Ukweli lazima usemwe Yanga SC iachane na kuingia mikataba ya udhamini ya kitoto maana ishakua taasisi kubwa Afrika

Watafutie wadhamini wakubwa km wanakukera kumbuka lengo la wadhamini ni kukuza biashara zao
 
Nimeshangazwa kuona Yanga sc inaingia na mkataba na kampuni inayofahamika kinondoni ilala na temeke tu na bidhaa zake inauzia palepale Daresalaam tu
Afadhali hata hao wanaokopesha simu, Haier sijui inauza nini hadi leo, na sijawahikuona bidhaa zenye chapa hiyo zaidi ya jezi
 
Binafsi hata kama tunaweza kuingia mkataba na msambaza maziwa mtaani na akayaita Yanga milk basi waingie nae bila udhamini team haiendi mashabiki wenyewe ndio nyie bila Bure hamuendi uwanjani(derby ilionesha wazi kama Simba wasijitokeze pamoja na team Yao kufanya vibaya hali ingekuwa mbaya) yani udhamini itafutwe na jersey ichafuke hasa
 
Haya ya udhamini ni bomu litakalolipuka baadae , ila pia nimependa Yanga inavyowatumia wanachama wake kushawishi wadhamini na wafanyabiashara

Kila kampuni km inafika dau inaweza kuongea na Yanga biashara..maana ni mtaji ule Yanga wanao
Hersi anakusanya Tu t
 
Million 20 kwa muda gani?
Nadhani hapa kuna upotoshaji sana silver investment mkataba wao na yanga una thamani ya million 200 kwa kipindi cha mwaka mmoja, kwa kiingozi mwenyewe akili unaachaje dili kama hilo. Hiyo million 200 inaweza kabsa kuendesha timu mwaka mzima kwa hizi trip za ndan ya nchi ukiwa unatafuta hela usidharau hela yoyote iliyopo mbele yako
 
Humu kuna wajinga wengi wakiambiwa walipe ada za uanachama hawalipi hata uwanjani hawaendi kazi ni kukosoa tu, mwambie aende akatatafte wadhamini hata wa million 50 kama ataweza

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo na wewe unalilia simu ya mkopo uletewe huko mbwinde ulipo?
 

mimi nina mambo mawili


1. kama wanalipa pesa nzuri haijalisha wana ukubwa gani.. maana wao ndo wametaka kutambulika so kupitia yanga wanaweza wakaongeza biashara na kusambaa TZ yote..

2. jambo la pili
ila wasi wasi wangu inaweza ikawa dealz za vingoz hapo yanga aidha kutakatishia pesa za deal chafu.. in both ways.. kutoka yanga kwenda kampuni au kutoka kampuni kwenda yanga.

unaweza ukauliza kutoka yanga kwenda kampuni kivipi.. unaweza ukakuta kuna majina ya wanachama feki kama 100 hv yatatumika kukopea cm.. kisha hayo majina yanatumika kupitisha pesa kwenye hiyo kmpuni kama malipo ya cm..

dunia ya ss hv teknolojia umerahisha utapeli kuukaribia ukweli. na hv vilabu vyetu wajanja wa mji wanavifanya kuwa bomba la kujikingia pesa tu.. yote yanawezakana.. ila kama deal ni legit na wanalipa pesa nzuri inayolinagna na na thamana ya jina la yanga basi haijalishi udogo wa kampuni kikubwa fedha.. uendeshaji wa team ni gharama,, tena kwa hawa mashabiki wetu oya oya..
 
Fact 🤛
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…