Ukweli mchungu ila ubachelor unawafaa zaidi Vijana waliojipata, wapambanaji na wanaojielewa

Ukweli mchungu ila ubachelor unawafaa zaidi Vijana waliojipata, wapambanaji na wanaojielewa

Juzi nilipita kwa jamaa yangu ni bachela umri anazaidi ya miaka 35 ila nilichokiona ndani mwake nikama anaishi dampo.

Yaani amepanga chumba na sebule lakini ukiingia ndani hujui chumba ni kipi na sebule ni ipi vitu vimetapakaa chupa za bia makopo ya double kick enegy nguo ziko kwenye kochi, vyombo vimechafuka balaa mabaki ya maandazi ugali.

Kuna umri ukifika ni aibu baba mzima tena unakuta na kipara kabisa kimejitokeza kuinama unaosha vyombo, kupiga deki ,kusugua sufuria, kukata kata nyanya etc

Jamani vijana wenzangu tusilazimishe ubachela kama hatuwezi gharama zake, yaani asilimia kubwa ya mabachela ukiwashitukiza wanapokaa wengi utakuta wanaishi kwenye vyumba kama jalalani hata kufua shuka tu na boksa hawawezi, wengine hata kitanda wahatandiki.

Lakini hawa hawa mabachela wengi wao kila ijumaa na jmosi utawakuta wako club wanamwagilia moyo, kununua wanawake na kucheza kamari.

Kama maisha ya ubachela huyawezi usijizalilishe waachie vijana wanao yaweza Wanaoweza kulipia gharama za kufanyiwa usafi, kupikiwa kuishi maisha bora huku wakiendelea na shughuli zao za utafutaji kama kawaida.

Sasa mtu unafikisha hadi miaka 40 uko bachelor huna mtoto huna pesa huna mali ya maana unategemea utakuja upate mwanamke wa maana wa kuishi nae wakati uzee umeshakuingia au unatakakuja kutafutia watu lawama?

Kuna vijana wanajimudu kimaisha halafu wana Mali hata wakikaa bachela kwa it's OK sasa wewe pangu pakavu.

Moja ya faida ya kuishi na mwanamke anaejielewa ni dawa ya kuondoa uvivu kwa mwanaume yaani utatoka tu ukatafute upambane ulete msosi mezani, gambe, kamari, Malaya utapunguza na ndio itakuwa chanzo cha maendeleo yako binafsi na ya familia.
MCHAFU NI MCHAFU TU!!!!

Wapo wadau wengi tu ni mabachela na ..ndani wanako kaa pako VIZURI sana!!!!

Kujitia ubize na UVIVU usiokuwa na maana!!

Ndo maana unakuta wengi wao minyanya inaozea ndani!!

Vikombe viko uvunguni!!!

Chumba ni kama ...dampo limehamia ndani!

Usafi na kujitambua...ni ishu binafsi ambayo ..kiuhalisia

Havihusiani kabisa na NDOA!!!

KUNA WANAUME WAPO KWENYE NDOA....WANAISHI NA WANAWAKE
LAKINI.....KUTWA NZIMA UGOMVI NA MKEWE NI KUHUSU USAFI!!

MARA KATEMA MIMATE UKUTANI?!!
N.K!!

KWAHYO USIFIKIRIE KUOA / KUISHI NA MWANAMKE ETI SABABU TU KAZI NA MAJUKUMU YA NDANI VIMEKUZIDIA

KUNA VINGI UNAVIHITAJI KUTOKA KWA MKEO MTALAJIWA NA SIO

KUKUDEKIA TU NA KUKUFULIA BOKSA!!!!

N:B AU BASI
 
Juzi nilipita kwa jamaa yangu ni bachela umri anazaidi ya miaka 35 ila nilichokiona ndani mwake nikama anaishi dampo.

Yaani amepanga chumba na sebule lakini ukiingia ndani hujui chumba ni kipi na sebule ni ipi vitu vimetapakaa chupa za bia makopo ya double kick enegy nguo ziko kwenye kochi, vyombo vimechafuka balaa mabaki ya maandazi ugali.

Kuna umri ukifika ni aibu baba mzima tena unakuta na kipara kabisa kimejitokeza kuinama unaosha vyombo, kupiga deki ,kusugua sufuria, kukata kata nyanya etc

Jamani vijana wenzangu tusilazimishe ubachela kama hatuwezi gharama zake, yaani asilimia kubwa ya mabachela ukiwashitukiza wanapokaa wengi utakuta wanaishi kwenye vyumba kama jalalani hata kufua shuka tu na boksa hawawezi, wengine hata kitanda wahatandiki.

Lakini hawa hawa mabachela wengi wao kila ijumaa na jmosi utawakuta wako club wanamwagilia moyo, kununua wanawake na kucheza kamari.

Kama maisha ya ubachela huyawezi usijizalilishe waachie vijana wanao yaweza Wanaoweza kulipia gharama za kufanyiwa usafi, kupikiwa kuishi maisha bora huku wakiendelea na shughuli zao za utafutaji kama kawaida.

Sasa mtu unafikisha hadi miaka 40 uko bachelor huna mtoto huna pesa huna mali ya maana unategemea utakuja upate mwanamke wa maana wa kuishi nae wakati uzee umeshakuingia au unatakakuja kutafutia watu lawama?

Kuna vijana wanajimudu kimaisha halafu wana Mali hata wakikaa bachela kwa it's OK sasa wewe pangu pakavu.

Moja ya faida ya kuishi na mwanamke anaejielewa ni dawa ya kuondoa uvivu kwa mwanaume yaani utatoka tu ukatafute upambane ulete msosi mezani, gambe, kamari, Malaya utapunguza na ndio itakuwa chanzo cha maendeleo yako binafsi na ya familia.
Umekuja duniani kuishi kwa kufurahisha watu au kutimiza matakwa yako na kuridhisha nafsi yako ?
Ni maamuzi yako kuishi utakavyo
 
Juzi nilipita kwa jamaa yangu ni bachela umri anazaidi ya miaka 35 ila nilichokiona ndani mwake nikama anaishi dampo.

Yaani amepanga chumba na sebule lakini ukiingia ndani hujui chumba ni kipi na sebule ni ipi vitu vimetapakaa chupa za bia makopo ya double kick enegy nguo ziko kwenye kochi, vyombo vimechafuka balaa mabaki ya maandazi ugali.

Kuna umri ukifika ni aibu baba mzima tena unakuta na kipara kabisa kimejitokeza kuinama unaosha vyombo, kupiga deki ,kusugua sufuria, kukata kata nyanya etc

Jamani vijana wenzangu tusilazimishe ubachela kama hatuwezi gharama zake, yaani asilimia kubwa ya mabachela ukiwashitukiza wanapokaa wengi utakuta wanaishi kwenye vyumba kama jalalani hata kufua shuka tu na boksa hawawezi, wengine hata kitanda wahatandiki.

Lakini hawa hawa mabachela wengi wao kila ijumaa na jmosi utawakuta wako club wanamwagilia moyo, kununua wanawake na kucheza kamari.

Kama maisha ya ubachela huyawezi usijizalilishe waachie vijana wanao yaweza Wanaoweza kulipia gharama za kufanyiwa usafi, kupikiwa kuishi maisha bora huku wakiendelea na shughuli zao za utafutaji kama kawaida.

Sasa mtu unafikisha hadi miaka 40 uko bachelor huna mtoto huna pesa huna mali ya maana unategemea utakuja upate mwanamke wa maana wa kuishi nae wakati uzee umeshakuingia au unatakakuja kutafutia watu lawama?

Kuna vijana wanajimudu kimaisha halafu wana Mali hata wakikaa bachela kwa it's OK sasa wewe pangu pakavu.

Moja ya faida ya kuishi na mwanamke anaejielewa ni dawa ya kuondoa uvivu kwa mwanaume yaani utatoka tu ukatafute upambane ulete msosi mezani, gambe, kamari, Malaya utapunguza na ndio itakuwa chanzo cha maendeleo yako binafsi na ya familia.
Haya maisha ya kuishi kwa kufurahisha watu ,kwamba flani ataniona hivi sio maisha .
Kwamba kila mtu lengo lake duniani ni kuoa ,kuolewa na kuzaa , ni mawazo mfu .
Si kila mtu anafaa kuoa ,kuolewa au kuzaa , haya mambo ya kulazimisha ndio yanaleta matatizo kwenye jamii , watu wanaoa ,au kuolewa na haya kuzaa ila kiuhalisia hawana sifa za kuwa wazazi au mume au kuwa mke
Matatizo ndio hayo kuwa na watoto wenye malezi duni , kuvunjika kwa ndoa na mahusiano kwa idadi kubwa , visa na matukio ya violence na mauaji kwa wanandoa au wenza ,
Si kila mtu vision yake ni kuoa ,kuolewa au kuzaa pia .
 
Yaani nipoteze pesa kufuga litoto la mtu , niache kufuga ng'ombe ,nguruwe ,bata na kuku ,niwe nakula nyama na maziwa kila siku ,aisee
Kuna watu wanaishi kwenye "MATRIX"
Nonsense
 
H
Aisee ubachelor katika old age ni balaa. Hapa Nina wiki moja wife kakimbia ukiingia nyumbani utanionea huruma. Yaani sijui hawa wahuni huwa wanaishi vipi? Kula kushida, usafi shida Kila kitu ni shida.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Habari mtanzania, unajua kwamba muda huu unaosoma hii text mke wako anapigwa paipu na walume? kama unabisha mpigie simu uone kama atapokea
 
Tatizo ishu zetu zinafanya ukutane na pisi chuma ulete.

Kuna kaumri fulani unapata wanawake wanaokupenda kwa dhati kabisa, ukishavuka hapo, ukawa bize na mitikasi ya maisha pisi utazokua unakutana nazo ni zile kausha damu tu.
Wewe ni mtu wa tatu kusema Ivo, Sijajua kwanini inakuaga ivyo, mwanaume kwenye miaka 18-23 unapata pisi zinazokupenda kweli, juu ya hapo, miaka 25-hadi uzee kupata demu anaekupenda ni ngumu, sijui wanaume tukifika miaka 25,26,27,28 tunazeeka kimuonekano Vishu Mtata
 
Back
Top Bottom