Sidemirror
Member
- May 31, 2020
- 19
- 20
Kwahiyo Lissu unalinganisha na mgombea gani 2020
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu leo amekua ameongea kituko huko kenya. Cdm wakipata mbunge hata mmoja. Watanzania tutakua tumewahurumia sana.
Kwa hisia sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama Jiwe amekuwa rais, basi yeyote anaweza kuwa Rais! hata Kingwendu!
Kwahiyo lissu unalinganisha na mgombea gani 2020
Haki ingetendeka NCCR ingeshika dola 1995 na CDM ingeshika dola 2015. Hakika.Wakuu nawasalimu,
Naomba muelewe kitu kimoja kuwa sio kila mtu anaweza kuwa Rais wa JMT hili mliweke akilini. Kwa ufupi tuu hata kama Lissu akishinda uchaguzi na CCM kuamua kukubali kushindwa na ku backdown 'system haiwezi kumkubali Lissu abadani... vyovyote itavyokua. Hatuwezi kuongozwa na Rais mbeambea, Rais asieweza kusimama peke yake katika maamuzi.
Rais huandaliwa na kuchunguzwa uadilifu wake kwa nchi yake, nikimuangalia Lissu sioni akiwa na sifa hiyo hata robo
bora Membe, Maalim hata Mbowe. Hawa wana uadilifu kwa nchi yao kuliko Lissu
Kama nilivyosema huu ni ukweli mchungu kwa wafuasi wake ila ni bora mkajua mapema kabisa!!
Pia naomba mjifunze historia ya nchi hii nzuri, mjifunze misingi ya uendeshaji wa nchi hii nzuri pia mjifunze sera mbalimbali zinazotumika kitaifa na kimataifa za nchi hii nzuri.
Basi na TL msimshambulie kama kila mtu ana madhaifu yakeWe unavyo vyote lakin hata familia yako haiwez kuchagua kwa lolote[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Jichunguze mkuu....kila mtu anamadhaifu
Kinachoangaliwa n strength ziwe nyingi kuliko weakness
Hivi unavyosema siasa bingo zimebadilika watu wanataka facts twambie ni lini waliwahi mchagua mpinzani akawa raisi mpaka ulete porojo zako eti watanzania wamebadiluka kana kwamba waliwahi nadilika na kumchagua mpinzani.Nianze kwa kumpa Pole Nyingi Ndg Tundu Lissu kwa kwa madhira yote aliyoyapitia
Kwa Ndg Yetu Tundu Lissu huu sio wakati wake wa kugombea urais angalau angesubiri hata miaka 5 kwanza na ukiangalia bado ni Kijana mwenye nguvu kama sio Urais angeanza kwanza hata na Ubunge Jimboni kwake au hata Jimbo Moja kubwa pale Dar es Salaam kupima nguvu yake tena na upepo wa Kisiasa nchini...
Mbona huu ushauri unaonekaba kama vile unatoka kwa mtu ambaye ameshaogopa?Nianze kwa kumpa Pole Nyingi Ndg Tundu Lissu kwa kwa madhira yote aliyoyapitia Kwa Ndg Yetu Tundu Lissu huu sio wakati wake wa kugombea urais angalau angesubiri hata miaka 5 kwanza na ukiangalia bado ni Kijana mwenye nguvu kama sio Urais angeanza kwanza hata na Ubunge Jimboni kwake au hata Jimbo Moja kubwa pale Dar es Salaam kupima nguvu yake tena na upepo wa Kisiasa nchini..
Bila shaka una kitambi kwa kuwa upo msitari wa mbele kula jasho la wengine ila kwa upande wa mgombea anayepeperusha bendera ya CDM wapiga kura wamesema hapana kwa Nyarandu (mwenye hela) bali wakasema ndio kwa Tundu asiye na hela.Atagombea kama mgombea binafsi? Maana wamiliki wa CDM wanachaguo lao tayari, Nyalandu. Ni mtu ambaye wanaamini hatowasumbua kwenye kampeni financially
Uadilifu wa magufuli uko wapi? Kutawala nchi kwa mkono wa chuma, kuvunja katiba waziwazi, kujilipa bilioni 1.2 kila mwezi wakati tayari anahudumiwa kila kitu huo ndio uadilifu muutakao huko Lumumba, eti?Wakuu nawasalimu,
Naomba muelewe kitu kimoja kuwa sio kila mtu anaweza kuwa Rais wa JMT hili mliweke akilini. Kwa ufupi tuu hata kama Lissu akishinda uchaguzi na CCM kuamua kukubali kushindwa na ku backdown 'system haiwezi kumkubali Lissu abadani... vyovyote itavyokua. Hatuwezi kuongozwa na Rais mbeambea, Rais asieweza kusimama peke yake katika maamuzi.
Rais huandaliwa na kuchunguzwa uadilifu wake kwa nchi yake, nikimuangalia Lissu sioni akiwa na sifa hiyo hata robo
bora Membe, Maalim hata Mbowe. Hawa wana uadilifu kwa nchi yao kuliko Lissu
Kama nilivyosema huu ni ukweli mchungu kwa wafuasi wake ila ni bora mkajua mapema kabisa!!
Pia naomba mjifunze historia ya nchi hii nzuri, mjifunze misingi ya uendeshaji wa nchi hii nzuri pia mjifunze sera mbalimbali zinazotumika kitaifa na kimataifa za nchi hii nzuri.