Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi moja hutambuliwa kwa serikali kuu moja. Hiyo nyingine ni ya Jimbo au ya mtaa?
Kwa mtanganyika hilo ni jambo zuri linalokubalika ila sio kwa mzanzibariKati ya vitu vinavyofanya sisi waafrika tuendelee kuwa maskini ni kutotumia akili zetu vizuri na pia kupenda sana madaraka/ vyeo.
Nimefuatilia kwa muda sasa kuhusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na nilichogundua ni kuwa wale wengi wanaotaka Zanzibar iwe na Serikali au Tanganyika iwe na Serikali yake wengi ni wanasiasa na wanafanya yote hayo kwa maslahi ya kisiasa ili wapate vyeo vya kisiasa na kujinufaisha binafsi.
Pili, nimegundua uwepo wa Serikali 2 au 3 unawanufaisha zaidi hao wanasiasa kwa sababu uwepo wa Serikali hizo unawahikishia kupata nafasi za kisiasa ili waendelee kunufaika na kodi za wananchi kama vile Uwaziri, Ukuu wa Mikoa , Wilaya katika Serikali hizo mbili/tatu.
Mwisho katika ufuatiliaji wangu nimegundua kero hizi zinazoitwa za Muungano kama wabara kutoweza kumiliki Ardhi Zanzibar kama Wa Zanzibar wanavyomiliki Ardhi huku bara dawa yake ni moja tu yaaani Kuwa na Nchi 1 na Serikali 1 tu na Raisi 1 tu.
Ni vizuri tukiwa tunaenda kujenga daraja la kuunganisha Zanzibar na Tanzania tukafikiria pia kuwa sasa tuwe na nchi 1 na serikali 1 tu ili kuepusha sehemu kubwa ya kodi za wananchi kwenda kuhudumia Serikali 2/3 tena ambazo kiuhalisia hazina manufaa yeyote kwa mwananchi wa kawaida
Heri ya Siku ya Wafanyakazi
Sio rahisi kama unavyo fikiri.Na ungana Nawewe 100% Zanzibar ilitakiwa iwe kama Mkoa wa Tanzania ama Kwa njia za kidplomasia, au Kwa kutumia nguvu tu.
Tuilazimishe iwe mkoa uone kama hawajawa taleban, wahuni wataanza jilipia kwa lazima. Hao tuwaacheNa ungana Nawewe 100% Zanzibar ilitakiwa iwe kama Mkoa wa Tanzania ama Kwa njia za kidplomasia, au Kwa kutumia nguvu tu.
Kati ya vitu vinavyofanya sisi waafrika tuendelee kuwa maskini ni kutotumia akili zetu vizuri na pia kupenda sana madaraka/ vyeo.
Nimefuatilia kwa muda sasa kuhusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na nilichogundua ni kuwa wale wengi wanaotaka Zanzibar iwe na Serikali au Tanganyika iwe na Serikali yake wengi ni wanasiasa na wanafanya yote hayo kwa maslahi ya kisiasa ili wapate vyeo vya kisiasa na kujinufaisha binafsi.
Pili, nimegundua uwepo wa Serikali 2 au 3 unawanufaisha zaidi hao wanasiasa kwa sababu uwepo wa Serikali hizo unawahikishia kupata nafasi za kisiasa ili waendelee kunufaika na kodi za wananchi kama vile Uwaziri, Ukuu wa Mikoa , Wilaya katika Serikali hizo mbili/tatu.
Mwisho katika ufuatiliaji wangu nimegundua kero hizi zinazoitwa za Muungano kama wabara kutoweza kumiliki Ardhi Zanzibar kama Wa Zanzibar wanavyomiliki Ardhi huku bara dawa yake ni moja tu yaaani Kuwa na Nchi 1 na Serikali 1 tu na Raisi 1 tu.
Ni vizuri tukiwa tunaenda kujenga daraja la kuunganisha Zanzibar na Tanzania tukafikiria pia kuwa sasa tuwe na nchi 1 na serikali 1 tu ili kuepusha sehemu kubwa ya kodi za wananchi kwenda kuhudumia Serikali 2/3 tena ambazo kiuhalisia hazina manufaa yeyote kwa mwananchi wa kawaida
Heri ya Siku ya Wafanyakazi
Hii ni sawa kabisaKati ya vitu vinavyofanya sisi waafrika tuendelee kuwa maskini ni kutotumia akili zetu vizuri na pia kupenda sana madaraka/ vyeo.
Nimefuatilia kwa muda sasa kuhusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na nilichogundua ni kuwa wale wengi wanaotaka Zanzibar iwe na Serikali au Tanganyika iwe na Serikali yake wengi ni wanasiasa na wanafanya yote hayo kwa maslahi ya kisiasa ili wapate vyeo vya kisiasa na kujinufaisha binafsi.
Pili, nimegundua uwepo wa Serikali 2 au 3 unawanufaisha zaidi hao wanasiasa kwa sababu uwepo wa Serikali hizo unawahikishia kupata nafasi za kisiasa ili waendelee kunufaika na kodi za wananchi kama vile Uwaziri, Ukuu wa Mikoa , Wilaya katika Serikali hizo mbili/tatu.
Mwisho katika ufuatiliaji wangu nimegundua kero hizi zinazoitwa za Muungano kama wabara kutoweza kumiliki Ardhi Zanzibar kama Wa Zanzibar wanavyomiliki Ardhi huku bara dawa yake ni moja tu yaaani Kuwa na Nchi 1 na Serikali 1 tu na Raisi 1 tu.
Ni vizuri tukiwa tunaenda kujenga daraja la kuunganisha Zanzibar na Tanzania tukafikiria pia kuwa sasa tuwe na nchi 1 na serikali 1 tu ili kuepusha sehemu kubwa ya kodi za wananchi kwenda kuhudumia Serikali 2/3 tena ambazo kiuhalisia hazina manufaa yeyote kwa mwananchi wa kawaida
Heri ya Siku ya Wafanyakazi
Kwanini iwe Ivo kwa kisa Gani?kwanini isiwe Malawi or Burundi or Rwanda or Comoro or Mauricio's or sheli sheli or Madagascar.je wajua Tanganyika na Zanzibar zikuwa states tofauti na Kila Moja wao alikuwa na kiti chake pale UN Newyork USA.Na ungana Nawewe 100% Zanzibar ilitakiwa iwe kama Mkoa wa Tanzania ama Kwa njia za kidplomasia, au Kwa kutumia nguvu tu.
Hata wakikubali sharti watakalokuja nalo litazidi kero za sasa, maana lazima utawahakikishia ndo wawe kule juuu kututawala. Hawa watu wametukalia kimabavuMpaka leo huu Muungano umeshikiliwa na CCM na viongozi wake pekee. Maana wananchi wa kila upande wanaona unawanufaisha zaidi wananchi wa upande mwingine.
Na ukisema kuwepo Muungano wa nchi moja; Wazanzibari hawatakubali. Maana wao hawataki kupoteza utaifa wao, na nchi yao! Sasa watu kama hawa wanafaida gani kwenye huo Muungano! Zaidi tu ya kugeuka na kuwa mzigo kwa upande mwingine!!
Mimi natamani kuona siku moja kila upande unajitegemea kwa 100%. Ma siyo haya mauza uza yanayo endelea sasa.
Its insane mpaka sasa hawa jamaa zetu huwa hawautukuzi utanzania.Tukiamua twende kwenye serikali moja, then we just go ahead!, watu wanaitwa Wazanzibari ni ndani tuu ya muungano, nje ya muungano, hakuna Wanzanzibari wala Watanganyika, kuna Watanzania tuu.
P
Wazee wetu walifanikiwa kuunganisha udongo wa Tanganyika na Zanzibar kwa mafanikio makubwa. Walinia kuunganisha Vyama 2 vya Siasa, TANU na ASP wakafanikiwa kwa asilimia mia moja, hatimaye CCM ikazaliwa.Nitawapeni kisa kimoja. Once nilihamia mtaa mmoja ughaibini nikamkuta mwenyeji wangu sikujua ni mtu wa.wapi basi tukawa kunagonga ung'eng'e mara akaniuliza mwenzangu ni mtu kutoka wapi nikamwambia mie Mtanzania ,basi nae akasema alaa !!! Then akanijibu mie mzanzibari, tangu wakati huo hii kitu ilinifikirisha sana .its true story imenitokea mimi escrow.
Naungamkono hojaKati ya vitu vinavyofanya sisi waafrika tuendelee kuwa maskini ni kutotumia akili zetu vizuri na pia kupenda sana madaraka/ vyeo.
Nimefuatilia kwa muda sasa kuhusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na nilichogundua ni kuwa wale wengi wanaotaka Zanzibar iwe na Serikali au Tanganyika iwe na Serikali yake wengi ni wanasiasa na wanafanya yote hayo kwa maslahi ya kisiasa ili wapate vyeo vya kisiasa na kujinufaisha binafsi.
Pili, nimegundua uwepo wa Serikali 2 au 3 unawanufaisha zaidi hao wanasiasa kwa sababu uwepo wa Serikali hizo unawahikishia kupata nafasi za kisiasa ili waendelee kunufaika na kodi za wananchi kama vile Uwaziri, Ukuu wa Mikoa , Wilaya katika Serikali hizo mbili/tatu.
Mwisho katika ufuatiliaji wangu nimegundua kero hizi zinazoitwa za Muungano kama wabara kutoweza kumiliki Ardhi Zanzibar kama Wa Zanzibar wanavyomiliki Ardhi huku bara dawa yake ni moja tu yaaani Kuwa na Nchi 1 na Serikali 1 tu na Raisi 1 tu.
Ni vizuri tukiwa tunaenda kujenga daraja la kuunganisha Zanzibar na Tanzania tukafikiria pia kuwa sasa tuwe na nchi 1 na serikali 1 tu ili kuepusha sehemu kubwa ya kodi za wananchi kwenda kuhudumia Serikali 2/3 tena ambazo kiuhalisia hazina manufaa yeyote kwa mwananchi wa kawaida
Heri ya Siku ya Wafanyakazi
Umetoka nje ya mada yaani umeandika kama Sukuma gangWazanzibari hawana uchungu na Rasilimali za Tanganyika.
Wanazifuja tu.
Wanyama wanawagawa.
Madini wanayagawa kwakua kwao hayapo.
Watanganyika tuwe makini mno na viongozi Toka Zanzibar.
zanzibar kama hawataki muungano itabidi tutumie nguvu ya kadiri kama kwa iddi pale kagera,kisha tuihesabu ka mkoa wa zanzibar,na hatanahivyo jeshi letu c moja ni kitendo cha raisi kutamka tuKati ya vitu vinavyofanya sisi waafrika tuendelee kuwa maskini ni kutotumia akili zetu vizuri na pia kupenda sana madaraka/ vyeo.
Nimefuatilia kwa muda sasa kuhusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na nilichogundua ni kuwa wale wengi wanaotaka Zanzibar iwe na Serikali au Tanganyika iwe na Serikali yake wengi ni wanasiasa na wanafanya yote hayo kwa maslahi ya kisiasa ili wapate vyeo vya kisiasa na kujinufaisha binafsi.
Pili, nimegundua uwepo wa Serikali 2 au 3 unawanufaisha zaidi hao wanasiasa kwa sababu uwepo wa Serikali hizo unawahikishia kupata nafasi za kisiasa ili waendelee kunufaika na kodi za wananchi kama vile Uwaziri, Ukuu wa Mikoa , Wilaya katika Serikali hizo mbili/tatu.
Mwisho katika ufuatiliaji wangu nimegundua kero hizi zinazoitwa za Muungano kama wabara kutoweza kumiliki Ardhi Zanzibar kama Wa Zanzibar wanavyomiliki Ardhi huku bara dawa yake ni moja tu yaaani Kuwa na Nchi 1 na Serikali 1 tu na Raisi 1 tu.
Ni vizuri tukiwa tunaenda kujenga daraja la kuunganisha Zanzibar na Tanzania tukafikiria pia kuwa sasa tuwe na nchi 1 na serikali 1 tu ili kuepusha sehemu kubwa ya kodi za wananchi kwenda kuhudumia Serikali 2/3 tena ambazo kiuhalisia hazina manufaa yeyote kwa mwananchi wa kawaida
Heri ya Siku ya Wafanyakazi