Ukweli mchungu: Kikwete family ni Royal Family watatutawala milele

Ukweli mchungu: Kikwete family ni Royal Family watatutawala milele

Well technicaly hakutu protect against chanjo. Aliruhusu watumishi walichomwa, viongozi hata yeye mwenyewe baadae alikubali
Ningumu sana kukubali kuwa nayeye alichoma hiyo chanjo baadae.
Pia siwezi kataa uwenda wewe ndiye daktar uliye mchoma hiyo chanjo.

Kuhusu viongozi kuchoma ilikuwa lazima wacho kwasababu wao ni sehemu ya system walipaswa kupush hiyo ajenda ya chanjo.
 
Babu yake alikuwa Akida sijui Liwali kwenye serikali ya kikoloni.

Baba yake akawa DC kwenye serikali ya Nyerere.

Mtoto mtu akawa Rais, na bado ana ushawishi.

Mke wake ni mbunge.

Mtoto ni naibu waziri na bado umri wake ni mdogo unamruhusu kupambana.

Bado ana watoto wengine wanakua, wengine ni madaktari wengine marubani nk. Ridhwani angeweza kufanya kazi BOT au State Atorneys Office ila akaamua kuingia kwenye siasa ili atutawale.

Ili kufanikisha hili kuna familia tano zimejiunga pamoja, Kikwete Family, Makamba Family, Nnauye Family, Kinana Family chini ya master mind Rostam Aziz bila kusahau familia ya mzee Mwinyi. Hakuna kikundi au mtu mmoja mmoja anayeweza kuwashinda hawa ex soldiers.

Bila Mzee Nnauye, Makamba angekuwa anauza mapeasi Lushoto, January Makamba angekuwa anaendesha Fuso.

Bila JK, Nape angekuwa anaendesha bodaboda.

Bila mzee Ruksa JK angekuwa analima mananasi Bagamoyo

Hii ni Family moja tusipoteze muda kushindana nayo bali tuishi nao kwa akili.

Kwani we hupendi asali

Basi tulia ulambe asali kimyakimya
Kennedy family lakini kinachowatokea si mchezo
 
Babu yake alikuwa Akida sijui Liwali kwenye serikali ya kikoloni.

Baba yake akawa DC kwenye serikali ya Nyerere.

Mtoto mtu akawa Rais, na bado ana ushawishi.

Mke wake ni mbunge.

Mtoto ni naibu waziri na bado umri wake ni mdogo unamruhusu kupambana.

Bado ana watoto wengine wanakua, wengine ni madaktari wengine marubani nk. Ridhwani angeweza kufanya kazi BOT au State Atorneys Office ila akaamua kuingia kwenye siasa ili atutawale.

Ili kufanikisha hili kuna familia tano zimejiunga pamoja, Kikwete Family, Makamba Family, Nnauye Family, Kinana Family chini ya master mind Rostam Aziz bila kusahau familia ya mzee Mwinyi. Hakuna kikundi au mtu mmoja mmoja anayeweza kuwashinda hawa ex soldiers.

Bila Mzee Nnauye, Makamba angekuwa anauza mapeasi Lushoto, January Makamba angekuwa anaendesha Fuso.

Bila JK, Nape angekuwa anaendesha bodaboda.

Bila mzee Ruksa JK angekuwa analima mananasi Bagamoyo

Hii ni Family moja tusipoteze muda kushindana nayo bali tuishi nao kwa akili.

Kwani we hupendi asali

Basi tulia ulambe asali kimyakimya
These are crooks and not royal families
 
Babu yake alikuwa Akida sijui Liwali kwenye serikali ya kikoloni.

Baba yake akawa DC kwenye serikali ya Nyerere.

Mtoto mtu akawa Rais, na bado ana ushawishi.

Mke wake ni mbunge.

Mtoto ni naibu waziri na bado umri wake ni mdogo unamruhusu kupambana.

Bado ana watoto wengine wanakua, wengine ni madaktari wengine marubani nk. Ridhwani angeweza kufanya kazi BOT au State Atorneys Office ila akaamua kuingia kwenye siasa ili atutawale.

Ili kufanikisha hili kuna familia tano zimejiunga pamoja, Kikwete Family, Makamba Family, Nnauye Family, Kinana Family chini ya master mind Rostam Aziz bila kusahau familia ya mzee Mwinyi. Hakuna kikundi au mtu mmoja mmoja anayeweza kuwashinda hawa ex soldiers.

Bila Mzee Nnauye, Makamba angekuwa anauza mapeasi Lushoto, January Makamba angekuwa anaendesha Fuso.

Bila JK, Nape angekuwa anaendesha bodaboda.

Bila mzee Ruksa JK angekuwa analima mananasi Bagamoyo

Hii ni Family moja tusipoteze muda kushindana nayo bali tuishi nao kwa akili.

Kwani we hupendi asali

Basi tulia ulambe asali kimyakimya
Tanzania sio nchi ya kifalme. Kidini.Tunajua mkono wake upo kwa Samia. Tukipata real democracy hatutawaliwa na familia moja na washikaji wao
 
Babu yake alikuwa Akida sijui Liwali kwenye serikali ya kikoloni.

Baba yake akawa DC kwenye serikali ya Nyerere.

Mtoto mtu akawa Rais, na bado ana ushawishi.

Mke wake ni mbunge.

Mtoto ni naibu waziri na bado umri wake ni mdogo unamruhusu kupambana.

Bado ana watoto wengine wanakua, wengine ni madaktari wengine marubani nk. Ridhwani angeweza kufanya kazi BOT au State Atorneys Office ila akaamua kuingia kwenye siasa ili atutawale.

Ili kufanikisha hili kuna familia tano zimejiunga pamoja, Kikwete Family, Makamba Family, Nnauye Family, Kinana Family chini ya master mind Rostam Aziz bila kusahau familia ya mzee Mwinyi. Hakuna kikundi au mtu mmoja mmoja anayeweza kuwashinda hawa ex soldiers.

Bila Mzee Nnauye, Makamba angekuwa anauza mapeasi Lushoto, January Makamba angekuwa anaendesha Fuso.

Bila JK, Nape angekuwa anaendesha bodaboda.

Bila mzee Ruksa JK angekuwa analima mananasi Bagamoyo

Hii ni Family moja tusipoteze muda kushindana nayo bali tuishi nao kwa akili.

Kwani we hupendi asali

Basi tulia ulambe asali kimyakimya
Ukweli mchungu
 
Ningumu sana kukubali kuwa nayeye alichoma hiyo chanjo baadae.
Pia siwezi kataa uwenda wewe ndiye daktar uliye mchoma hiyo chanjo.

Kuhusu viongozi kuchoma ilikuwa lazima wacho kwasababu wao ni sehemu ya system walipaswa kupush hiyo ajenda ya chanjo.

Hahaha i wish ningekuwa doctor but that not my passion. Sikuambii ili uamini, nakupa hard facts ,thats how things went down
 
Hahaha i wish ningekuwa doctor but that not my passion. Sikuambii ili uamini, nakupa hard facts ,thats how things went down
I got nose
We all got nose
But mine detected some bullshit
That shit stink brother.

Your facts are softer than silk.
 
Mkuu somesha watoto na wajukuu acha kulalama na kulia wivu, ndio suluhisho la kumkomboa mtu kutoka katika umaskini.
Hapa umebugi, mbali na kusoma/kusomesha lazima kuwe na supportive effort nyuma. Kibongobongo tunaishi kwa connections, wasomi wakubwa wa kawaida mpaka wanazeeka hawana nafasi za maana serikalini ndo hao wakifika uzeeni kisaikolojia wanajikuta wapinzani wa serikali sababu hakuna walichoambulia cha maana pamoja na elimu zao.

Wasomi kutoka familia za kawaida ni wachache mno walitoboa nao hawanaga mwendelezo pamoja na kuwa ndani ya system.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiwe ndiye angeweza kuisambaratisha hii Hegemony lakini wakamuwahi
 
#Kwani hupendi kulamba Asali kimya kimya😀😀😀😀😀😀
 
Hapa umebugi, mbali na kusoma/kusomesha lazima kuwe na supportive effort nyuma. Kibongobongo tunaishi kwa connections, wasomi wakubwa wa kawaida mpaka wanazeeka hawana nafasi za maana serikalini ndo hao wakifika uzeeni kisaikolojia wanajikuta wapinzani wa serikali sababu hakuna walichoambulia cha maana pamoja na elimu zao.
......and this is how terrorists are made. Watu wakichoka uonevu pamoja na nepotism wanaanzisha magenge ya ugaidi pamoja na support kutoka nje ya nchi.
 
Hapa umebugi, mbali na kusoma/kusomesha lazima kuwe na supportive effort nyuma. Kibongobongo tunaishi kwa connections, wasomi wakubwa wa kawaida mpaka wanazeeka hawana nafasi za maana serikalini ndo hao wakifika uzeeni kisaikolojia wanajikuta wapinzani wa serikali sababu hakuna walichoambulia cha maana pamoja na elimu zao.

Wasomi kutoka familia za kawaida ni wachache mno walitoboa nao hawanaga mwendelezo pamoja na kuwa ndani ya system.

Sent using Jamii Forums mobile app
Watakuja kukubishia ila huu ndio ukweli wenyewe ndugu yangu.
 
Back
Top Bottom