Wewe ni juha huna uwezo wa kujikita kwenye hoja. Unakimbilia kulisha watu mawazo yako. Mtumishi nimewahi kukutumikia?Kumbe kumuita mtu mtumishi ni kumkejeli? Since when? Anyways Message sent
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni juha huna uwezo wa kujikita kwenye hoja. Unakimbilia kulisha watu mawazo yako. Mtumishi nimewahi kukutumikia?Kumbe kumuita mtu mtumishi ni kumkejeli? Since when? Anyways Message sent
Ndio maana nawashangaa sana watu wa dini. Yani una muabudu Mungu ambae hakusaidii tena kwenye critical situations kama hizo lakini bado tu unaendelea kumuabudu ? Duh kuna watu wana moyo aiseeHili bandiko lako limenikumbusha juzi waumini wa kiislamu walikuwa wanapewa kichapo cha bguvu na wanajeshi wa Israel na kuzuiliwa kwenda kuswali kwenye msikiti wa Al-Aqsa.
Nikajiuliza...kati ya huyo mungu ambaye watu wanataka kwenda kumwabudu na hao askari, ni nani mwenye nguvu!!?
Mungu aone watu wake wanakula mkong'oto kiasi kile akae kimya?
Huyo mungu yupo kweli!
Mie nimekuelewa vzrHata wewe msabato unae waponda wakatoliki, kwa mantiki ya uzi huu, wewe pia unafanya ibada ya sanamu.
Kwani ibada ya sanamu nini?
Umewahi kusikia mashabiki wa mpira wanasema " kwenye timu hii golini kuna sanamu?" Je unadhani maana yake huwaga ni nini?
Maana yake ni kwamba kwenye timu hiyo golini kuna kipa ambae hatimizi majukumu yake kama kipa. Kipa kazi yake ni kuokoa mipira yote inayo elekezwa golini kwake. Ila kama kipa huyu hadaki magoli yanafungwa tu haokoi wala nini basi watu watasema golini kuna sanamu.
Ni sawa na wanapo sema "Huyu jamaa ni baba au sanamu la baba?" Wana maanisha ni baba ambae hatimizi majukumu yake.
Vivyo hivyo kwa habari ya ibada ya sanamu.
Ibada ya sanamu ni nini sasa?
Ibada ya sanamu ni ibada yoyote ile ambayo Mungu/muungu anae ombwa hatoi majibu.
Ibrahimu alivyo yaharibu masanamu ya mababu zake alifanya hivyo sio kwa sababu yale walikuwa ni masanamu la hasha ila alifanya hivyo kwa sababu masanamu yale yalikuwa hayatoi majibu ya maombi ndio maana akaenda kuyacharaza mapanga kwa Hasira.
Kama masanamu yale ya miungu ya mababu zake yangekuwa yanatoa majibu basi Ibrahim asinge thubutu hata kunyoosha mkono wake kuyakata. Yani asinge thubutu hata kujifanya kama anajikuna.
Wakristu na waislamu na ibada ya sanamu.
Ukweli ni kwamba Asilimia kubwa ya wakristu na waislamu wengi duniani hufanya ibada za sanamu. Kwa sababu hufanya ibada zisizo na majibu. Sanamu lina masikio lakini halijibu na lina macho lakini halioni. Vivyo hivyo Mungu (wa Wakristu na Waislamu) anasikia maombi yote wanayo muomba watu wake lakini huwaga hajibu na ana ona mambo yote mabaya wanayo tendewa watu wake lakini haintervene. Anayaacha yaendelee kutokea hivyo hivyo licha ya yeye kuwa na uwezo wa kuyazuia yasitokee.
Ndio maana kwa wakristu na waislamu mtu akifanya maombi halafu yakajibiwa majibu hayo huitwa muujiza. Muujiza ni jambo ambalo sio la kawaida. Yesu alipo tembea juu ya maji uliitwa muujiza kwa sababu sio kawaida kwa mtu kutembea juu ya maji.
So maombi yanayo jibiwa na Mungu wa wakristu na waislamu huwaga yanaitwa muujiza kwa sababu sio kawaida Mungu kujibu maombi..
Hata wakristu na waislamu ndani ya nafsi zao huwaga wanajua kabisa kwamba Mungu huwaga hajibu maombi yao. Ndio maana wengi wao huenda kwa waganga kutafuta majibu ya maombi yao.
Wakristu na Waislamu wana amini Mungu anayaona zaidi madhambi yao kuliko maombi yao. Ndio maana mkristu au muislamu akitenda dhambi anakuwa na uhakika kabisa Mungu kamuona na anakuwa na ile kitu inaitwa Guilty conscious kwa sababu anajua Mungu kamuona . Lakini akifanya maombi yake anakuwa hana imani kama Mungu kayasikia na kwamba atamjibu.
Ndio maana hata kwenye Uzi wangu huu wakristu na waislamu watakuja ku comment hapa kwamba Mungu ataniadhibu kwa kuwa ninakufuru ila ningeandika Uzi nikisema nataka nifunge nimuombe Mungu awafanye watu wote duniani waache dhambi basi wakristu na waislamu hao watakuja kunidhihaki hapa kwa sababu wanajua Mungu hatonijibu kwa maana wanajua Mungu huwa hajibu maombi ya watu.
Bahati nzuri vitabu vya dini zote mbili vimeshaweka wazi kabisa kwamba Mungu huwa hajibu maombi ya watu..
Tufanye nini sasa ee rabbi? Vunja masanamu (Vunja connection na Mungu asie jibu maombi yako na anza sasa kumtafuta Mungu mwenye kujibu maombi yako. Acha ibada ya sanamu sasa)
Na wewe Mungu wako kwanini asisambaze kupitia mawinguni tusikie tu sauti inatoka kwamba mimi ndie Mungu na hii ndio dini yangu na huyu ndio mtume wangu?Ndio maana uhalisia unabaki pale pale , huyu Mungu wako hana nguvu ya kusambaza imani yako hata mkoani
Wanao mwabudu mungu unayedai sio wa kweli wakikwambia mungu wao amejibu maombi yao, Utawezaje kuwa prove wrong?Ili kujua kama unachoomba/kuabudu sio sanamu, lazima upate majibu/matokeo ya kile uombacho.
Endapo haupati majibu ila kila siku miaka inaenda unaomba/kuabudu, hapo unaabudu sanamu.
Ili uweze kutambua kama Mungu wako ni sahihi, lazima ajibu maombi na yule asiyejibu maombi jua huyo ni sanamu.
Na kama ni Mungu wa kweli kwanini ahitaji kusambaza imani yake? Ulishawahi kusikia wapi mganga wa ukweli anajitangaza?Ndio maana uhalisia unabaki pale pale , huyu Mungu wako hana nguvu ya kusambaza imani yako hata mkoani
Aisome Accumen MoUzi bora kabisa namba moja kuwahi kusoma humu jf zaidi yamiaka5 naingia humu hii ndio nondo ngumu na imara sana.
Mkuu hongera sana kwahaya maamuzi magumu yakuokoa fikra zawatu ulio leta hapa.
Najua inakuja vita kubwa sana kutoka kwahao walengwa lakini nakuhakikishia hii vita nyuma yako kuna Askari imara sana tunao kulinda nakukutetea.
Askari ambao hatuna shaka naushindi wako kwani tunaimani thabiti yakile tunacho amini ndani mwetu.
Nakueleza hiyo miungu yao yasanamu kamwe silolote kabisa nahaiwezi kuleta madhara yoyote..sababu haioni wala kuskia.haijibu wala kuokoa.
💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪
100% correctly........Wakristu na Waislamu wana amini Mungu anayaona zaidi madhambi yao kuliko maombi yao. Ndio maana mkristu au muislamu akitenda dhambi anakuwa na uhakika kabisa Mungu kamuona na anakuwa na ile kitu inaitwa Guilty conscious kwa sababu anajua Mungu kamuona . Lakini akifanya maombi yake anakuwa hana imani kama Mungu kayasikia na kwamba atamjibu......
Ndio maana wehu na wendawazimu kama wewe mnaabudu dubwasha jeusi la kibox kule Makka mnakanyagana kama mapanya na kuuana.Ndio maana kiuhalisia wapumbavu kama nyie mpo wachache ,mkidanganywa kwamba mnazidi kuwa wengi [emoji28][emoji28][emoji28].
Mwisho wa simu mnaongoza kujinyonga
Anza wewe kwa kumleta mungu unaemwamini a prove hapa kuwa kweli anakujibu maombi yako ili na mimi nimuamini, akija hapa na wangu atakuja.Wanao mwabudu mungu unayedai sio wa kweli wakikwambia mungu wao amejibu maombi yao, Utawezaje kuwa prove wrong?
Na wao wakikwambia mungu wako wewe K11 hajajibu maombi yako, unaweza kumleta huyo mungu wako aje awa prove wrong?
Wewe ni juha huna uwezo wa kujikita kwenye hoja. Unakimbilia kulisha watu mawazo yako. Mtumishi nimewahi kukutumikia?
Akili yako yenyewe ni full mafi.Mafi yako. Wewe ndo huna uwezo wa kujikita kwenye hoja. Umeuliza swali ni Mungu yupi mwenye kutoa majawabu nimekujibu kwamba Mungu ametajwa na Nabii Suleimani kwenye kitabu cha MHUBIRI 10:19 then nikakuita mtumishi badala ujibu hoja ya msingi unazungumzia habari za eti nimekuita mtumishi we unaumwa nini?
Mimi siamini uwepo wa Mungu.Anza wewe kwa kumleta mungu unaemwamini a prove hapa kuwa kweli anakujibu maombi yako ili na mimi nimuamini, akija hapa na wangu atakuja.
Kuna story moja ya kuhusu wanacho amini freemason. Huku imaliziaga nasubiria mpk leoBe blessed
Technically ni kwamba unacho kisema wewe ni kwamba akili ya Suleiman ndio full mafi kwa sababu Suleimani ndio kasema kupitia kitabu cha MHUBIRI 10:19 kwamba pesa ndio huleta majawabu ya mambo yote ikiwemo hayo mambo yako unayo muomba Mungu akusaidie jambo linalo maanisha kwamba Pesa ndio Mungu kwa sababu Suleiman alimjua Mungu vizuri sana lakini hakuthubutu kusema.Mungu huleta majawabu ya mambo yote ila.akasema pesa ndio huleta majawabu ya mambo yote.. So jua umemtukana Nabii Suleiman na sio mimiAkili yako yenyewe ni full mafi.
Kama mungu wako ni pesa, je wasio na pesa hawana mungu?
hiyo unakuhusu wewe peke yakoHata wewe msabato unae waponda wakatoliki, kwa mantiki ya uzi huu, wewe pia unafanya ibada ya sanamu.
Kwani ibada ya sanamu nini?
Umewahi kusikia mashabiki wa mpira wanasema " kwenye timu hii golini kuna sanamu?" Je unadhani maana yake huwaga ni nini?
Maana yake ni kwamba kwenye timu hiyo golini kuna kipa ambae hatimizi majukumu yake kama kipa. Kipa kazi yake ni kuokoa mipira yote inayo elekezwa golini kwake. Ila kama kipa huyu hadaki magoli yanafungwa tu haokoi wala nini basi watu watasema golini kuna sanamu.
Ni sawa na wanapo sema "Huyu jamaa ni baba au sanamu la baba?" Wana maanisha ni baba ambae hatimizi majukumu yake.
Vivyo hivyo kwa habari ya ibada ya sanamu.
Ibada ya sanamu ni nini sasa?
Ibada ya sanamu ni ibada yoyote ile ambayo Mungu/muungu anae ombwa hatoi majibu.
Ibrahimu alivyo yaharibu masanamu ya mababu zake alifanya hivyo sio kwa sababu yale walikuwa ni masanamu la hasha ila alifanya hivyo kwa sababu masanamu yale yalikuwa hayatoi majibu ya maombi ndio maana akaenda kuyacharaza mapanga kwa Hasira.
Kama masanamu yale ya miungu ya mababu zake yangekuwa yanatoa majibu basi Ibrahim asinge thubutu hata kunyoosha mkono wake kuyakata. Yani asinge thubutu hata kujifanya kama anajikuna.
Wakristu na waislamu na ibada ya sanamu.
Ukweli ni kwamba Asilimia kubwa ya wakristu na waislamu wengi duniani hufanya ibada za sanamu. Kwa sababu hufanya ibada zisizo na majibu. Sanamu lina masikio lakini halijibu na lina macho lakini halioni. Vivyo hivyo Mungu (wa Wakristu na Waislamu) anasikia maombi yote wanayo muomba watu wake lakini huwaga hajibu na ana ona mambo yote mabaya wanayo tendewa watu wake lakini haintervene. Anayaacha yaendelee kutokea hivyo hivyo licha ya yeye kuwa na uwezo wa kuyazuia yasitokee.
Ndio maana kwa wakristu na waislamu mtu akifanya maombi halafu yakajibiwa majibu hayo huitwa muujiza. Muujiza ni jambo ambalo sio la kawaida. Yesu alipo tembea juu ya maji uliitwa muujiza kwa sababu sio kawaida kwa mtu kutembea juu ya maji.
So maombi yanayo jibiwa na Mungu wa wakristu na waislamu huwaga yanaitwa muujiza kwa sababu sio kawaida Mungu kujibu maombi..
Hata wakristu na waislamu ndani ya nafsi zao huwaga wanajua kabisa kwamba Mungu huwaga hajibu maombi yao. Ndio maana wengi wao huenda kwa waganga kutafuta majibu ya maombi yao.
Wakristu na Waislamu wana amini Mungu anayaona zaidi madhambi yao kuliko maombi yao. Ndio maana mkristu au muislamu akitenda dhambi anakuwa na uhakika kabisa Mungu kamuona na anakuwa na ile kitu inaitwa Guilty conscious kwa sababu anajua Mungu kamuona . Lakini akifanya maombi yake anakuwa hana imani kama Mungu kayasikia na kwamba atamjibu.
Ndio maana hata kwenye Uzi wangu huu wakristu na waislamu watakuja ku comment hapa kwamba Mungu ataniadhibu kwa kuwa ninakufuru ila ningeandika Uzi nikisema nataka nifunge nimuombe Mungu awafanye watu wote duniani waache dhambi basi wakristu na waislamu hao watakuja kunidhihaki hapa kwa sababu wanajua Mungu hatonijibu kwa maana wanajua Mungu huwa hajibu maombi ya watu.
Bahati nzuri vitabu vya dini zote mbili vimeshaweka wazi kabisa kwamba Mungu huwa hajibu maombi ya watu..
Tufanye nini sasa ee rabbi? Vunja masanamu (Vunja connection na Mungu asie jibu maombi yako na anza sasa kumtafuta Mungu mwenye kujibu maombi yako. Acha ibada ya sanamu sasa)