Ukweli mchungu: " Dunia ya sasa haimpendi baba bora/mume bora. Hizi ndio adhabu ambazo dunia itakupa kwa " kosa" la kuwa baba/ mume bora


Ndo huwa nipo hivyo kwa watu hawa na huwa na nalalamikiwa Sana but I don't care...
 
Google kegel exercises for men.
Haya mazoezi yanasaidia kuimarisha two muscles kweny pelvic floor ambazo ni bulbocavernosus na Ischiocavernosus muscles ambazo ni muhimu sana kweny tendo la ndoa.
Nimewahi kugoogle nimeshindwa kuzijua hizi muscles bro. Ndo maana nikaomba msaada , inapatikana wapi kwenye uume?
 
Apart from sex, women has nothing to offer.
 
Tunawapenda wake zetu lakini kuna namna tunatakiwa kucheza na akili zao, kuwa tough kwenye mijadala yenu fulani sio kila kitu akisema unakubali tu na kuna namna ya kuikubali michango yake ya kimawazo sio kiulofa atakujeuza lodilofa , mwanamke akikujua wewe ni dhaifu ndiyo uchochoro huo atautumia na kukuzubaisha mpende lakini muonyeshe upande wako mbaya na kwa nia njema tu , LIKUD nakupa [emoji93] [emoji93] [emoji93] [emoji93] [emoji93] [emoji93]

M
 
Wanaume msipoelewa hii mada basi hutakaa uelewe tena kuhusu mapenzi na utakuwa na F ya mapenzi.

Thread nzuri sana ngoja nii copy kabisa 👍👍
 
Ujumbe ni mzuri tumeupokea ila chunga tamaa ni mbaya, oya mapenzi ni fumbo tu kila mtu anafumbua kivyake na epuka kumchunguza mwanamke wewe ishi nae tu kwa akili. Kijana ndoa ni maalum kwa wanaume sio wavulana. The rest is stories, Kumbuka kuongeza kipato. Ujumbe mapenzi ni Upendo.
 
You seem to have drawn this from ur own perspective against ur experience. Chap think bigger and wider. Say no to marriage, marriage is fucking shit.
 
Mkuu nimekuongezea kwenye list nitakao safiri nao Norway...

Hivi unaanzaje kumpenda na kumsikiliza mwanamke kabisa?

Unaanzaje kumuamini mwanamke?

Unaanza kumsikiliza mwanamke?

Usimpe attention mwanamke hata kama ni mama yako wanawake Wana tabia zinazofanana( ila Mama kidogo apewe heshima yake)

Tutembee na msemo huu

"NO Attachment just a sex"

"Eat and run"

Yaani peleka Moto mbaya mbovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…