Ukweli mchungu ila ubachelor unawafaa zaidi Vijana waliojipata, wapambanaji na wanaojielewa

Tukipenda wenye pesa mtuelewe, hatutaki wanaume wa kutuambukiza umaskini.
N.b, hii comment haiwahusu ke/me wenye mikono miwili hawajishughulishi wanasubiri serikali iwaajiri.
hizo pesa wewe unazo? Yaan uende kwa jaama ww mwenyewe masikini halaf unataka eti anaekuoa awe nazo.
 
dronedrake Poor Brain Intelligent businessman Mbaga Jr
 
uzi hapa ndo umeanza kuwa motooo
 
Tukipenda wenye pesa mtuelewe, hatutaki wanaume wa kutuambukiza umaskini.
N.b, hii comment haiwahusu ke/me wenye mikono miwili hawajishughulishi wanasubiri serikali iwaajiri.
Kwani hata Hao wenye pesa munawapenda basi, ni njaa zenu tu ndio zinawapelekesha🀣🀣🀣
 
Majukumu yanazidi, huwazi sana kuhusu wanawake, hukutani nao sana na hata ukikutana nao huwawazii ngono kama hapo kabla.

Umri huo huhangaiki kutafuta pisi hovyo, wewe na washkaji zako hampigi tena zile stori za nimeiona pisi kali maeneo flani nk.
 
Aisee nimecheka mnoo...ila uchafu ni tabia ya mtu sio ubachela...ila ubachelor wa 35 and above sio ubachela huo ni ubachula....
 
U
Majukumu yanazidi, huwazi sana kuhusu wanawake, hukutani nao sana na hata ukikutana nao huwawazii ngono kama hapo kabla.

Umri huo huhangaiki kutafuta pisi hovyo, wewe na washkaji zako hampigi tena zile stori za nimeiona pisi kali maeneo flani nk.
Uzee uko spidi sana...vijana mjipange mapema na haya mavyakula ndo kabisa unakuta mtu 25 li upara hilooo...mara mkitambi...
 
U

Uzee uko spidi sana...vijana mjipange mapema na haya mavyakula ndo kabisa unakuta mtu 25 li upara hilooo...mara mkitambi...
Upara na kitambi sio viashiria vya uzee ila sura.

Vijana wengi sana wana upara ila hawana hata daliki za uzee nyusoni mwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…