Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anapigwa fataki hatariMajobless muuweni kabisa mleta mada lkn ukweli usemwe tu vijana mmewekeza akili kwenye betting badala ya kuwaza nje ya box
Unajua unachokiongea wewe bimkubwa una Vijana wangapi ambao ni wavivu unaowafuga kwenye nyumba yako? Au akili zako umeziweka wapi?Vijana wengi ni wavivu, wapo wapo tu
Wewe mama subiri mawe yakoVijana wengi ni wavivu, wapo wapo tu
Pole kampe Mama yakoPole sana
Ameipata Mama mzaa chema 😃Pole kampe Mama yako
Wewe ni zaidi ya Mjinga haujitambui kwa kusupport ujinga, unafikiri Pori tengefu unalivamia tu na kujimilikisha km alivyoandika huyo Boya nazi mwenzio?Humu JF wengi ni wajinga sana aisee
Yes, nafahamu ninachoongea, na siyo lazima wawe wangu but wengi wao ni wavivuuUnajua unachokiongea wewe bimkubwa una Vijana wangapi ambao ni wavivu unaowafuga kwenye nyumba yako? Au akili zako umeziweka wapi?
Umri wako ndio shida yako inapoanzia huna akili endelea kukuaAmeipata Mama mzaa chema 😃
Shida ni umri wakoHili povu ni la Omo Multiactive 😀👆
Njoo kwangu nikupe mbinu za kupata ardhi na kulima kwa mtaji wa hela ya kununulia iPhoneWewe ni zaidi ya Mjinga haujitambui kwa kusupport ujinga, unafikiri Pori tengefu unalivamia tu na kujimilikisha km alivyoandika huyo Boya nazi mwenzio?
Nimekuuliza wewe una mfuko wa uzazi, vijana wako uliowatoa kwenye mfuko wako wa mimba ni wavivu?Yes, nafahamu ninachoongea, na siyo lazima wawe wangu but wengi wao ni wavivuu
Tuwekeane namba za NIDA hapa tuone mimi na wewe nani mkubwa jingaUmri wako ndio shida yako inapoanzia huna akili endelea kukua
Huna mbuni ya kunipa kusupport ujinga km ulioandikwa na mleta mada, stupidNjoo kwangu nikupe mbinu za kupata ardhi na kulima kwa mtaji wa hela ya kununulia iPhone
Ona ulivyo na akili ndogo,Tuwekeane namba za NIDA hapa tuone mimi na wewe nani mkubwa jinga
Brother;matusi yote hayo kisa tu kukumbushiwa fursa za kazi?Huna mbuni ya kunipa kusupport ujinga km ulioandikwa na mleta mada, stupid
Ningekuwa kaka yake ninafukuza kabisaEndelea kulala hapo kwa shemeji Yako ,huku ukiwaza utajiri
Hakuna anaeishi kwa shemeji usiongee na Mimi as if unanijua personally hio inaonyesha jinsi gani akili yako ni ndogoEndelea kulala hapo kwa shemeji Yako ,huku ukiwaza utajiri