Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili yako ni ndogo kijana soma mada ulioandikwa alafu jibu Kwa kutulia usisupport kila kitu sababu kimewekwa kuegemea upande fulani, panua ubongoNingekuwa kaka yake ninafukuza kabisa
Nikuambie kitu; rusha ngumi moja ya ndoige impate kwenye meno atatuliaHakuna anaeishi kwa shemeji usiongee na Mimi as if unanijua personally hio inaonyesha jinsi gani akili yako ni ndogo
Akili ndogoNikuambie kitu; rusha ngumi moja ya ndoige impate kwenye meno atatulia
Hapo utakuta una tumilioni ishirini kwa akaunti , asubuhi umekunywa tusupu twa makongoro basi unajiona bosi .Please uzi huu naomba ukae jukwaani angalau kwa mwaka mmoja . Vijana wanalia njaa huku wamezungukwa na vyakula, waamke wale.
Hili ndilo hitimisho langu na ndio ukweli wenyewe.
Najua maskini watanijia juu wakitamani kuniua kwa kuwaambia ukweli.
Lengo sio kuwaumiza mioyo , lengo ni kuwaamsha. Tokeni usingizini mkapate mali.
Sizungumzii kuwa matajiri, nazungumzia ustawi wa maisha ya kawaida. Kumiliki Nyumba, biashara, gari au hata shamba.
Nchi hii yenye hifadhi za wanyama nyingi, mapori tengefu mengi, bahari imelala kutoka Kaskazini Mashariki mpaka kusini Mashariki mwa nchi, misitu mingi, ardhi yenye rutuba haina hesabu.
Ina maana shetani amefunga akili zako usiione fursa angalau moja kati ya mamilioni ya fursa?
Unasubiri serikali ikupeleke kwa nguvu Makete ukalime Viazi?
Unasubiri serikali ikupeleke kwa nguvu kwenye migodi na mialo ya dhahabu ukachimbe?
Kama huna ustawi katika maisha yako jua tu kuwa shetani ameharibu akili zako kwa ufupi amekufanya usiwe na akili timamu.
Amka.
Wengine watasema tatizo mtaji. Serious?
Nimeona watu wengi sasa wana pesa, mtaji wao wa kwanza ulikuwa nguvu na uthubutu.
Nenda kwenye migodi, mtaji wako ni nguvu tu, acha ulevi na uzinzi utafanikiwa.
Umesoma alichokiandika hapa huyu zwazwa? Hicho ndicho nilichochukia mtu anakaa anaandika vitu hata havielewi ili kupata attention ni ujinga, sasa ukimwambia aifafanue hio aya ataishia kutoa tu mimachoNchi hii yenye hifadhi za wanyama nyingi, mapori tengefu mengi, bahari imelala kutoka Kaskazini Mashariki mpaka kusini Mashariki mwa nchi, misitu mingi, ardhi yenye rutuba haina hesabu.
Wakat nasoma kipindi kile miaka ya 2000 Hela ilikuwa ngumu balaa kuipata,nilipiga sana vibarua mashambani na kubeba zege kwenye majengo yaliyokuwa yakijengwa na jkt! Sikumbuki km baba amenilipia ada mara ngap o level.. Godoro nimelijua nilipoenda form five!Ningekuwa kaka yake ninafukuza kabisa
Kwamba unajiona wewe ni timamu sana mbaka unajifnya unatufundisha kuwa matajiri sioHumu JF wengi ni wajinga sana aisee
Ni hatari nchi hii. Hiyo simu ni sawa na shamba eka mbili pale Kisarawe.Wakat nasoma kipindi kile miaka ya 2000 Hela ilikuwa ngumu balaa kuipata,nilipiga sana vibarua mashambani na kubeba zege kwenye majengo yaliyokuwa yakijengwa na jkt! Sikumbuki km baba amenilipia ada mara ngap o level.. Godoro nimelijua nilipoenda form five!
Nilivyomaliza chuo nikarudia kijjn kwa bibi ,sikuwa na pesa ila maeneo yalikuwepo ,nikasema ngoja nishike jembe nikaandaa shamba nikaenda Kwa jirani kuomba mbolea! Niliwastaajabisha watu jinsi nilivyovuma mahindi,njugu,karanga!
Kijana analalamika mtaji Hana wakat anamiliki Sumsang Galaxy kali na anayo PC anatumia kuchekia Porno tu!
Kwa hio hadithi yako inakifundisha nini? Unajua kuna watu wakikuwekea story zao unajua unaweza ukaishia kukenua tu mdomo, watu wanahustle watu wanapambana nini kubeba zege sijui kulima na uchafu gani kwa Bibi yako mamaezako ushawahi kufanya kazi masaa 18/19 bila kupumzika mwezi mzima hadi unahisi kufakufa? Kazi ambayo ukipewa wewe huvuki siku 3 una-float unaumwa mafua km kuku mwenye mdondoWakat nasoma kipindi kile miaka ya 2000 Hela ilikuwa ngumu balaa kuipata,nilipiga sana vibarua mashambani na kubeba zege kwenye majengo yaliyokuwa yakijengwa na jkt! Sikumbuki km baba amenilipia ada mara ngap o level.. Godoro nimelijua nilipoenda form five!
Nilivyomaliza chuo nikarudia kijjn kwa bibi ,sikuwa na pesa ila maeneo yalikuwepo ,nikasema ngoja nishike jembe nikaandaa shamba nikaenda Kwa jirani kuomba mbolea! Niliwastaajabisha watu jinsi nilivyovuma mahindi,njugu,karanga!
Kijana analalamika mtaji Hana wakat anamiliki Sumsang Galaxy kali na anayo PC anatumia kuchekia Porno tu!
Mtu amesomea ualimu na anajua digrii ya ualimu hasa ya arts haina ajira bado anavipenda vyeti yaani yupoyupo tu !Ni hatari nchi hii. Hiyo simu ni sawa na shamba eka mbili pale Kisarawe.
Hiyo PC ni mtaji wa kupandia mihogo heka mbili
Samahani MkuuKwamba unajiona wewe ni timamu sana mbaka unajifnya unatufundisha kuwa matajiri sio