Uchaguzi 2020 Ukweli mchungu kwa Lissu, sio kila mtu anaweza kuwa Rais wa JMT

Uchaguzi 2020 Ukweli mchungu kwa Lissu, sio kila mtu anaweza kuwa Rais wa JMT

Mkuu,

Hebu naomba utuwekee sawa; kumbe raisi wa Tanzania huwa hachaguliwi na wapiga kura? Kwamba ilie kupika kura ni danganya toto tu?
 
Uraisi mtu lazima afanyiwe vetting ya nguvu awe CCM au Upinzani .Sababu kugombea Ni kutaka vyombo vya dola viwe chini yake .Haviwezi kukubali kuwa chini ya mtu ambaye vetting ripoti yake mbaya .Vitaiba au kukimbia hata na masanduku ya kura au kumtangaza wanayemuona anafaa hata Kama hakushinda

Lisu vetting report yake ya vyombo vya dola bila Shaka hahitaji kuambiwa anaijua vizuri
Kwa nini wafanye uhalifu huu kwani wao kama nani? Kwani wao si ni waajiriwa wa wananchi tu kama walivo wengine?
 
Wacha uongo, vyombo vya dola havijihusishi na mambo hayo, hufanya kazi na yeyote aliyechaguliwa
 
Kwa maslahi hayohayo ya taifa, Lissu hawezi kuwa rais hata kwa siku1
Ndio CCM ilishindwa kumnunua ila mabeberu waliweza tena kwa kujipeleka mwenyewe sokoni..
Ni vile tuu taasisi ya urais imeshuka heshma miongoni mwetu lakini trust me haijashuka heshma kwe mfumo hata chembe.

Ndugu, wewe mtu/binadam tu kama mimi unaweza usitake fulani asiwe fulani ama asikwee ngazi kufika mahali fulani....

Nature ni kitu kingine. Haina urafiki na binadamu awaye yeyote si wewe na hisia zako ama hiyo unayoita "system"

Mimi naamini kuwa, system inatakiwa ku - bow down kwa "nature" na siyo nature iipigie magoti "system"...

Sina hakika kama unaelewa hii principle rahisi kabisa ya maisha hapa ulimwenguni....

Okay, ngoja nikuwekee katika lugha rahisi kueleweka kwako:

MAJIRA na NYAKATI ndiye mwamuzi was kila kitu. Kamwe mambo hayaamuliwi na watu waitwao "system". System halisi iko kwa aliyetengeneza haya Nanni...

Kwa taarifa yako, MAJIRA na NYAKATI zikiwadia, hata JIWE ama GOGO ambalo halijawahi kuonana uso kwa uso na hiyo unayoiita " SYSTEM", linaweza kusimama na kuwa RAIS WA NCHI HII YA TANZANIA....!!!

Hayo mengine sijui Sera ama sijui miongozo na mengine are nothing and useless....

Kila majira na nyakati huja na SERA na MIPANGO yake. Ya kwenu ya ki CCM kufeni na mzikwe nayo makaburini mwenu....
 
Mwanaume wa Kweli huwa hana shobo na mwanaume mwenzake ..wewe ni mama mwenyewe umekazana kudhani dosti atakuowa teh teh ..

Ww sio mwanaume, bali ni muuza face unayedanga kusaka mabasha kinguvu huku jukwaani.
 
Kama JPM ameweza hata Lissu anaweza. Sema tu hata akipita hawawezi kumkabidhi nchi kwa sababu za UCCM wao. Wameteka nyara nchi na kuiona ni yao ndiyo maana hata rais anaiona ccm na wanaccm.

Ukichagua wa chama kingine hata kama unalipa kodi ujue haleti maendeleo kwa sehemu hiyo kama alivyojisemea mwenyewe.
 
Ukiandikiwa uwe rais, haijalishi unatokea mazingira gani..na background yako ipoje..binafsi sikutegemea Trump kuwa rais wa marekan..ila leo ndo the big boss wao..hakuna anaeandaliwa kuwa raisi mungu ndie anaaendaaa..
 
watawala huzaliwa
hata watawaliwa huzaliwa pia inategemea tuu ulzaliwa kwe kundi lipi

Zaidi sana inategemea wakati gani.

Na wakati umebadilika mkuu hata kama akili za wengi hazijabadilika.

Kipindi fulani kilichopita huko Marekani asingeweza kutokea raisi nje ya kundi la WASP(White Anglo Saxon Protestants) kwa matakwa ya system yao ya wakati huo.

Lakini bado walipatikana kina Theodore na Franklin Roosevelt, wazawa wa wahamiaji kutoka Neatherlands pamoja na ubabe wa hiyo system.

Baada ya hapo matakwa ya wakati yaliruhusu achaguliwe John Kennedy( mkatoliki) na hatimaye Barrack Obama(mweusi na mkatoliki pia) na Donald Trump(mzawa wa wahamiaji kutoka Ujerumani).

Obama, kwa zaidi sana ni mfano mzuri wa jinsi matakwa ya wakati yanavyohitaji kuzingatiwa zaidi na hiyo system yetu yenye mkono wake katika kumsimika kiongozi mkuu wa nchi, kuliko kuangalia makundi ya watawala na watawaliwa au matajiri na masikini.

Niamini mkuu. Sina haja ya kukunanga lakini kwa maoni yako niliyoyanukuu, ungeweza tu kufupisha mada yako kwa kusema Lissu hafai kuwa
raisi wa JMTZ kwasababu hajazaliwa kwenye kundi la watawala.

Angalizo: Trump ni zao la makundi zaidi kuliko mahitaji ya wakati. Ona alivyotokea kuwa raisi wa ovyo!

Linganisha na Obama: mweusi, mzawa wa mhamiaji kutoka Afrika Mashariki. Na bado amekuwa mmoja wa maraisi bora kuwahi kuiongoza Marekani.
 
Kimekusibu nini hadi kutuandikia mambo haya? Ingefaa sana kama ungetoa elimu ya uraia kuhusu sifa za mtu anayefaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuzingatia masharti ya Katiba na sheria zilizotungwa na Bunge letu tukufu.

Hata hivyo, uliyotuandikia ni sehemu ya haki yako ya kikatiba ya kujieleza kama ilivyo kwa watu wengine katika nchi yetu pendwa, Tanzania.
Mweleze mama yako
 
Tuacheni Utani,

Huyu huyu Lissu ndio aje ashike uongozi wa nchi? Kama mgombea anaetegemewa ni Lissu kiukweli nikupoteza muda tu naamini chadema itakuja kushinda uraisi baada ya miaka 50 ijayo maana sioni kauli za kiuongozi kwa mtu kama Lissu.

Magufuli atashinda saa mbili asubuhi bila tatizo.
 
Back
Top Bottom