Mtoa mada hayupo sahihi katika hiyo hoja, kuna watu wana hustle usiku na mchana kutafuta ridhki, lakini mbio inatumika nyingi matokeo hafifu. Sio kila maskini anafaa lawama.Wewe wa kike lala mama. Ruksa!
NimenyamazaMtoa mada hayupo sahihi katika hiyo hoja, kuna watu wana hustle usiku na mchana kutafuta ridhki, lakini mbio inatumika nyingi matokeo hafifu. Sio kila maskini anafaa lawama.
ila alichokisema kitumike kama catalyst kila mtu kuzidi kupambana na maisha! Wewe kama umefanikiwa kula nyama Nyamaza!
Siaji ajira ng'o sema mpaka ujichafuePia kuajiriwa zaidi ya miaka kumi ni tatizo pia.
Ahahahah ๐๐๐Anasema mjinga mmoja anaetegemea mshahara mwisho wa mwezi, acha kazi ya ulinzi njoo kitaa pumbafu wewe
Nilifanya kazi ya kwanza kabisa kama mlinzi G4S mgodini Bulyangulu, miezi michache nikaajiriwa na Acacia pale pale mgodini nikilipwa around 570 k enzi zile pesa ambayo alikuwa akilipwa sergeant wa polisi. Nikaacha kazi kwa muda mfupi baada ya kuajiriwa na TANAPA kama game ranger au mlinzi tuite ili moyo wako ufurahi.Ndio watu hawajui km hiki kijamaa Sandali Ali ni kilinzi tu pale Gardaworld eti kinakaa humu kinaanza kuandika ujinga ujinga baada ya kufunga Lindo,
NakaziaKuna bro mmoja ambaye amefanikiwa tu
Alisema ukianza kupata hela mara kwa mara
Yani Simu nyingi za madili
madili yanapishana tu.
Basi unaweza kuona wasio na hela ni wazembe au hawana akili
Kumbe maisha yalivyo kuna siku unaweza kukosa hata jero ya mihogo
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mkuu,Watu hawapo sawa tena tuna tofautiana kwa kiwango kikubwa tajir..
Akili, Mawazo na Fikra Ulizonazo wewe, mimi na mwengine ni tofauti which led kuwepo kwa matabaka katika jamii
It's all connected and none of us can change it
If you see yourself as a clever one basi know that wengine wanakuona wewe ni mzembe na mvivu na mafanikio yako hayawezi kuwa kama wao
Mafanikio ya mtu yapo kwenye DNA zake ... Ndio maana kuna wanaotumia nguvu nyingi ila wanapata Matokeo Madogo na kuna wanaotumia nguvu ndogo but wana archive vitu vikubwa
You can't beat these kinds of people and you can't be them but angalau utapata unacho stahili for your hard work
Usilazimishe vitu kama haviendi coz maybe Mazingira hayaruhusu Mafanikio yako hapo due to your DNA
Badilisha Mazingira instead of Kulazimisha vitu coz I know for the fact kila mtu mafanikio yake yapo sehemu fulani but how do you know that?
You'll know kwa kubadisha unachokifanya au kubadilisha Mazingira and that's it.
It's just a puzzle or something which every one of us need to figure it out na kama utashindwa kung'amua basi you'll be doomed Forever.
Mm Huwa Niko humble sana kuheshimu wakubwa Kwa wadogo pia ninakifua chakuvumilia ukosoaji mkubwa...Sema matusi ni ukosefu Wa hekima Mara nyingi ukifanikiwa to the top huwezi kumdharau aliyepo chini kila MTU yupo Ila tusirhusu matusi.
Yes mkuu hilo tatizo linaanzia mbali MTU akichafuka ndani inaweza kumchukia miaka mingi kukaa sawa.Mm Huwa Niko humble sana kuheshimu wakubwa Kwa wadogo pia ninakifua chakuvumilia ukosoaji mkubwa...
Mm hata kumtukana mtu k*m*m*k siwez na ujana wote sijawai na sitokuja kufanya ivyo ๐๐
Mkuu Kuna watu wamelelewa matusi kwao ni maneno ya kawaida mfano Zanzibar watu hutoa matusi ni kawaida na mikoa ya pwani โบ๏ธโบ๏ธ๐๐
โ๏ธโ๏ธ
business all dayยถยถInasikitisha sana.
Zote hizi ni kauli za wavivu.
Mtu mvivu akikumbushiwa kazi badala hata ajaribu anakasirika na kusema haiwezekani na hawezi kuifanya
Unakosaje shamba nchi kubwa yote hii na mapori kibao tena ya bure nguvu zako tu kusafisha.Hivi unadhani mgodini unaingia kwamba sasa nikachimbe? Huna shamba unajua gharama ya kukodi shamba? Uanze uvuvi leseni, chombo na nyavu, Uanze biashara kupata location nzuri gharama ya frame tu ni mtaji, Mtaji wenyewe wa kurundika na kula hapo hapo kodi ya nyumba na vinginevyo, sio rahisi hivyo kama ulivoandika.
Muhimu tu usisahau hiki ulichokiandika hapa. Maana kesho utashangaa unakuja tena na uzi wa kulalamikia ugumu wa maisha unaopitia.Please uzi huu naomba ukae jukwaani angalau kwa mwaka mmoja. Vijana wanalia njaa huku wamezungukwa na vyakula, waamke wale.
Hili ndilo hitimisho langu na ndio ukweli wenyewe.
Najua maskini watanijia juu wakitamani kuniua kwa kuwaambia ukweli.
Lengo sio kuwaumiza mioyo, lengo ni kuwaamsha. Tokeni usingizini mkapate mali.
Sizungumzii kuwa matajiri, nazungumzia ustawi wa maisha ya kawaida. Kumiliki Nyumba, biashara, gari au hata shamba.
Nchi hii yenye hifadhi za wanyama nyingi, mapori tengefu mengi, bahari imelala kutoka Kaskazini Mashariki mpaka kusini Mashariki mwa nchi, misitu mingi, ardhi yenye rutuba haina hesabu.
Ina maana shetani amefunga akili zako usiione fursa angalau moja kati ya mamilioni ya fursa? Unasubiri serikali ikupeleke kwa nguvu Makete ukalime Viazi?
Unasubiri Serikali ikupeleke kwa nguvu kwenye migodi na mialo ya dhahabu ukachimbe?
Kama huna ustawi katika maisha yako jua tu kuwa shetani ameharibu akili zako kwa ufupi amekufanya usiwe na akili timamu.
Amka. Wengine watasema tatizo mtaji. Serious?
Nimeona watu wengi sasa wana pesa, mtaji wao wa kwanza ulikuwa nguvu na uthubutu.
Nenda kwenye migodi, mtaji wako ni nguvu tu, acha ulevi na uzinzi utafanikiwa.