Uchaguzi 2020 Ukweli mchungu kwa Lissu, sio kila mtu anaweza kuwa Rais wa JMT

Uchaguzi 2020 Ukweli mchungu kwa Lissu, sio kila mtu anaweza kuwa Rais wa JMT

Hovyoooooo! Kumbe hoja ni ile ya " mabeberu na majike" Tanzania yoyote aweza kuwa rais. Hakuna vya system, "Tanzania rais ndo system yenyewe"
asante kwa matusi.
kwa maana hiyo anaweza kufanya chochote ata kujiongezea muda au kujiamulia kujenga ikilu sayari ya mars? maana ye c ndo system😁😁😁

kwa style hiyo nchi mtaiskia kwe bomba
 
Kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwapora ushindi wapinzani ni kipi kibaya zaidi hapo?
Ubongo wako umejaa funza na minyoo. Wanaopigwa risasi ni akina nani? Huyo Lissu kupigwa risasi na Chadema kama alivyosema Dk Mollel ndio unaisingizia serikali? Mbona hakuna mbunge mwingine zaidi ya huyo mliemshambulia?
 
Ubongo wako umejaa funza na minyoo. Wanaopigwa risasi ni akina nani? Huyo Lissu kupigwa risasi na Chadema kama alivyosema Dk Mollel ndio unaisingizia serikali? Mbona hakuna mbunge mwingine zaidi ya huyo mliemshambulia?
Changudoa wa malunde mpaka kufika October lazima utawasingizia wenge mimba maana uchangudoa wako hauchagui
 
Ubongo wako umejaa funza na minyoo. Wanaopigwa risasi ni akina nani? Huyo Lissu kupigwa risasi na Chadema kama alivyosema Dk Mollel ndio unaisingizia serikali? Mbona hakuna mbunge mwingine zaidi ya huyo mliemshambulia?
Tokea lini changudoa akawa na akili? Wewe huna Akili na saa 24 upo gheto unawezaje kujua mwenye Akili
 
asante kwa matusi.
kwa maana hiyo anaweza kufanya chochote ata kujiongezea muda au kujiamulia kujenga ikilu sayari ya mars? maana ye c ndo system😁😁😁

kwa style hiyo nchi mtaiskia kwe bomba
System hufuata chaguo la wapiga kura hakuna system inapingana na chaguo la wapiga kura
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Niwe mkweli tu.
Tangu Lissu alipoanza kumtukana Raisi, kutukana waalimu wake na watu wengine wanaomzidi umri, kielimu na mengineyo nilimkataa sana kuanzia hapo.

Nilimsikia na kumsoma katika taarifa yake flani kwa umma anawavuta na kuwahusisha IGP na DG wa TISS kwenye siasa zake na kuwaamrisha katika kauli zake nikaona huyu hatima ya siasa zake za kulewa sifa atakuja kuharibu maisha yake mazuri ya kisiasa na kazi zake za kisheria siku moja.

Ujasiri wa kuwatukana wale wataalam waliohusika kwenye taarifa ya uchunguzi wa makinikia aliutoa wapi?
Kwamba yeye ni msomi na mahiri sana kuliko wale wote kwenye elimu ya madini, miamba, uchumi, sheria, uhasibu, hisabati na mifumo ya computer?

Lakini mwisho ukweli hujitenga na uongo, hatimae kifo cha Acacia, kuzaliwa kwa Twiga, kulipwa kwa zile fedha za Goodwill, kutoshitakiwa na kufilisiwa serikali huko MIGA alikosema vimekuja kuwa ushahidi yeye hakuwa sahihi na wale wataalamu aliowatusi walikuwa sahihi.

Lissu akiwa raisi wa JMTZ nchi hii itakuwa imepata pigo kubwa sana.
Kwanza Lissu yeye mwenyewe ni dikteta mkubwa sana kwa jinsi alivyo shiriki mchakato wa kuwafukuza akina Zitto na mchakato wa kumkaribisha Lowassa CDM kisha kumpa nafasi ya kugombea uraisi kupitia CDM.
Lissu alishiriki au alinyamazia siasa chafu za kumchafua mzee wetu Dk. Slaa mwaka 2015.

Lissu siyo mzalendo ni mjivuni , mnafiki na kigeugeu. Lissu siku zote yupo kwa ajili ya self ego feeding.
Ni afadhari nimpe kura yangu Membe au Mbowe au Msigwa kuliko Lissu.
Matusi gani hayo? Manake sikuhizi hata uzalendo umebadikishwa maana Yake. Lakini pia huwa tunasikia matusi ya viongozi kwa wanao waongoza,au hayo huwa huyasikii?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
asante kwa matusi.
kwa maana hiyo anaweza kufanya chochote ata kujiongezea muda au kujiamulia kujenga ikilu sayari ya mars? maana ye c ndo system😁😁😁

kwa style hiyo nchi mtaiskia kwe bomba
Huo ndo ukweli kwa Tanzania. Aliyeko madarakani hudictate kila kitu. In short ni hadibitiki.
 
Wewe ni nani hadi UHITIMISHE kwamba Lissu hawezi kuwa Rais? Huo utafiti wako uliufanyia wapi na sample yako ilikuwa na ukubwa gani? Acha kuja na dhana potofu bila ya kuwa na CONCRETE EVIDENCE ya UPUUZI wako.


Kwa maslahi hayohayo ya taifa, Lissu hawezi kuwa rais hata kwa siku1
Ndio CCM ilishindwa kumnunua ila mabeberu waliweza tena kwa kujipeleka mwenyewe sokoni..
Ni vile tuu taasisi ya urais imeshuka heshma miongoni mwetu lakini trust me haijashuka heshma kwe mfumo hata chembe.
 
Huu ni uthibitisho kichwa kiko full minyoo,konyagi na bangi.
Wewe ni changudoa huna lolote sasa ukija kifala fala nakupeleka unavyotaka huu ni uthibitisho kuwa wewe ni full changudoa wa siasa na mvuta Bangi
 
Wewe ni changudoa huna lolote sasa ukija kifala fala nakupeleka unavyotaka huu ni uthibitisho kuwa wewe ni full changudoa wa siasa na mvuta Bangi
Weka uthibitisho wa idadi ya wabunge waliopigwa risasi. Na wale waliobambikiwa kesi bila makosa. Minyooo ya Chadema inayohitaji kupatiwa dawa.
 
Tanzania sio kisiwa, yaliyotokea Malawi bado yanawashangaza wengi.
 
Weka idadi ya wabunge waliobambikiwa kesi na uzitaje kesi zenyewe. Pia idadi ya wabunge waliopigwa risasi. Tofauti na Lissu ambaye Dk Mollel anajua mlichofanyia.
Tokea lini mvuta Bangi akapewa takwimu? Akili huna unawezaje kujua idadi? Kipimo cha umbumbumbu ni kuamini ujinga wa Dr kilaza molel, ikiwa unamwamini mtu juha zuzu kama molel hushindwi kuacha kuamini ukweli juu ya uonevu wa CCM kwa wapinzani
 
Tokea lini mvuta Bangi akapewa takwimu? Akili huna unawezaje kujua idadi? Kipimo cha umbumbumbu ni kuamini ujinga wa Dr kilaza molel, ikiwa unamwamini mtu juha zuzu kama molel hushindwi kuacha kuamini ukweli juu ya uonevu wa CCM kwa wapinzani
Dr Mollel ni kilaza? Ccm inaonea wapinzani? Weka uthibitisho.
 
Uraisi mtu lazima afanyiwe vetting ya nguvu awe CCM au Upinzani .Sababu kugombea Ni kutaka vyombo vya dola viwe chini yake .Haviwezi kukubali kuwa chini ya mtu ambaye vetting ripoti yake mbaya .Vitaiba au kukimbia hata na masanduku ya kura au kumtangaza wanayemuona anafaa hata Kama hakushinda

Lisu vetting report yake ya vyombo vya dola bila Shaka hahitaji kuambiwa anaijua vizuri
Unaongea kama mtu wa ndani au anayeamiliana na watu wa ndani.

Ukweli mchungu tafakuri zangu zinanipelekea kuamini CCM ni zaidi ya chama cha siasa.

CCM ni chama chenye muundo ambao uko So attached na system kiasi cha kutowezekana kuvitenga viwili hivi.

Yaani ukitaka kuung'oa mmbuyu mkubwa lazima uandae kifusi cha kufukia shimo Hilo na pia uandae cha kuufanya mmbuyu huo.

Mwl alinena kwamba upinzani wa kweli utatoka CCM na nadhani kwa factor hizo hapo juu lipo la kufikirishaa.

Zile njama za 1964, 1980 zilimfunza Mwalimu namna ya kuitengeneza CCM imara na CCM imara haina budi iwe attached na vyombo vya ulinzi na usalama.


Ni mtizamo tu.
 
Weka uthibitisho wa idadi ya wabunge waliopigwa risasi. Na wale waliobambikiwa kesi bila makosa. Minyooo ya Chadema inayohitaji kupatiwa dawa.
Minyoo nipo tumboni mwako nimekutia njaa ukaamua kufanya uchangudoa upate kula hapo gheto kwa cyprian Musiba, uthibitisho hupewi wewe mvuta Bangi changudoa, uthibitisho wanapewa wajenga hoja CCM wenzako wenye Akili, wewe endelea kuvuta Bangi
 
Back
Top Bottom