Ukweli mchungu: " Dunia ya sasa haimpendi baba bora/mume bora. Hizi ndio adhabu ambazo dunia itakupa kwa " kosa" la kuwa baba/ mume bora

We ni me au ke?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Acha ujinga wewe embu toka out na mtoto wa watu achana na chakubanga hizi
 
Duh [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

Umetumia muda mwingi sana kumzungumzia mwanamke na wala sio huyo mbaba au mume bora,zaidi lengo lako lilikua kuponda ndoa za wazungu,nikueleze tu wazungu wanajitambua ndio mana mataifa yao yameendelea sana,wanaheshimu ndoa na maamuzi kati yao,sio ubabe na ujinga wa ndoa za kiafrika.
 

Nadhani huelewi nini maana ya mume na baba bora,ungesema mume na baba dhaifu ungelweka.
 

Exactly,wengi ni wavulana wadogo wanaohangaika na mapenzi.
 
Hahahahahahaaaaaa umenivunja mbavu kamanda kwamba atakuona famba hahahaa.
Kiukweli mleta mada kapita mule mule mwanamke hataki mwanaume kudeka.
 
Nakazia kuna kidemu flan hivi nilikipa uzito wa 35 per cubic baada ya hapo kila baada ya siku kinatimba nakichapa sa juzi ijumaa tukiwa Lupaso kikaniambia kuwa kinapenda sana mfumo ninaoutumia tukiwa inegoli.
So nakubaliana na mtoa mada wanawake huwa wanapenda kinyume chake.
 
Acha kujifariji na ndoa.

Ndoa ni utapeli

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…