MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,996
Nguvu ya haiwezi kuishinda nguvu ya umma siku zote!
Nguvu ya umma nyuma ya keyboard/keypad!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nguvu ya haiwezi kuishinda nguvu ya umma siku zote!
Huyu bwana yeye ameandika tafiti zake akibase kwenye uhalisia facts Sasa wewe unakuja na hila,dhuluma,vitisho na ufedhuli.Unaijua dola ya Tanzania?
Schoolboy politics at its best!
Wake up boy!
Ukitaka kumdhami mgombea uraisi unakiwa ufanyeje nataka ni mdhamini Lisu naomba mungozoKiukweli Magufuli hana wa kumpigia kura. Kila Kona kaharibu.
Kwn ww ni mwanachadema?Ukitaka kumdhami mgombea uraisi unakiwa ufanyeje nataka ni mdhamini Lisu naomba mungozo
Wewe masikini dola zote zilizoanguka zilikuwa na makapuku kama wewe , Nothing lasts longer , Tafuta kazi ya kufanya , hii unayofanya itakuponyoka tu , una miezi mitatu tu ya kulipwa hicho unacholipwaUnaijua dola ya Tanzania?
Schoolboy politics at its best!
Wake up boy!
Chama changu kinaitwa Tundu LisuKwn ww ni mwanachadema?
Mkuu kumbe unaishi Tunduma??Huu cahaguzi nitacheka kunawatu watasilizia matokea Tunduma upande wapili kule Zambia nakonde wanajifanya watalii
Kama uma utamuapisha sawaNguvu ya haiwezi kuishinda nguvu ya umma siku zote!
Mie nipo ana kura yanguKiukweli Magufuli hana wa kumpigia kura. Kila Kona kaharibu.
Ndiyo naishi Tunduma mkuu nikishapiga kura yangu kwa Lisu napanda basi nakuja dar kuona Lisu akiapishwa na Jaji Joseph Sinde Warioba taifaMkuu kumbe unaishi Tunduma??
Sio dodoma?? Mi nimeingia leo kutoka dar ni hapa MwenzoNdiyo naishi Tunduma mkuu nikishapiga kura yangu kwa Lisu napanda basi nakuja dar kuona Lisu akiapishwa na Jaji Joseph Sinde Warioba taifa