Uchaguzi 2020 Ukweli: Lissu atashinda uchaguzi wa Oktoba kwa 70%

Sio dodoma?? Mi nimeingia leo kutoka dar ni hapa Mwenzo
Dodoma hapatoshi mkuu Dunia mzima itasimama week nzima sio shuguli ya kitoto ,kama uko Tunduma agiza Konyagi nakuja kulipa mwanaizaya.
 
Mwaka 2015 si mpipata 40% ya kura , basi toa 20%, sio maneno yangu ni ya lissu, unapoteza mda sana kuandika upuuzi apa mgombea mwenyewe anajua anaenda kufa,
 
Karibu sana huku Tunduma huku chips hakuna tunatoa kitu tunashushia cha uchungu ,mzee baba hata kura ya dawa hapati tunatoa mswaki
Poa mkuu ..naijua Tunduma vzr nimeishi hapo kwa miaka mitatu
 
Matokeo yakishatangazwa ndo mtaelewa vizuri
 
Mh Lisu aliwahi kutuaminisha Lowasa ni fisadi lakini 2015, akampigia kampeni lowasa, imekaaje hiyo ?
Kama alikuaminisha,na wewe ukaamini bila ya EL kuchukuliwa hatua,na tena akaungana na wale waliokuwa wanasema "sebule" yao sasa i safi kwa kuwa mafisadi walikimbilia CHADEMA,basi wewe utakuwa una tatizo.
 
Hawezi kuwa kiongozi huyu, hana hoja za maendeleo na anajipendekeza sana kwa wazungu
 
Hoja za kijingajinga kwa maono yangu, hakuna wa kumpindua jiwe
 
Na huo ndio ukweli wenyewe
 
Siku ya uamuzi ni October 28; kila mtu ana haki ya kuwa na matumaini na ndoto kwa sasa lakini kipenga cha mwisho ni siku hiyo.

Unfortunately mwaka huu mimi sitapiga kura tangu ile kura ya 2010 kwa sababu ukiwa nje ya nchi huruhusiwi kupiga kura; ila ninategemea kupiga kura 2025 nikiwa hai kwani nitasafiri tena kwenda kushiriki uchaguzi kama nilivyofanya 2010.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…