Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Nna maadui humu wa chini chini acha tyuuu!!🤣🤣🤣🤣😅😅😅 Na watakupata tu. Kumbe unapigwa vita Kila upande?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nna maadui humu wa chini chini acha tyuuu!!🤣🤣🤣🤣😅😅😅 Na watakupata tu. Kumbe unapigwa vita Kila upande?
🤣🤣🤣 halafu ww utakuwa wizo BICHWA KOMWE - unatusumbua tu hapaSasa Mimi sio wa chini kwa chini. Mimi ni adui yako wa live, na sijifichi. Ndege wangu wakipeperuka, naanza kampeni ya kukutafutia ban hapa JF, labda urudi na Ile account yako nyingine ya Joannah 😅😅😅
😅😅😅 Either umenichoka, au umeamua kuliupgrade bifu letu. Haiwezekani unifananishe na huyo mchele mchele🤣🤣🤣 halafu ww utakuwa wizo BICHWA KOMWE - unatusumbua tu hapa
🤣🤣🤣🤣 ni ww bhana bichwa😅😅😅 Either umenichoka, au umeamua kuliupgrade bifu letu. Haiwezekani unifananishe na huyo mchele mchele
Unazidi kuniongezea kashfa 😅😅🤣🤣🤣🤣 ni ww bhana bichwa
🤣🤣🤣🤣 wewe si umetaka bifu, hakuna kuchagua silaha. Na id ya Unique Flower yako piaUnazidi kuniongezea kashfa 😅😅
Huyo ndio namuogopa kama tindikali. Alishaniambiaga hanikubali hata kidogo, na hapo sijamkosea kitu. Sasa plz usiniingize kwenye 18 zake 😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣 wewe si umetaka bifu, hakuna kuchagua silaha. Na id ya Unique Flower yako pia
😂😂😂😂 kaa kwa kutulia hizo ni id zako unatuchosha mara bichwa mara da mau.!!Huyo ndio namuogopa kama tindikali. Alishaniambiaga hanikubali hata kidogo, na hapo sijamkosea kitu. Sasa plz usiniingize kwenye 18 zake 😅😅😅😅
Na wewe hujaolewa bado?Tukipenda wenye pesa mtuelewe, hatutaki wanaume wa kutuambukiza umaskini.
N.b, hii comment haiwahusu ke/me wenye mikono miwili hawajishughulishi wanasubiri serikali iwaajiri.
😅😅😅 Unamjua vizuri lakini huyo mau. Ngoja aje😂😂😂😂 kaa kwa kutulia hizo ni id zako unatuchosha mara bichwa mara da mau.!!
Kivipi??..funguka kidogoIla usela halafu ukiwa na mawe raha sana!
😂😂😂 Kwahiyo unaswitch id nyingine??😅😅😅 Unamjua vizuri lakini huyo mau. Ngoja aje
Ndio, safisha kichwa hicho.Mkuu Kumbe Ulikuja Kunichunguza?