Mkuu tafuta pesa/cheo elimu ipo tu.Mkuu somesha watoto na wajukuu acha kulalama na kulia wivu, ndio suluhisho la kumkomboa mtu kutoka katika umaskini.
Unaloga tu hawaji ofisini kamwe mpaka uamue Sasa wewe kha hapo udaiwe hadi hela ya mchepuko na ada shauri yakoHizo tozo na kodi unazolipa kwa shingo upande ndio kutawaliwa kwenyewe
U nailed it.Ukiona kauli kama hizi ujue kuna jambo.
Na si zuri kwa hao wanaotajwa.
Wewe unatakaje kaka?Babu yake alikuwa Akida sijui Liwali kwenye serikali ya kikoloni.
Baba yake akawa DC kwenye serikali ya Nyerere.
Mtoto mtu akawa Rais,na bado ana ushawishi.
Mke wake ni mbunge.
Mtoto ni naibu waziri na bado umri wake ni mdogo unamruhusu kupambana.
Bado anawatoto wengine wanakua, wengine ni madaktari wengine marubani nk. Ridhwani angeweza kufanya kazi BOT au State Atorneys Office ila akaamua kuongia kwenye siasa ili atutawale.
Ili kufanikisha hili kuna familia tano zimejiunga pamoja,Kikwete Family,Makamba Family,Nnauye Family,Kinana Family,chini ya master mind Rostam Aziz.bila kusahau familia ya mzee Mwinyi. Hakuna kikundi au mtu mmoja mmoja anayeweza kuwashinda hawa ex soldiers
Bila Mzee Nnauye Makamba angekuwa anauza mapeasi Lushoto,January Makamba angekuwa anaendesha Fuso.
Bila JK ,Nape angekuwa anaendesha bodaboda.
Bila mzee Ruksa JK angekuwa analima mananasi bagamoyo
Hii ni Family moja tusipoteze muda kushindana nayo bali tuishi nao kwa akili .
Kwani we hupendi asali
Basi tulia ulambe asali kimyakimya
Lowassa mlivyotaka kumpa nchi mmesahau
Nchi ni ya ruling class na nchi zote ni hivyohivyo, haya ya kujidanganya/kudanganywa kuwa nchi ni ya wananchi ni wajinga tu ndiyo wanayakubali.Sisi sio Saudi Arabia ndugu, hakuna cha royal family Wala Nini, hii nchi ni ya wananchi WA Tanzanmia
Huo ndio ukweli mchungu ambao watu hawaujui au wanaujua wanajitoa ufahamuNchi ni ya ruling class na nchi zote hivyo, haya ya kujidanganya/kudanganywa kuwa nchi ni ya wananchi ni wajinga tu ndiyo wanayakubali.
Wanaoifaidi nchi kiulaini bila jasho ndiyo wenye nchi.
Huo ndio ukweli mchungu ambao watu hawaujui au wanaujua wanajitoa ufahamu