina? kwanza amesema Palestina na siyo Hamas; mbili ni tamko la kisiasa tu hilo ndiyo maana hata statement yake imekuwa well crafted
View attachment 2784503
Soma ummar pact,kelele nyingi maarifa hakuna,huyo msaudia Kama umempenda nenda na mafuta kwake
 
1697561374919.png

Nawasihi muisikilize vizuri hii video na kuangalia hizo subtitles zake kwani huyu msaudi Arabia ndiyo kamaliza kabisa case kati ya Waisrael na hao wanaojiita Wapalestina kwa kutaka kutimiza AGENDA zao za Siasa kali"
1. Anasema hiyo wanayosema Al Aqsa ya Jerusalem kiukweli ni Alquds ambayo ilijengwa na Hisham mwaka 682 baada ya Mtume kuwa aliisha kufa yapata miaka 50. Al Aqsa ya kweli iko Saudia kilometa 29 toka mji unaitwa Taif
2. Wapalestina they have no Land, the Land belongs to the Jews; Kumbukeni mwanzo mwa uzi huu nilisema mbali ya Makabila 12 ya Israel, wengine waliokuwa Wakazi wa palestine land ni Wafilisti. Lakini baada ya kuchukuliwa Utumwani na Nabukadreza hawakuja kurudi tena, na nikaonyesha na maandiko yanayothibitisha. Mwisho mwa Uzi nikasema hivyo kihalisi waliokuja kubaki kama wakazi wa nchi hiyo ni Wayahudi. Waarabu walikuja kuvamia tu; Hivyo Wangekuwa Wastaarabu basi wangekubali Mpango wa UN 1947, tusingefika hapa tulipo; Mungu amewaacha wafanye shingo ngumu kama alivyomwachaga Pharao, ili kuangamizwa kwake kuwe kwa Kishindo-Wanaanza kukataliwa hata na Waarabu wenzao
3. Huyo Msaudi Arabia kwa jinsi alivyokereka na Wapalestina, anadiriki hata kumuita Natanyahu kuwa ni coward kwanini hakuwaangamiza kabisa hao criminals
My take
Huu ugomvi walioanzisha Hamas utapelekea watu wengi hasa waarabu kupata ukweli na hivyo kutupeleka kwenye kupata Amani huko Mashariki ya Kati. HIYO AMANI ITAKAYOPATIKANNA, PIA INAMAANA YAKE KULINGANA NA BIBLIA STAY TUNED NINAANDAA UZI KUHUSU HICHO KINACHOKARIBIA KUFUATA
 
Nawashauri pia msome comment y aliyekuwa Rais wa Misri ambaye ni jirani na Israel labda kuna kitu mtagundua, angesema mwafrika mweusi mngesema anajimwambafy, haya mwarabu mwenzao alishachana mkeka kitambo msome.
1697561688101.png
 
Tanzania,Kenya na Ethiopia mmefanya nini kwenye maendeleo ya kiroho na kimwili zaidi ya kuwa waabudu mizimu na wapenda ngono.
Sawa, nao Waarab wamefanya nini katika kuleta mandeleo hapa duniani? Katika masuala ya kiroho, hapa Afrika kila jamii (kabila) lilikuwa linaamini Mungu kutokana na mila na imani zao kabla ya wasanii Waarab kuja kutudanganya na dini yao isiyo na mashiko kwetu. Katika imani zetu, hatujawahi hata siku moja kuuana kumgombea Mungu kwani kila mmoja aliamini Mungu kwa imani yake kutokana na ukanda anaoishi au kabila lake na tuliishi kwa amani huku tukiheshimiana.

Katika suala la ngono kama unavyodai, sikatai kuwa wanadamu tunapenda ngono na ni kitu ambacho kipo na kugegedana ni haki ya kila mtu kwani ni starehe na pia ni nzuri kiafya. Ukiangalia takwimu kwenye mitandao nchi zinazoongoza kuangalia sinema za X za kujamiana jinsia moja utakuta nchi za Waarab, Pakistan ndiyo vinara na hizi ni nchi za Kiislam. Unapata picha gani hapa? Ndugu zanguni Waislam mnakalia unafiki tu wakati hampendi ukweli, msijidanganye jamani, hamkeni muda ndiyo huu.
 
Soma Science ili ujuwe historia ya binadamu na dunia yenyewe iliyokuzunguka, kama ungeenda shule wala usingeniuliza huu upuuzi.
Mimi siyo mwanasayansi Mimi ni muumini wa Mungu na ni mwanahistoria kindaki ndaki maana History haidanganyi hata siku moja.Hivyo propaganda za kisayansi kwenye uumbaji hazina ukweli wowote.Ila kwenye madawa,maendeleo ya binadamu,viwanda na biashara hapo sayansi ina ukweli.Lakini kwenye uumbaji na Genesis ya Ulimwengu huu sayansi inadanganya.
 
Back
Top Bottom