Uchaguzi 2020 Ukweli: Lissu atashinda uchaguzi wa Oktoba kwa 70%



Inawezekana, ila sijui unatumia kiungo gani kuchakata taarifa za kisiasa, ILA NAAMINI SIO KUPITIA UBONGO.
 
Fuatilia rekodi ya lissu;

Mwaka 2010 alishinda ubunge katika Jimbo lake huku madiwani 16 kati ya 17 walikuwa ni CCM, 1 akiwa ni CHADEMA.

Mwaka 2020 akashinda tena ubunge huku madiwani 16 kati ya 17 wakiwa ni CHADEMA na mmoja akiwa ni wa CCM.

Lissu ni born winner bila shurti.
 
Unawajua JWTZ au unawasikia??? Nadhani hujui historia ya nchi hii.
Kama unaihusisha JWTZ na CCM basi umekosea sana. Kati ya Taasisi zote nchini ni JWTZ tu ndo iliyojitenga na ufedhuli wa CCM tangu mwanzo.

Kama unabisha tafuta nini kilitokea mwaka 1964 lugalo barracks na 1982 maeneo ya Kinondoni na Magomeni.

Usiku mwema
 

Sidhani kama hizo record unazotoa ni kigezo tosha cha kumpa urais....Kuwa rais si jambo la kitoto ndugu.

Kwa record hizo kuna wabunge wengi wanashinda najimboni kwa record za ajabu still hawafai kuwa wakuu wa nchi.
 
Akili kubwa zinatumia akili kubwa kuchakata taarifa. Kama unabisha tukutane October 2020

Mkuu naweza kuwa na mashaka ya vitu na mabo mengi, ikiwa na pamoja kutokuwa na hakika kama wenye kubeba mimba ni kina mama, Jua kama huwa lipo au halipo, sina pia hakika kama samaki wanaishi ndani ya maji. ILA NAHAKIKA MAGUFULI ANASHINDA UCHAGUZI OCTOBER, 2020. Jaribu kuona uhakika nilio nao kwa ushindi wa Magufuli baba lao.
 
Nakwambia hakika! Magufuli hashindi uchaguzi wa mwaka huu! Akipona ni aombe serikali ya mseto ambayo hata hiyo inategemea Lissu akubali au akatae.
 
Sidhani kama hizo record unazotoa ni kigezo tosha cha kumpa urais....Kuwa rais si jambo la kitoto ndugu.

Kwa record hizo kuna wabunge wengi wanashinda najimboni kwa record za ajabu still hawafai kuwa wakuu wa nchi.
Unafikiri Lissu alipona risasi 16 ili iweje????
 
Pimbi weee , mema yepi umekula hd uwe muongo kiasi hicho
 
๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
 
Pimbi weee , mema yepi umekula hd uwe muongo kiasi hicho
Achana nae huyu. Hawajui JWTZ. Anaona mabeyo ni cdf anadhani JWTZ yote ni mabeyo!! Nyerere angekuwa hai angemwambia JWTZ ni kina nani maana walimkosakosa kama mara 3 hivi. Jaribio la mwisho la 1982 ndo lilimuogopesha zaidi maana wanaume hawa kumtaarifu hadi wiki ya mwisho. Baadae Nyerere akaona isiwe tabu akamuachia Mwinyi aongoze nchi
 
JwTz ni taasisi inayoheshimika sana raia kuliko maelezo...binafs nawaheshimu mnoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ