Ukweli lazima usemwe, Tunahitaji Muungano wa Serikali 1 tu

Ukweli lazima usemwe, Tunahitaji Muungano wa Serikali 1 tu

Kati ya vitu vinavyofanya sisi waafrika tuendelee kuwa maskini ni kutotumia akili zetu vizuri na pia kupenda sana madaraka/ vyeo.

Nimefuatilia kwa muda sasa kuhusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na nilichogundua ni kuwa wale wengi wanaotaka Zanzibar iwe na Serikali au Tanganyika iwe na Serikali yake wengi ni wanasiasa na wanafanya yote hayo kwa maslahi ya kisiasa ili wapate vyeo vya kisiasa na kujinufaisha binafsi.

Pili, nimegundua uwepo wa Serikali 2 au 3 unawanufaisha zaidi hao wanasiasa kwa sababu uwepo wa Serikali hizo unawahikishia kupata nafasi za kisiasa ili waendelee kunufaika na kodi za wananchi kama vile Uwaziri, Ukuu wa Mikoa , Wilaya katika Serikali hizo mbili/tatu.

Mwisho katika ufuatiliaji wangu nimegundua kero hizi zinazoitwa za Muungano kama wabara kutoweza kumiliki Ardhi Zanzibar kama Wa Zanzibar wanavyomiliki Ardhi huku bara dawa yake ni moja tu yaaani Kuwa na Nchi 1 na Serikali 1 tu na Raisi 1 tu.

Ni vizuri tukiwa tunaenda kujenga daraja la kuunganisha Zanzibar na Tanzania tukafikiria pia kuwa sasa tuwe na nchi 1 na serikali 1 tu ili kuepusha sehemu kubwa ya kodi za wananchi kwenda kuhudumia Serikali 2/3 tena ambazo kiuhalisia hazina manufaa yeyote kwa mwananchi wa kawaida

Heri ya Siku ya Wafanyakazi
☑️☑️☑️
 
Kasome nilichokijibu kimeongelea nini.
Kwanza ukisema
Muunganonuvubjwe tu, una faida gani kwa Tanganyika na Zanzibar?
hapa wewe unahitaji kupatiwa darsa kuhusu faida za muungano, kuna waalimu wengi wa faida za muungano, mimi nimekuchagulia Mwalimu huyu "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Tena irudishwe mipaka ya kabla ya iliyowekwa na Wajerumani.
Kwenye mipaka ile ya Wajerumani ya mwaka 1884, 10 miles ya coastal stripe yote ya east Africa toka Sofala hadi Lamu ilikuwa chini ya Sultan of Zanzibar, eneo hilo lilirejeshwa kwa Wajerumani kwa mkataba wa Helingoland, the Zanzibar Treaty wa mwaka 1890.

Wakati Von Bismarck akimgaia Sultan of Zanzibar, hakujua kuwa Sultan ni mvamizi tuu wa vile visiwa!, ndio maana ile April 12, 1964 wenyewe wenye Zanzibar yao, wakaitwaa nchi yao kupitia yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Hakuna kurudi nyuma!

Ndipo ukasema
Watawala waliopo wote hawana Uzanzibari. Mwinyi kwao Mkuranga.
Nimekuuliza vipi Karume, Jumbe, AbdulWakili, Komandoo Salmin, Dr. Shein, wote hao hakuna?, na sasa Mkuu wao ni Mama, naye siye?.
P
 
Kwanza ukisema

hapa wewe unahitaji kupatiwa darsa kuhusu faida za muungano, kuna waalimu wengi wa faida za muungano, mimi nimekuchagulia Mwalimu huyu "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

Kwenye mipaka ile ya Wajerumani ya mwaka 1884, 10 miles ya coastal stripe yote ya east Africa toka Sofala hadi Lamu ilikuwa chini ya Sultan of Zanzibar, eneo hilo lilirejeshwa kwa Wajerumani kwa mkataba wa Helingoland, the Zanzibar Treaty wa mwaka 1890.

Wakati Von Bismarck akimgaia Sultan of Zanzibar, hakujua kuwa Sultan ni mvamizi tuu wa vile visiwa!, ndio maana ile April 12, 1964 wenyewe wenye Zanzibar yao, wakaitwaa nchi yao kupitia yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Hakuna kurudi nyuma!

Ndipo ukasema

Nimekuuliza vipi Karume, Jumbe, AbdulWakili, Komandoo Salmin, Dr. Shein, wote hao hakuna?, na sasa Mkuu wao ni Mama, naye siye?.
P
Jasime vizuri historia.

Empire of Zanzibar iliishua hapo uliposems baada ya Ujerumani kujimwambafai na kuimega Zanzubsr mapande. Zanzibar Empire ilikuwa mpaka Kongo, Baganda, Rwanda, Urundi, Nyasa, Msumbiji nk.
 
Jasime vizuri historia.

Empire of Zanzibar iliishua hapo uliposems baada ya Ujerumani kujimwambafai na kuimega Zanzubsr mapande. Zanzibar Empire ilikuwa mpaka Kongo, Baganda, Rwanda, Urundi, Nyasa, Msumbiji nk.
Basi sisi huku bara hatukuwahi kufunzwa hiyo historia ya Zanzibar Empire, na sikubahatika kuisoma popote!. Ngoja ni Google nitarejea.
P
 
Jasime vizuri historia.

Empire of Zanzibar iliishua hapo uliposems baada ya Ujerumani kujimwambafai na kuimega Zanzubsr mapande. Zanzibar Empire ilikuwa mpaka Kongo, Baganda, Rwanda, Urundi, Nyasa, Msumbiji nk.
Duh...!. Kumbe kweli!. Leo ndio nimeiona hii Ramani na hii historia hatukuwahi kufundisha

Population
Sultanate of Zanzibar
  • سلطنة زنجبار (Arabic)
  • Usultani wa Zanzibar (Swahili)
1856–1964
Flag of Zanzibar
Flag
(1963–1964)

Emblem of Zanzibar
Emblem
Anthem: National Anthem of Zanzibar
(Until 1890)

National March for the Sultan of Zanzibar
(1911–1964)[1]
Sultanate of Zanzibar in pink
Sultanate of Zanzibar in pink
StatusSovereign state (1856–90)
British protectorate (1890–1963)
Sovereign state (1963–64)
CapitalStone Town
Common languagesSwahili, Arabic, English
Religion
Islam[2]
GovernmentAbsolute monarchy
(1856–1963)
Constitutional monarchy
(1963–1964)
Sultan
• 1856–1870Majid bin Said (first)
• 1963–1964Jamshid bin Abdullah Al Said (last)
Chief Minister
• 1961Geoffrey Lawrence
• 1961–1964Muhammad Hamadi
History
• Established19 October 1856
Zanzibar Revolution12 January 1964
• 1964[3]300,000
CurrencyZanzibari ryal[4] (1882–1908)
Zanzibari rupee (1908–1935)
East African shilling (1935–1964)
Indian rupee and Maria Theresa thaler also circulated

Preceded by
Succeeded by
20px-Flag_of_Muscat.svg.png
Omani Empire
Today part ofKenya
Tanzania
Somalia
Under an agreement reached on 8 October 1963, the Sultan of Zanzibar relinquished sovereignty over his remaining territory on the mainland, and on 12 December 1963, Kenya officially obtained independence from the British. On 12 January 1964, Jamshid bin Abdullah, the last sultan, was deposed and lost sovereignty over the last of his dominions, Zanzibar, marking the end of the Sultanate.


HistoryEdit

See also: History of Zanzibar

FoundingEdit

In 1698, Zanzibar became part of the overseas holdings of Oman after Saif bin Sultan, the Imam of Oman, defeated the Portuguese in Mombasa, in what is now Kenya. In 1832[6] or 1840,[7] Omani ruler Said bin Sultan moved his court from Muscat to Stone Town on the island of Unguja (that is, Zanzibar Island). He established a ruling Arab elite and encouraged the development of clove plantations, using the island's slave labour.[8] Zanzibar's commerce fell increasingly into the hands of traders from the Indian subcontinent, whom Said encouraged to settle on the island. After his death in 1856, two of his sons, Majid bin Said and Thuwaini bin Said, struggled over the succession, so Zanzibar and Oman were divided into two separate realms. Thuwaini became the Sultan of Muscat and Oman while Majid became the first Sultan of Zanzibar, but obliged to pay an annual tribute to the Omani court in Muscat.[9][10] During his 14-year reign as Sultan, Majid consolidated his power around the local slave trade. His successor, Barghash bin Said, helped abolish the slave trade in Zanzibar and largely developed the country's infrastructure.[11] The third Sultan, Khalifa bin Said, also furthered the country's progress toward abolishing slavery.[12]

According to the 16th-century explorer Leo Africanus, Zanzibar (Zanguebar) was the term used by Arabs and Persians to refer to the eastern African coast running from Kenya to Mozambique, dominated by five semi-independent Muslim kingdoms: Mombasa, Malindi, Kilwa, Mozambique, and Sofala. Africanus further noted that they all had standing agreements of loyalty with the major central African states, including the Kingdom of Mutapa.[13][14]

Context for the Sultan's loss of control over his dominionsEdit


Zanzibar's Sultanate c. 1875
Until 1884, the Sultans of Zanzibar controlled a substantial portion of the Swahili Coast, known as Zanj, and trading routes extending further into the continent, as far as Kindu on the Congo River. That year, however, the Society for German Colonization forced local chiefs on the mainland to agree to German protection, prompting Sultan Bargash bin Said to protest. Coinciding with the Berlin Conference and the Scramble for Africa, further German interest in the area was soon shown in 1885 by the arrival of the newly created German East Africa Company, which had a mission to colonize the area.

In 1886, the British and Germans secretly met and discussed their aims of expansion in the African Great Lakes, with spheres of influence already agreed upon the year before, with the British to take what would become the East Africa Protectorate (now Kenya) and the Germans to take present-day Tanzania. Both powers leased coastal territory from Zanzibar and established trading stations and outposts. Over the next few years, all of the mainland possessions of Zanzibar came to be administered by European imperial powers, beginning in 1888 when the Imperial British East Africa Company took over administration of Mombasa.[15]

The same year the German East Africa Company acquired formal direct rule over the coastal area previously submitted to German protection. This resulted in a native uprising, the Abushiri revolt, which was suppressed by the Kaiserliche Marine and heralded the end of Zanzibar's influence on the mainland.


Island of Unguja and the African mainland

Establishment of the Zanzibar ProtectorateEdit

With the signing of the Heligoland-Zanzibar Treaty between the United Kingdom and the German Empire in 1890, Zanzibar itself became a British protectorate.[16] In August 1896, following the death of Sultan Hamad bin Thuwaini, Britain and Zanzibar fought a 38-minute war, the shortest in recorded history. A struggle for succession took place as the Sultan's cousin Khalid bin Barghash seized power. The British instead wanted Hamoud bin Mohammed to become Sultan, believing that he would be much easier to work with. The British gave Khalid an hour to vacate the Sultan's palace in Stone Town. Khalid failed to do so, and instead assembled an army of 2,800 men to fight the British. The British launched an attack on the palace and other locations around the city after which Khalid retreated and later went into exile. Hamoud was then peacefully installed as Sultan.[17]

That "Zanzibar" for these purposes included the 16 km (10 mi) coastal strip of Kenya that would later become the Protectorate of Kenya was a matter recorded in the parliamentary debates at the time.[18]

Establishment of the East Africa ProtectorateEdit


The Harem and Tower Harbour of Zanzibar (p.234), London Missionary Society[19]
In 1886, the British government encouraged William Mackinnon, who already had an agreement with the Sultan and whose shipping company traded extensively in the African Great Lakes, to increase British influence in the region. He formed a British East Africa Association which led to the Imperial British East Africa Company being chartered in 1888 and given the original grant to administer the territory. It administered about 240 km (150 mi) of coastline stretching from the River Jubba via Mombasa to German East Africa which were leased from the Sultan. The British "sphere of influence", agreed at the Berlin Conference of 1885, extended up the coast and inland across the future Kenya and after 1890 included Uganda as well. Mombasa was the administrative centre at this time.[15]

However, the company began to fail, and on 1 July 1895 the British government proclaimed a protectorate, the East Africa Protectorate, the administration being transferred to the Foreign Office. In 1902, administration was again transferred to the Colonial Office and the Uganda territory was incorporated as part of the protectorate also. In 1897 Lord Delamere, the pioneer of white settlement, arrived in the Kenya highlands, which was then part of the Protectorate.[20]: 761  Lord Delamere was impressed by the agricultural possibilities of the area. In 1902 the boundaries of the Protectorate were extended to include what was previously the Eastern Province of Uganda.[20]: 761 [21] Also, in 1902, the East Africa Syndicate received a grant of 1,300 km2 (500 sq mi) to promote white settlement in the Highlands. Lord Delamere now commenced extensive farming operations, and in 1905, when a large number of immigrants arrived from Britain and South Africa, the Protectorate was transferred from the authority of the Foreign Office to that of the Colonial Office.[20]: 762  The capital was shifted from Mombasa to Nairobi in 1905. A regular Government and Legislature were constituted by Order in Council in 1906.[20]: 761  This constituted the administrator a governor and provided for legislative and executive councils. Lieutenant Colonel J. Hayes Sadler was the first governor and commander in chief. There were occasional troubles with local tribes but the country was opened up by the colonial government with little bloodshed.[20]: 761  After the First World War, more immigrants arrived from Britain and South Africa, and by 1919 the European population was estimated at 9,000 strong.[20]: 761 

Loss of sovereignty over KenyaEdit

On 23 July 1920, the inland areas of the East Africa Protectorate were annexed as British dominions by Order in Council.[22] That part of the former Protectorate was thereby constituted as the Colony of Kenya and from that time, the Sultan of Zanzibar ceased to be sovereign over that territory. The remaining 16 km (10 mi) wide coastal strip (with the exception of Witu) remained a Protectorate under an agreement with the Sultan of Zanzibar.[23] That coastal strip, remaining under the sovereignty of the Sultan of Zanzibar, was constituted as the Protectorate of Kenya in 1920.[15][24]

The Protectorate of Kenya was governed as part of the Colony of Kenya by virtue of an agreement between the United Kingdom and the Sultan dated 14 December 1895.[20]: 762 [25][26] In summary, the "Colony of Kenya" referred to the interior lands. The "Protectorate of Kenya" was a 16 km (10 mi) coastal strip together with certain islands which remained under the sovereignty of the Sultan of Zanzibar until the independence of Kenya.

The Colony of Kenya and the Protectorate of Kenya each came to an end on 12 December 1963. The United Kingdom ceded sovereignty over the Colony of Kenya and, under an agreement dated 8 October 1963, the Sultan agreed that simultaneously with independence for Kenya, the Sultan would cease to have sovereignty over the Protectorate of Kenya.[20]: 762 [27] In this way, Kenya became an independent country under the Kenya Independence Act 1963. Exactly 12 months later on 12 December 1964, Kenya became a republic under the name "Republic of Kenya".[20]: 762 

End of the Zanzibar Protectorate and deposition of the SultanEdit


Independence stamp overprinted "Republic"
On 10 December 1963, the Protectorate that had existed over Zanzibar since 1890 was terminated by the United Kingdom. The United Kingdom did not grant Zanzibar independence, as such, because the UK never had sovereignty over Zanzibar. Rather, by the Zanzibar Act 1963 of the United Kingdom,[28] the UK ended the Protectorate and made provision for full-self government in Zanzibar as an independent country within the Commonwealth. Upon the Protectorate being abolished, Zanzibar became a constitutional monarchy within the Commonwealth under the Sultan.[29] Sultan Jamshid bin Abdullah was overthrown a month later during the Zanzibar Revolution.[30] Jamshid fled into exile, and the Sultanate was replaced by the People's Republic of Zanzibar. In April 1964, the existence of this socialist republic was ended with its union with Tanganyika to form the United Republic of Tanganyika and Zanzibar, which became known as Tanzania six months later
P
 
Uchaguzi ujao pawekwe na kipengele Cha kupigia kura kuhusu muungano,yaani unapigia kura ,Kama ni unataka muungano wa serikari 1,au 2 ,au 3 ,unaweka vema (✓) pale unapopataka. hapo tutakuwa tumepata muafaka sahihi wa hili Jambo!! au ikiwezekana waweke na kipengele Cha kuvunja muungano .
Maoni Yako ni mazuri na naamini umeyatoa Kwa Nia njema. Shida ni kwamba Kuna siasa itaingia hapo na baadhi ya watu itawagharimu. Wagombea wengine watakosa kura na watashindwa kula kama walivyozoea.
 
Mwisho katika ufuatiliaji wangu nimegundua kero hizi zinazoitwa za Muungano kama wabara kutoweza kumiliki Ardhi Zanzibar kama Wa Zanzibar wanavyomiliki Ardhi huku bara dawa yake ni moja tu yaaani Kuwa na Nchi 1 na Serikali 1 tu na Raisi 1 tu.

Ni vizuri tukiwa tunaenda kujenga daraja la kuunganisha Zanzibar na Tanzania tukafikiria pia kuwa sasa tuwe na nchi 1 na serikali 1 tu ili kuepusha sehemu kubwa ya kodi za wananchi kwenda kuhudumia Serikali 2/3 tena ambazo kiuhalisia hazina manufaa yeyote kwa mwananchi wa kawaida

Heri ya Siku ya Wafanyakazi
Naunga mkono hoja Je, umefika wakati kutimiza Uzalendo wa kweli wa kwenda kwenye Serikali moja? na Kama kweli nia ya dhati ni kuimarisha Muungano, then "Twende kwenye Serikali Moja!"
P
 
Back
Top Bottom