Uchaguzi 2020 Ukweli: Lissu atashinda uchaguzi wa Oktoba kwa 70%

msije kusema mmeibiwa kura tu.
 
Hopeless thread ever!
 

Kwa wale wenye uwezo mdogo wa kufikiri ndiyo hao hao peke yao wanaodhani Tundu Lissu anawezashinda na kupewa urais.
 
Yani wewe mwaka huu huenda ukapata depression,!

Lisu hapati zaidi ya kura 20%
Naongea hapa kila siku sijui kwanini huu ukweli mnaukataa?

Na nyie washabiki wake humu mtaumia sana, oktoba hizi Id zenu msizikimbie
 
Yani wewe mwaka huu huenda ukapata depression,!

Lisu hapati zaidi ya kura 20%
Naongea hapa kila siku sijui kwanini huu ukweli mnaukataa?

Na nyie washabiki wake humu mtaumia sana, oktoba hizi Id zenu msizikimbie
Nakwambia tena tukutane October 2020! Hakuna rangi mtaacha kuona mwaka huu ndugu!
 
Kanisani na misikitini anatajwa shetani sana kwa vile ni adui mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…