Ukweli mchungu: Kama unaishi Tanzania halafu wewe ni maskini huna akili timamu

Ukweli mchungu: Kama unaishi Tanzania halafu wewe ni maskini huna akili timamu

Humu JF wengi ni wajinga sana aisee
Wewe ni zaidi ya Mjinga haujitambui kwa kusupport ujinga, unafikiri Pori tengefu unalivamia tu na kujimilikisha km alivyoandika huyo Boya nazi mwenzio?
 
Unajua unachokiongea wewe bimkubwa una Vijana wangapi ambao ni wavivu unaowafuga kwenye nyumba yako? Au akili zako umeziweka wapi?
Yes, nafahamu ninachoongea, na siyo lazima wawe wangu but wengi wao ni wavivuu
 
Wewe ni zaidi ya Mjinga haujitambui kwa kusupport ujinga, unafikiri Pori tengefu unalivamia tu na kujimilikisha km alivyoandika huyo Boya nazi mwenzio?
Njoo kwangu nikupe mbinu za kupata ardhi na kulima kwa mtaji wa hela ya kununulia iPhone
 
Endelea kulala hapo kwa shemeji Yako ,huku ukiwaza utajiri
Hakuna anaeishi kwa shemeji usiongee na Mimi as if unanijua personally hio inaonyesha jinsi gani akili yako ni ndogo
 
Back
Top Bottom