Ukweli lazima usemwe Yanga SC iachane na kuingia mikataba ya udhamini ya kitoto maana ishakua taasisi kubwa Afrika

Ukweli lazima usemwe Yanga SC iachane na kuingia mikataba ya udhamini ya kitoto maana ishakua taasisi kubwa Afrika

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Nimeshangazwa kuona Yanga sc inaingia na mkataba na kampuni inayofahamika kinondoni ilala na temeke tu na bidhaa zake inauzia palepale Daresalaam tu tena kuna baadhi ya maeneo ya Daresalaam haifahmiki na haiuzi kiufupi hii kampunu ni janja janja tu

Wanajiita SILVER INVESTMENT walingia mkataba na Yanga SC wa kukopesha simu kwa mashabiki na wasio mashabiki wa yanga sc, ni jambo zuri lakini ukiangalia majukumu ya hawa jamaa simu wanakopesha pale pale dar haswaa mitaa niliyoitaja hapo na inaonekana mikoani hawana matawi kabisa ya kuweza kuwafikia mashabiki wenye uhitaji wa bidhaa hizo

MAONI YANGU; Viongozi wanapaswa kuangalia mikataba ya kuingia nao hawa wadhamini wakitazama na ukubwa wa taasisi siyo kil mtu anakuja kuweka bidhaa yake wakati hana hata uwezo wa kuhudumia watu 500

NAWASILISHA HOJA
 
Haya ya udhamini ni bomu litakalolipuka baadae , ila pia nimependa Yanga inavyowatumia wanachama wake kushawishi wadhamini na wafanyabiashara

Kila kampuni km inafika dau inaweza kuongea na Yanga biashara..maana ni mtaji ule Yanga wanao
inaonekana ni biashara za kujuana wanapeana wao kwa wao pale
 
INASIKITISHA SANA MKUU INA MAKOLOKOLO YA AJABU YASIYOKUA NA KICHWA WALA MKUU

TUSIJEKUSHANGAA INAINGIA MKATABA NA SHISHI FOOD MASHABIKI WAKIENDA KULA KUNA PUNGIUZO PALE
Kwa kweli hawajui maana ya "endorsement". Klabu kama ya Yanga inatakiwa iwe makinifu kwenye kuingia mikataba.
 
Nimeshangazwa kuona Yanga sc inaingia na mkataba na kampuni inayofahamika kinondoni ilala na temeke tu na bidhaa zake inauzia palepale Daresalaam tu tena kuna baadhi ya maeneo ya Daresalaam haifahmiki na haiuzi kiufupi hii kampunu ni janja janja tu

Wanajiita SILVER INVESTMENT walingia mkataba na Yanga SC wa kukopesha simu kwa mashabiki na wasio mashabiki wa yanga sc, ni jambo zuri lakini ukiangalia majukumu ya hawa jamaa simu wanakopesha pale pale dar haswaa mitaa niliyoitaja hapo na inaonekana mikoani hawana matawi kabisa ya kuweza kuwafikia mashabiki wenye uhitaji wa bidhaa hizo

MAONI YANGU; Viongozi wanapaswa kuangalia mikataba ya kuingia nao hawa wadhamini wakitazama na ukubwa wa taasisi siyo kil mtu anakuja kuweka bidhaa yake wakati hana hata uwezo wa kuhudumia watu 500

NAWASILISHA HOJA
Una uhakika mkoani hawapo ndugu ?
 
Jamaa una utahira mwingi Sana kumamaqo!. Yaani unataka timu isipate pesa kisa mkataba ni mdogo?, umewahi hudumia hata watu 10 wewe? Unaidharau 200m kwa kipi? Unavhangia kiasi gani Cha pesa ili timu isitafute vyanzo hivyo unavyoita vdogo!. Shoqer qee .
 
Back
Top Bottom