Ukweli mchungu: Kikwete family ni Royal Family watatutawala milele

Mimi binafsi namkumbuka Magufuli

1.ametuprotect against chanjo za corona. Hakika aliwazidi ujanja wazungu.
Mimi nilifurahishwa sana na hili.

Mengine siwezi kumsifia maana alikuwa anatimiza wajibu wake sawa na mimi ninapotimiza wajibu kulipa kodi nakuwa raia mwema.
 

Well technicaly hakutu protect against chanjo. Aliruhusu watumishi walichomwa, viongozi hata yeye mwenyewe baadae alikubali
 
Heh! Wanasema Unique ni mbaba?
Aisee kumbe hadi wewe umeamini asante sana eeh kama umekubali mio sii mbaba mie nijibaba lenye mavuzi ya gold ila tofauti ipo sio shoga bali nawala wanaume mliokaa vibaya wambeya wambeya ,wafitini ,
 
Katiba ikibaki ilivyo kwamba Rais asishitakiwe kwa lolote itakuwa hivyo.

Rais ni binadamu anaweza kukosea kama mtu mwingine Kwanini akipatikana na makosa asishitakiwe?

Mbona Katiba inasema hakuna aliye juu ya sheria?
 
Labda apatikane Rais wa kariba ya Nyerere na JPM ambao watoto wao hawakuwaweka mbele wala kuwatumia kwenye
 
Tuamke watatutawala sn hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…