Hawa wazungu wachelewi kusema.waafrica wa wasizaliane tena wanaharibu mzngr na baba kashawawahi amekataa u,azi wa mpangl safari hii lawashika.kila konaKumbuka msukuma hana kitu kinachoitwa kutunza mazingira. Miti na uoto asili sio issue kwake.
Labda kutunza ng'ombe.
Mimi ndukiiiiii....
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaambiwa wale partners wa arab-contractors baada ya kusaini mkataba wachukua wameweka mkataba ( guarantee) bank wamekopa hela kwa ajili ya miradi mingine ya pembeniMtu mweusi ni mweusi mpaka kwenye ubongo.
Madhara ya kiuchumi kwenye huu mradi yatayoyokana na uharifibifu wa mazingira sidhani kama yatokosekana na sidhani kama yatakuwa madogo kwa sehemu husika na kwa nchi nzima kwa ujumla.
Kibaya zaidi, mkataba wenyewe ni wa siri hivyo yale ya IPTL yanaweza kujiridia kwahiyo ikawa ni hasara kuanzia kwenye mradi wenyewe, kimazingira na hata kiuchumi pia.
Magu yuko kisiasa zaidi na hata wanaomuunga mkono nao wako kisiasa zaidi ila tutakuja kuona madhara ya kuruhusu siasa zitawale taaluma za watu.
Leo kawa Msukuma mbona mnatuchanganya mala ametoka magharibi leo tena Msukuma!Kumbuka msukuma hana kitu kinachoitwa kutunza mazingira. Miti na uoto asili sio issue kwake.
Labda kutunza ng'ombe.
Mimi ndukiiiiii....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hivi watu wengi wanaandika bila kuujua ukweli.
Ukweli ni kwamba kabla ya mradi wowote mkubwa kutekelezwa lazima kifanyike kitu kinachoitwa Environment Impact Assessment.
Ukweli ni kwamba serikali iliunda team iliyojumuisha maprofesa nguli kufanya Environment Impact Assessment ambapo serikali yetu iliwalipa fedha kufanya kazi hiyo.
Ukweli ni kwamba team hiyo ilifanya kazi hiyo na kuandika ripoti yake ambayo ilieleza kwamba madhara ya kwnye mazingira kama mradi huu ukitekelezwa yatakuwa makubwa sana hivyo wakashauri mradi huu usitekelezwe na wakashauri serikali ijikite kwenye kuzalisha umeme kwa kutumia gesi ambayo inapatikana mtwara kwani uzalishaji wa umeme kwa kutumia umeme hautakuwa na madhara kwenye mazingira kama mradi wa stiglers gorge.
Sasa bana ripoti hii iliwasilishwa kwanza wizara inayohusika na mazingira ya bwana January.
Waziri akakubaliana na ripoti naye akaifoadi ikulu.
Bwana kolichotokea almanusura huyu jamaa apoteze kazi, .
Ukweli ni kwamba jiwe alimuita akamtukana sana kwanini amekubaliana na ushauri wa hao maprofesa na kisha akamtupia ripoti yake .
Isingekuwa aibu ya jiwe akifahamu jinsi January alivyomfanyia figisufigisu ya kutengeneza matokeo yaliyomsaidia kumuweka madarakani pale mlimani city huyu january alikuwa afukuziwe mbali.
Sasa twende kwenye hoja, kwa nini serikali yetu inakataa repoti ya timu ya iliyoiunda na kuilipa ifanye kazi na wao wakafanya na wakashauri.
Mbona Serikali hiii hii haitoi vibali vya kuendeleza miradi ambayo environment impact assessment zimeshauri kwamb arhari za mradi ni hasi.
Kuna msemo wa kiingereza unaoheshimika sana unaosema "no research no right to speak"
Research imefanyika imeeleza mradi ni mbaya kwenye mazingira watu bila hata kufanya research nyingine wanakurupuka kuukataa ushauri wa wataalamu.
Tusiwalaumu sijui bunge la ujerumani , mimi binafsi siungi mkono kupangiwa mambo yetu na hao wajerunani.
Ukweli ni kwamba mradi huu ulikataliwa kwanza na timu yetu sisi wenyewe watanzania iliyohusisha maprofesa wataalamu ambao mwisho wa siku kama kawaida ya jiwe ukitoa mapendekezo tofauti na mtazamo wake unaitwa sio mzalendo au sijui umetumwa na mabepari.
Aina hii ya uongozi ya kukataa mapendekezo ya wataalamu ni mojawapo ya element za utawala wa kidikteta.
Nawao wapunguze viwanda vyao kwanza.Kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji. Nyie na hao mabeberu wa WWF tuacheni tujenge bwawa letu tuzalishe umeme nafuu. Hakuna miradi wowote uliokuwa na madhara kwa mazingira. Kwenye kuchimba dhahabu hawapigi kelele kwa sababu makampuni yao ndiyo yananufaika. Kwenye kuchimba uranium hawapigi kelele kwa sababu nchi zao ndo zinanufaika. Sisi tukitaka kuzalisha umeme, kelele kila kukicha. Kwanza sehemu inayoathirika ni 2% tu ya mbuga yote ya selous game reserve!
Jaribuni kuwashauri nawao wafunge viwanda pia wapunguze kutengeneza magari kwakuwa vinachafua mazingira pia.Hujui thamani ya mazingira mpaka siku uwe na jangwa kama sudani au mali.
Tanzania ina options nyingi za kutengeneza umeme. Kwanini msifikirie Solar? Wind Turbines? Gas? Hizo zote ni sustainable means to get electricity without the expense of environment.
Fanya yote ila usichezee mazingira. Kizazi kinachokuja kitajuta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaambiwa wale partners wa arab-contractors baada ya kusaini mkataba wachukua wameweka mkataba ( guarantee) bank wamekopa hela kwa ajili ya miradi mingine ya pembeni
Hii ni JF dogo hapa hakuna taarifa ya kizushi, IPO siku utaujua ukwelihizo sasa ni stori za vijiwe vya gahawa. wewe unajua what's a project finance?
yaani utumie contract (commercial closure) ya project hii kuingia contract (financial closure) ya ku finance project nyingine?
acheni kuzusha UJINGA. kuna benki or financier kweli atakubali negligence hiyo yenye very high potential financial risk.
Kupanga ni kuchagua. Kwa sasa tunahitaji umeme sana kutokana na sera za viwanda umeme wa maji ni cheap kuliko wa gas.
Mkuu naona unatwaga maji kwenye kinu,Hilo bwawa la umeme litajengwa hakuna wa kulizuia.Ni hivi watu wengi wanaandika bila kuujua ukweli.
Ukweli ni kwamba kabla ya mradi wowote mkubwa kutekelezwa lazima kifanyike kitu kinachoitwa Environment Impact Assessment.
Ukweli ni kwamba serikali iliunda team iliyojumuisha maprofesa nguli kufanya Environment Impact Assessment ambapo serikali yetu iliwalipa fedha kufanya kazi hiyo.
Ukweli ni kwamba team hiyo ilifanya kazi hiyo na kuandika ripoti yake ambayo ilieleza kwamba madhara ya kwnye mazingira kama mradi huu ukitekelezwa yatakuwa makubwa sana hivyo wakashauri mradi huu usitekelezwe na wakashauri serikali ijikite kwenye kuzalisha umeme kwa kutumia gesi ambayo inapatikana mtwara kwani uzalishaji wa umeme kwa kutumia umeme hautakuwa na madhara kwenye mazingira kama mradi wa stiglers gorge.
Sasa bana ripoti hii iliwasilishwa kwanza wizara inayohusika na mazingira ya bwana January.
Waziri akakubaliana na ripoti naye akaifoadi ikulu.
Bwana kolichotokea almanusura huyu jamaa apoteze kazi, .
Ukweli ni kwamba jiwe alimuita akamtukana sana kwanini amekubaliana na ushauri wa hao maprofesa na kisha akamtupia ripoti yake .
Isingekuwa aibu ya jiwe akifahamu jinsi January alivyomfanyia figisufigisu ya kutengeneza matokeo yaliyomsaidia kumuweka madarakani pale mlimani city huyu january alikuwa afukuziwe mbali.
Sasa twende kwenye hoja, kwa nini serikali yetu inakataa repoti ya timu ya iliyoiunda na kuilipa ifanye kazi na wao wakafanya na wakashauri.
Mbona Serikali hiii hii haitoi vibali vya kuendeleza miradi ambayo environment impact assessment zimeshauri kwamb arhari za mradi ni hasi.
Kuna msemo wa kiingereza unaoheshimika sana unaosema "no research no right to speak"
Research imefanyika imeeleza mradi ni mbaya kwenye mazingira watu bila hata kufanya research nyingine wanakurupuka kuukataa ushauri wa wataalamu.
Tusiwalaumu sijui bunge la ujerumani , mimi binafsi siungi mkono kupangiwa mambo yetu na hao wajerunani.
Ukweli ni kwamba mradi huu ulikataliwa kwanza na timu yetu sisi wenyewe watanzania iliyohusisha maprofesa wataalamu ambao mwisho wa siku kama kawaida ya jiwe ukitoa mapendekezo tofauti na mtazamo wake unaitwa sio mzalendo au sijui umetumwa na mabepari.
Aina hii ya uongozi ya kukataa mapendekezo ya wataalamu ni mojawapo ya element za utawala wa kidikteta.
kwani ile.mradi wa gesi, kinyerezi phase I, Phase II na Phase III, tuliambiwa ni mwarobaini wa tatizo la umeme umefia wapi??Ni hivi watu wengi wanaandika bila kuujua ukweli.
Ukweli ni kwamba kabla ya mradi wowote mkubwa kutekelezwa lazima kifanyike kitu kinachoitwa Environment Impact Assessment.
Ukweli ni kwamba serikali iliunda team iliyojumuisha maprofesa nguli kufanya Environment Impact Assessment ambapo serikali yetu iliwalipa fedha kufanya kazi hiyo.
Ukweli ni kwamba team hiyo ilifanya kazi hiyo na kuandika ripoti yake ambayo ilieleza kwamba madhara ya kwnye mazingira kama mradi huu ukitekelezwa yatakuwa makubwa sana hivyo wakashauri mradi huu usitekelezwe na wakashauri serikali ijikite kwenye kuzalisha umeme kwa kutumia gesi ambayo inapatikana mtwara kwani uzalishaji wa umeme kwa kutumia umeme hautakuwa na madhara kwenye mazingira kama mradi wa stiglers gorge.
Sasa bana ripoti hii iliwasilishwa kwanza wizara inayohusika na mazingira ya bwana January.
Waziri akakubaliana na ripoti naye akaifoadi ikulu.
Bwana kolichotokea almanusura huyu jamaa apoteze kazi, .
Ukweli ni kwamba jiwe alimuita akamtukana sana kwanini amekubaliana na ushauri wa hao maprofesa na kisha akamtupia ripoti yake .
Isingekuwa aibu ya jiwe akifahamu jinsi January alivyomfanyia figisufigisu ya kutengeneza matokeo yaliyomsaidia kumuweka madarakani pale mlimani city huyu january alikuwa afukuziwe mbali.
Sasa twende kwenye hoja, kwa nini serikali yetu inakataa repoti ya timu ya iliyoiunda na kuilipa ifanye kazi na wao wakafanya na wakashauri.
Mbona Serikali hiii hii haitoi vibali vya kuendeleza miradi ambayo environment impact assessment zimeshauri kwamb arhari za mradi ni hasi.
Kuna msemo wa kiingereza unaoheshimika sana unaosema "no research no right to speak"
Research imefanyika imeeleza mradi ni mbaya kwenye mazingira watu bila hata kufanya research nyingine wanakurupuka kuukataa ushauri wa wataalamu.
Tusiwalaumu sijui bunge la ujerumani , mimi binafsi siungi mkono kupangiwa mambo yetu na hao wajerunani.
Ukweli ni kwamba mradi huu ulikataliwa kwanza na timu yetu sisi wenyewe watanzania iliyohusisha maprofesa wataalamu ambao mwisho wa siku kama kawaida ya jiwe ukitoa mapendekezo tofauti na mtazamo wake unaitwa sio mzalendo au sijui umetumwa na mabepari.
Aina hii ya uongozi ya kukataa mapendekezo ya wataalamu ni mojawapo ya element za utawala wa kidikteta.
Report ipo na serikali imegoma kuiweka public. Alichosema jamaa ni kweli kabisa. Hoja ya kwamba Magu kaingia 2015, unahisi EIA inafanyika miaka mingapi?? Inventory za hifadhi zilishafanyika miaka mingi tu, kwa hiyo EIA haiwezi chukua muda mrefu, mwaka mmoja unatosha kabisa kwasababu hayo maeneo sio mapya, taarifa za maeneo hayo zipo nyingi mno. Kinachofanyika ni kulinganisha kinachofanywa na impact yake kwa vilivyopo. Chakubishana hapa ni nini faida na hasara za mradi? Kama faida ni kubwa it's well and good.Mbona hujaweka ukweli mkuu, hiyo ripoti ulishaiona wewe au unasikiasikia tu kama hao wasiojua? Nimesoma bandiko lote, lakini hata wewe naona unasikiasikia tu kuhusu hiyo ripoti.
Sikubaliani na Magufuli kama kaamua tu yeye mwenyewe kama kawaida yake ya kutumia mabavu. Lakini hata kama hiyo ripoti ipo kweli na hao wataalam waliona madhara ya mradi huo, lingekuwa jambo zuri kuitoa hiyo ripoti watu waisome na kuijadili. Bado Magufuli angekuwa na uwezo wa kushawishi ripoti iwekwe pembeni kwa sababu anazoona ni za lazima mradi ufanyike kwa manufaa ya taifa. Na mimi ningekuwa mmojawapo wa kuunga mkono hatua hiyo, kwa sababu naamini mradi huo una manufaa makubwa kwa taifa, na hizo sababu za uharibifu wa mazingira athiri yake ingeweza kupunguzwa katika 'design' ya mrada wenyewe.
Kwa hiyo taarifa yako hapa bado ni 'hearsay', na hasa ukifikiria Magufuli kaingia 2015, hiyo 'study' ya wataalam hao iliteuliwa na nani, lini na ilifanya kazi kwa muda gani. Je hata magazeti hayakuweza kutoa habari yoyote juu ya utafiti huo ukatuwekea hapa tusome? Hata majina tu ya waliohusika katika utafiti huo.
Ni akina nani hawa maprofesa, una jina hata la mmoja wao? Ni nani aliyewateua na lini?
Kamati na ripoti unayoiandika hapa iliteuliwa na kufanya utafiti wake" baada ya Magufuli kutaka bwawa lijengwe" au kamati hiyo iliteuliwa kabla na kuandika ripoti yake kabla ya kutangazwa na Magufuli kuhitaji mradi huo ufanyike?
Mimi sioni kumbukumbu za uteuzi wa kamati wakati Magufuli alipotangaza nia ya ujenzi wa mradi huo. Kama wewe unazo kumbukumbu hizo tuwekee hapa tuzione.
Faida ingekuwa ni kubwa, ninahakika hiyo report ingewekwa wazi na serikali.Report ipo na serikali imegoma kuiweka public. Alichosema jamaa ni kweli kabisa. Hoja ya kwamba Magu kaingia 2015, unahisi EIA inafanyika miaka mingapi?? Inventory za hifadhi zilishafanyika miaka mingi tu, kwa hiyo EIA haiwezi chukua muda mrefu, mwaka mmoja unatosha kabisa kwasababu hayo maeneo sio mapya, taarifa za maeneo hayo zipo nyingi mno. Kinachofanyika ni kulinganisha kinachofanywa na impact yake kwa vilivyopo. Chakubishana hapa ni nini faida na hasara za mradi? Kama faida ni kubwa it's well and good.
Sent using Jamii Forums mobile app
Well said...Mimi nimeosoma ripoti ya WWF kuhusu mradi huu, kama katiba tuu imeweza kukanyangwa na tuko ok kabisa, what is EIA compared?.
Kwenye hili mimi naungana na serikali yetu kuwa Tanzania is a sovereign state, tutaamua mambo yetu wenyewe bila kuingiliwa au kupangiwa na mataifa ya nje.
Natolea mfano wa mradi wa Kamba Samaki, shrimp farming kwenye Rufiji Delta, ulipitishwa vizuri tuu, lakini kabla ya utekelezaji, mashirika ya kimataifa ya mazingira yakaja na EIA nyingine, tukapigwa stop mradi ukafa. Hoja ya wanamazingira ni kilimo kile kingeathiri uoto wa asili wa mikoko.
Ukiangalia cost benefits na value benefits za mradi na faida za mikoko, mikoko are nothing compared.
Kama ulifuatilia issue ya Kihansi Hydro Electric Project, mradi ulichelewa sana kwa hoja ya vyura wa Kihansi hadi Marekani walipokubali kuwa relocate wakahamishwa, mradi ulipokamilika wakarudishwa. Ukiangalia faida za nchi inayohitaji umeme na faida ya vyura ni nothing compared.
Sasa kwenye Stieglers ni vile vile wanataka kutupangia, kule nyuma waliweza kwa sababu fedha walikuwa wanatoa wao. Kwa Stieglers, watakwama kwa sababu this time around fedha ni zetu.
Hili jambo niliisha lizungumza sana humu
Uzalendo wa kweli wa nchi yako ni pamoja na kusupport mipango kamambe
ya maendeleo ya nchi yako hata kama mipango hiyo itasababisha maumivu kwa walio wengi as long as itakuwa na faida kubwa kitaifa huko baadae.
P
Hudhani kama yatakosekana, si uyaweke wazi? acheni kushangilia ujinga wa wazungu, msidhani wanawapenda sana.Mtu mweusi ni mweusi mpaka kwenye ubongo.
Madhara ya kiuchumi kwenye huu mradi yatayoyokana na uharifibifu wa mazingira sidhani kama yatokosekana na sidhani kama yatakuwa madogo kwa sehemu husika na kwa nchi nzima kwa ujumla.
Kibaya zaidi, mkataba wenyewe ni wa siri hivyo yale ya IPTL yanaweza kujiridia kwahiyo ikawa ni hasara kuanzia kwenye mradi wenyewe, kimazingira na hata kiuchumi pia.
Magu yuko kisiasa zaidi na hata wanaomuunga mkono nao wako kisiasa zaidi ila tutakuja kuona madhara ya kuruhusu siasa zitawale taaluma za watu.
Mkuu,Mimi nimeosoma ripoti ya WWF kuhusu mradi huu, kama katiba tuu imeweza kukanyangwa na tuko ok kabisa, what is EIA compared?.
Natolea mfano wa mradi wa Kamba Samaki, shrimp farming kwenye Rufiji Delta, ulipitishwa vizuri tuu, lakini kabla ya utekelezaji, mashirika ya kimataifa ya mazingira yakaja na EIA nyingine, tukapigwa stop mradi ukafa. Hoja ya wanamazingira ni kilimo kile kingeathiri uoto wa asili wa mikoko.
P