Ukweli mchungu: " Dunia ya sasa haimpendi baba bora/mume bora. Hizi ndio adhabu ambazo dunia itakupa kwa " kosa" la kuwa baba/ mume bora

Ukweli mchungu: " Dunia ya sasa haimpendi baba bora/mume bora. Hizi ndio adhabu ambazo dunia itakupa kwa " kosa" la kuwa baba/ mume bora

So unawashauri wanaume wasioe au unawashauri waoe bikra. Sasa bikra unaitoa wapi saahizi kaka?
Aisee daaah nondo tupu ila ushauri wako unanifanya ni cancel mambo mengi sana aisee.

Mfano, Kuna demu flani kesho kaniomba nimtoe out tupate angalau muda wa kukutana na kuongea mawili matatu, ila huyu demu nishamgonga mara nyingi tuu, sasa as per what you said, kama nishamtumia nikiendelea kumtoa out maana yake ataendelea kunidharau sio?
Acha ujinga toka naye usisahau kuangalia mizigo kidogo lakini usimkate [emoji28]
 
Tangu jana usiku na pokea wageni mademu 7 kati ya hao 5 mademu zangu 5 wasindikizaji, wawili nimewatafuna mmoja usiku mwingine mida hii. Mlio oa mnakosa mengi. Naamini maneno yako ninasifa mbaya sana kitaa nimegonga warembo kibao lakini kila siku wanajileta wenyewe, najitajidi kukwepa wake za watu ila mmoja mmoja nachapa.
Sawa endelea kuvunja mfupa meno yangalipo.
Hayo magoti yakikauka uroto basi ulete mrejesho tukusaidie magongo.
 
Mkuu mbona hujamaliza kutaja majukumu malizia na kupika, kuosha vyombo, kufua, kusafisha nyumba, kulea watoto nk nayo inabidi mfanye wote pasu kwa pasu, na kama hamuwezi basi mkae mkijua hiyo ndio sababu kubwa, inayowafanya wanawake pia washindwe kusaidia majukumu yenu pasu kwa pasu
Kwani mdada wa kazi anaefanya hizo kazi za kufua , kupika nk. analipwa na nani?
 
Kwa Nini Tanzania TU? Japo ratio ni kubwa
Nimedai ya tanzania tu maana ningedai ya dunia nzima ungeaibika zaidi, kwa sababu ya dunia nzima inaonesha idadi ya wanaume ni kubwa kuliko ya wanawake (wanaume bilioni 4.1 wanawake bilioni 4.0) na kwa tanzania inaonesha idadi ya wanawake ni kubwa kuliko ya wanaume, ila siyo kwa kiwango cha kufikia kila mwanaume kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja (wanaume milioni 31 wanawake milioni 32) ukitoa factors zote
 
Huyo anayelipwa huku anatoa unyumba naye unahesabu analipwa mkuu
Sijaelewa, hausigeli anatoa unyumba kivipi? Au unamaanisha mke anayelipiwa kodi ya nyumba, anayelishwa chakula, anayetibiwa, anaevishwa na kufikishwa kileleni?
 
Nimedai ya tanzania tu maana ningedai ya dunia nzima ungeaibika zaidi, kwa sababu ya dunia nzima inaonesha idadi ya wanaume ni kubwa kuliko ya wanawake (wanaume bilioni 4.1 wanawake bilioni 4.0) na kwa tanzania inaonesha idadi ya wanawake ni kubwa kuliko ya wanaume, ila siyo kwa kiwango cha kufikia kila mwanaume kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja (wanaume milioni 31 wanawake milioni 32) ukitoa factors zote
Wenye uwezo basi wawaoe kubalance equation lakini Hilo pia haliwezekani sababu swala ni wengi kuliko Simba
 
Sijaelewa, hausigeli anatoa unyumba kivipi? Au unamaanisha mke analipiwa kodi ya nyumba, analishwa chakula, anatetibiwa, anaevishwa nk.?
Taratibu tu utanielewa mkuu mnapoajiri hao mahousegirl, bado huwa mnataka wake zenu wawasaidie kazi wasiwaachie kila kitu maana wakiwaachia mnaanza kulalamika kwamba wake zenu wamejisahau, mwishowe mnaamua kutembea na hao mahousegirl kwa kisingizio kwamba eti wao ndio wanawafanyia kila kitu

Kutokana na kwamba mmeshajijengea ile mentality kuwa mwanamke anayekufanyia hizo shughuli za nyumbani ndiye unayetakiwa kulala naye, so point yangu ni kwamba kama tumeamua iwe 50/50 basi iwe applied kwenye majukumu yote ya mwanaume na ya mwanamke, isipokuwa yale ya kimaumbile tu

Yani isiwe applied kwenye majukumu ya mwanaume tu huku ya mwanamke yakiachwa, hiyo ndio sababu wanawake hawaikubali hiyo 50/50 mnayoitaka yenye double standards kama mkiamua kuajiri housegirl, basi acha housegirl afanye majukumu yote ya nyumbani bila kuona kama unapaswa kulala naye kisa tu ndiye anayekufanyia kila kitu
 
Hahahah mwanamke anapenda commander sio pleaser. Yani ukiwa mwanaume wa kutaka approval kwa kila kitu anaanza kukushusha vyeo.

Ukiwa mtu ambaye huwazi atajiskiaje we unampa orders tu jua atakupenda balaa. Yani onyesha tu kuwa hubabaishwi nae tu uone ambavyo ata bow down.
Tuishi humo ndugu. acha wanaopepesa macho, mwanamke hawezi kuwa na mamlaka juu yako kamwe mpaka Kristo atakavyorudi period.
 
Taratibu tu utanielewa mkuu mnapoajiri hao mahousegirl, bado huwa mnataka wake zenu wawasaidie kazi wasiwaachie kila kitu maana wakiwaachia mnaanza kulalamika kwamba wake zenu wamejisahau, mwishowe mnaamua kutembea na hao mahousegirl kwa kisingizio kwamba eti wao ndio wanawafanyia kila kitu

Kutokana na kwamba mmeshajijengea ile mentality kuwa mwanamke anayekufanyia hizo shughuli za nyumbani ndiye unayetakiwa kulala naye, so point yangu ni kwamba kama tumeamua iwe 50/50 basi iwe applied kwenye majukumu yote ya mwanaume na ya mwanamke, isipokuwa yale ya kimaumbile tu

Yani isiwe applied kwenye majukumu ya mwanaume tu huku ya mwanamke yakiachwa, hiyo ndio sababu wanawake hawaikubali hiyo 50/50 mnayoitaka yenye double standard kama mkiamua kuajiri housegirl, basi acha housegirl afanye majukumu yote ya nyumbani bila kuona kama unapaswa kulala naye kisa tu ndiye anayekufanyia kila kitu
Majukumu ambayo unataka niyafanye mimi 50 50 ni yale yale ambayo tayari namlipa house girl kufanya au kuna majukumu mengine?, kama unataka nimlipe malaya afanye majukumu ya kingono ya mke hiwa nafanya hivyo pia katika kioindi ambacho hajisikii kufanya, ila hii ni kwa siri.
 
Wenye uwezo basi wawaoe kubalance equation lakini Hilo pia haliwezekani sababu swala ni wengi kuliko Simba
Kijana wanaume wenye uwezo ni wengi kuliko wasio na uwezo, sasa tuassume kila mwanaume mwenye uwezo akataka kuoa wanawake wawili, watatu, wanne na kuendelea unafikiri wanawake waliopo watatosha, mwisho wa siku mtajikuta na wanawake nao itawalazimu kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja ili kila mwanaume apate mwanamke
 
Uzi upo sawa, Lakini nitauchukua Kwenye 50 / 50 when it comes to reality sababu mapenzi sio Science kwamba yana Laws and principals, Akili kumkichwa

LIKUD ana research problem ambapo akifanya research yake anakuja na majibu kabisa nakuambia, ukitaka kuangalia hii pilot test aliyoipata hapa hizo YES ni nyingi kuliko NO
 
Una elewa maana ya ndoa?

Kuishi na mwanamke si lazima ufunge naye ndoa.

Kataa ndoa si kukataa wanawake, Ni kukataa kufunga ndoa na mwanamke.

Watu wameishi, wanaishi na wake bila ndoa vizuri tu.

Ukisha funga ndoa unapoteza mamlaka yako kama mwanaume maana sheria ina mlinda mwanamke kwa lolote.
Utafunga naye ndoa akiwa tayari kwenye ukomo wa hedhi na ww ukiwa huna nguvu za kiume kinyume cha hapo ni sogea tukae akizingua timua vuta chombo mpya😋😋😋😋
 
Wanawake wapuuzi sana, hv viumbe havijuagi nini vinataka.....
Nimeandika Maoni mara tano, nimejikuta naandika nafuta.....[emoji3578][emoji3578][emoji851][emoji851]

Hiyo ni kauli ya kizamani haiendani na mabadiliko ya sasa kuwa mwanamke hajui anachotaka?oh stuka kila siku mnakula mizinga mnasema hawajui wanataka nini. Mwanamke anajua anataka nini anajua anakipata wapi na kwa nani anajua atakipataje na kwa wakati gani na kwa namna gani. Bao bao bao
 
Me huwa naweka hisia kali mpaka udenda unachuruzika napoona mbususu ikiwa imetuna kwenye mapaja meupe yaliyojaa juu kukiwa na kishundu kama mitungi ya maji😋😋😋
😂😂🤔we jamaa
Sasa si utakua unamwaga ndani ya dakika
 
Majukumu ambayo unataka niyafanye mimi 50 50 ni yale yale ambayo tayari namlipa house girl kufanya au kuna majukumu mengine?, kama unataka nimlipe malaya afanye majukumu ya kingono ya mke hiwa nafanya hivyo pia katika kioindi ambacho hajisikii kufanya, ila hii ni kwa siri.
Hapana mkuu labda nikuwekee maelezo katika haya makundi manne ndio utanielewa

-Mume atafute pesa, alipe bili na ahudumie mke na watoto, mke afanye kazi za nyumbani na atunze mume na watoto, kusiwe na housegirl

-Mke atafute pesa, alipe bili na ahudumie mume na watoto, mume afanye kazi za nyumbani na atunze mke na watoto, kusiwe na housegirl

-Wote mume na mke mtafute pesa, mlipe bili mhudumie na mtunze watoto na msaidiane kazi za nyumbani kwa pamoja, kusiwe na housegirl

-Wote mume na mke mtafute pesa, mlipe bili mhudumie na mtunze watoto kwa pamoja ila msifanye kazi za nyumbani, kuwe na housegirl na ndio afanye kazi zote za nyumbani

Hoja yangu ni kwamba majukumu yote mnayotakiwa kuyafanya whether housegirl yupo au hayupo basi myafanye Pasu Kwa Pasu na hiyo iwe ratiba ya kila siku

Na hiyo ndio maana halisi ya 50/50 tofauti na hapo maana yake ni kwamba mmoja atakuwa anatwishwa majukumu mengi kuliko mwenzake
 
Back
Top Bottom