Hakuna facts zozote hapo ni hallucinations tu.Kwa hili ndugu umeongea facts. Haya ndi masuala yanayoitwa short term and long term measures.
Nyie mijitu ni ya ajabu na mna mawazo ya kifukara sana,mwanzoni mlikuja na hoja ya kuwekwa bil 20,mmeona imewekwa mnasema haitoshi mbona una roho ya kichawi sana ambayo haina shukrani wala huruma yaani jana mtu kaweka hela leo mnaanza nongwa,kwa hiyo unafanya wataalam wa simba waliokaa na kufanya evaluation ya club na wakasema club ina thamani ya bil 20 ni wajinga na mpaka sasa imeshawekwa bil 41,acheni hizo.Naam kuweka uelewa sawa ni vyema nikafupisha mada. Lakini sitakuwa sawa kama sitowapongeza wanamsimbazi kwa ubingwa na hatua kubwa waliyopiga kwenye soka kwa miaka hii minne. Lakin pia niwapongeze kwa wapenzi wa timu ya Simba kwa support yao isiyokatika kwa timu yao.
Tumekuwa tukifuatilia mijadala mingi inayohusu mkataba wa mabadiliko ya Klabu hizi mbili kongwe Tanzania bi maana Simba na Yanga. Mijadala ilianza muda mpaka tumefika pahali mabapo tunaenda pazuri. Hongera kwa Simba kwani wameenda haraka sana. Lakini pia niwapongeze wanayanga kwa kulifanya jambo hili polepole na kwa Umakini sana.
Wakati huu ambao wanasimba ni kama wako hatua za mwisho za kuhitimisha jambo lao kuna maswali kadahaa yameanza kutrend mitandaoni na mabarazani hasa baada ya watani zao wa jadi kuingia mkataba na kampuni ya Azam. Kiuhalisia mjadala mkubwa ni thamani halisi ya klabu ya Simba , lakini pia inaibuka hoja nyingine hapo kwa ndani ya thamani halisi ya Klabu ya Yanga in relatin to the Simba-Mo Deal . Ugumu wa hili suala ni kama vile Siasa zetu za vyama vingi hapa nchini kwamba kila mmoja anaona upande wake uko sawa lakini hakuna anayetaka kubase kwenye fACTS HALISI.
Bila kusema valuation ya Simba SC imefanyikaje, wapi na ni taasisi gani zimefanya hiyo Valuation nakwenda moja kwa moja kwenye thamani iliyopatikana ambapo imegawanywa kwenye vipande 100 kama shares (100%). Mohammed Dewji "Mo" yeye amewekeza hapo na kuchukua 49% yote ambayo mwekezaji anatakiwa kuichukua kwa Shilingi Bilioni 20 za kitanzania. Kiuhalisia wengine wanapinga kuwa sehemu ya Simba haijanunuliwa lakini ukweli nikwamba takribani nusu ya klabu ya Simba imenunuliwa na "Mohammed Dewji" na wanachama wamebaki na nusu iliyobaki.
HII INATHIBITISHWA HAPA:
"A stock is an investment. When you purchase a company's stock, you're purchasing a small piece of that company, called a share.
Investors purchase stocks in companies they think will go up in value. If that happens, the company's stock increases in value as well. The stock can then be sold for a profit.
Definition: What are stocks?
Stocks are securities that represent an ownership share in a company. For companies, issuing stock is a way to raise money to grow and invest in their business. For investors, stocks are a way to grow their money and outpace inflation over time.
When you own stock in a company, you are called a shareholder because you share in the company's profits."
Kwa hiyo tukubaliane kuwa takribani nusu ya Klabu ya Simba imeuzwa. Swali vipi thamani ya Simba: Hii ni Hesabu nyepesi ya 51% iliyobaki ukijumlisha na ile ile ya 49% utapata Bilioni 40.8 kwa Brand, Assets na klabu yote kwa ujumla.
Kinachogonga vichwa sasa ni ukweli huu mchungu kukubalika sasa na isiwe baadae ambapo utaleta mgogoro ikitokea kuna mgongano wa Maslahi kati ya Wanachama na Mwenye 49%.
Yanga wameingia Mkataba wa miaka 10 wa Shilingi Bilioni 41 pamoja na VAT .Kwa ajili ya Televisheni yake tu "Yanga TV" . Yaani huu Mkataba hauhusu Mambo mengine ya Klabu.
Kwa akili za viongozi wetu kufanana, huu mkataba wa Simba na Mo utaakisi mktaba ambao Yanga wanaweza kuingia na Mwekezaji wake atakayekuja. Wanaweza kufanya kuiga wa Simba halafu waweke Value kubwa kidogo ili waseme wamewazidi wenzao lakini pia nao Thamani halisi ya Yanga itakuwa haijatizamwa. Nao wanapaswa kuwa makini sana. Ni heri hii mikataba iwe na ukomo ili kuziba makosa yatakayofanyika.
Upumbavu unapokuja Sasa mkereketwa wa Simba bila kufikiria mwaka 2035 timu itakuwa na hali gani wakati 20B zimeisha na Mo & Family wakiendelea kula matunda ya 49% ya Klabu kwa uwekezaji mdogo sana. Huyuhuyu Mkereketwa atakwambia Simba ina thamani kubwa kuliko Yanga, Nami nakubaliana naye kuwa Simba ina thamani kubwa sana kuliko Klabu yeyote si Tanzania tu balia Afrika Mashariki. Lakini hii thamni Mbona haijaheshimiwa wakati wa kuuza Nusu ya hii klabu. Mbona imeuzwa kwa hela ya Mboga?. Bilioni 40 kumiliki klabu kubwa Tanzania kama Simba , assure you kuwa ni Ndogo sana. Maana wengi sana wangeweza kumiliki hizi timu zenye uwekezaji wa Miaka zaidi ya 60 huko nyuma.
Kutokana na Mkataba wa Yanga Tv na Azam tena ni wa miaka 10 tu kuwa mkubwa zaidi ya Simba, huu ni ukweli mchungu kuwa Thamani ya ya Yanga TV ni kubwa kuliko Simba na inaweza pia kuweka kwenye Rekodi za Kibiashara kuwa Yanga ina thamani kubwa kuliko Simba kwa sasa kwani kama Tv yao tu imewaingizia hicho kiasi, vip kuhusu klabu?, pia vipi kuhusu mkataba wa Tv ukiisha? Maana wanaweza kuongeza tena mwingine wenye thamani zaidi.
Tutakazania kufurahia kwenye Mataji na current form ya klabu. Tukumbuke form siyo Parmanent, Ndo maana Recently Chelsea FC amechukua makombe kadhaa kuliko Man Utd lakini Thamani ya Man utd ni kubwa kuliko Chelsea based on Market value. Tukubali kuwa hii dili ya Simba imekosewa Sana. Ni heri ingepelekwa kwa namna yeyote ile kwnye soko la hisa kwa bei ya juu.
Ni jambo la furaha sana upande Mashabiki lakini vikombe na ushindi havidefine hali ya uchumi ya klabu kwa ukanda wetu huu. Lakin hatujui pia huo upande wa furaha ya vikombe miaka 3 ijayo watani nao watakuwa na Nguvu gani kwenye vikombe. Tusiwabeze kwani wanaonekana wanaboresha kikosi kila uchwao na ndani ya miaka hii mitatu watakuwa na ushindani mgumu sana na SIMBA. Na wanaweza pia kutakeover ufalme wa soka. Furaha ya ushindi itaondoka, itakuja hali ya kiuchumi ya klabu na kibiashara sasa, Hapo ndo failure itaonekana kuwa Thamani halisi ya Simba SC haikuheshimiwa.
Mashabiki na wapenzi wataanza movement zao. This time haitakuwa kumvua mwenyewkiti madaraka bali kuvunja mkataba wa kisheria. Ngumu sana Time will tell
Kazi na iendelee!
Hiyo thamani mbona haikuleta tija miaka yote hiyo au thamani ni kuwaneemesha watu wachache na timu iwe ya hovyo?Simba na Yanga ni bidhaa zenye thamani kubwa sana. Hata kama una njaa haifai kula chakula kwa pupa tena kwa mikono michafu.
Mashamba ya kununua yanapatikana wapo madalali kama unahitaji nitakuunganisha na dalali maarufu hapa kijijini.Wakati ukisubiri majibu, naomba unitafutie Shamba la kukodi au kununua huko nataka nilime mahindi mwaka huu.
Wako, MwanaSimba mwenzio wa huku vijiji vya ndanindani wilayani Chunya.
Umeeleza ujinga wa kiwango cha juu sana,mnafanya jukwaa la sports lionekane limejaa wapumbavu,hujui chochote kuhusu hisa!sijui kwann ma-layman wa kimakonde mnapenda sana kutumia kiingereza uchwala ili muonekane mnajua sana,yaani watu waliosoma masuala ya biashara na uwekezaji wakisoma utumbo wako huu lazima watapike.Naam kuweka uelewa sawa ni vyema nikafupisha mada. Lakini sitakuwa sawa kama sitowapongeza wanamsimbazi kwa ubingwa na hatua kubwa waliyopiga kwenye soka kwa miaka hii minne. Lakin pia niwapongeze kwa wapenzi wa timu ya Simba kwa support yao isiyokatika kwa timu yao.
Tumekuwa tukifuatilia mijadala mingi inayohusu mkataba wa mabadiliko ya Klabu hizi mbili kongwe Tanzania bi maana Simba na Yanga. Mijadala ilianza muda mpaka tumefika pahali mabapo tunaenda pazuri. Hongera kwa Simba kwani wameenda haraka sana. Lakini pia niwapongeze wanayanga kwa kulifanya jambo hili polepole na kwa Umakini sana.
Wakati huu ambao wanasimba ni kama wako hatua za mwisho za kuhitimisha jambo lao kuna maswali kadahaa yameanza kutrend mitandaoni na mabarazani hasa baada ya watani zao wa jadi kuingia mkataba na kampuni ya Azam. Kiuhalisia mjadala mkubwa ni thamani halisi ya klabu ya Simba , lakini pia inaibuka hoja nyingine hapo kwa ndani ya thamani halisi ya Klabu ya Yanga in relatin to the Simba-Mo Deal . Ugumu wa hili suala ni kama vile Siasa zetu za vyama vingi hapa nchini kwamba kila mmoja anaona upande wake uko sawa lakini hakuna anayetaka kubase kwenye fACTS HALISI.
Bila kusema valuation ya Simba SC imefanyikaje, wapi na ni taasisi gani zimefanya hiyo Valuation nakwenda moja kwa moja kwenye thamani iliyopatikana ambapo imegawanywa kwenye vipande 100 kama shares (100%). Mohammed Dewji "Mo" yeye amewekeza hapo na kuchukua 49% yote ambayo mwekezaji anatakiwa kuichukua kwa Shilingi Bilioni 20 za kitanzania. Kiuhalisia wengine wanapinga kuwa sehemu ya Simba haijanunuliwa lakini ukweli nikwamba takribani nusu ya klabu ya Simba imenunuliwa na "Mohammed Dewji" na wanachama wamebaki na nusu iliyobaki.
HII INATHIBITISHWA HAPA:
"A stock is an investment. When you purchase a company's stock, you're purchasing a small piece of that company, called a share.
Investors purchase stocks in companies they think will go up in value. If that happens, the company's stock increases in value as well. The stock can then be sold for a profit.
Definition: What are stocks?
Stocks are securities that represent an ownership share in a company. For companies, issuing stock is a way to raise money to grow and invest in their business. For investors, stocks are a way to grow their money and outpace inflation over time.
When you own stock in a company, you are called a shareholder because you share in the company's profits."
Kwa hiyo tukubaliane kuwa takribani nusu ya Klabu ya Simba imeuzwa. Swali vipi thamani ya Simba: Hii ni Hesabu nyepesi ya 51% iliyobaki ukijumlisha na ile ile ya 49% utapata Bilioni 40.8 kwa Brand, Assets na klabu yote kwa ujumla.
Kinachogonga vichwa sasa ni ukweli huu mchungu kukubalika sasa na isiwe baadae ambapo utaleta mgogoro ikitokea kuna mgongano wa Maslahi kati ya Wanachama na Mwenye 49%.
Yanga wameingia Mkataba wa miaka 10 wa Shilingi Bilioni 41 pamoja na VAT .Kwa ajili ya Televisheni yake tu "Yanga TV" . Yaani huu Mkataba hauhusu Mambo mengine ya Klabu.
Kwa akili za viongozi wetu kufanana, huu mkataba wa Simba na Mo utaakisi mktaba ambao Yanga wanaweza kuingia na Mwekezaji wake atakayekuja. Wanaweza kufanya kuiga wa Simba halafu waweke Value kubwa kidogo ili waseme wamewazidi wenzao lakini pia nao Thamani halisi ya Yanga itakuwa haijatizamwa. Nao wanapaswa kuwa makini sana. Ni heri hii mikataba iwe na ukomo ili kuziba makosa yatakayofanyika.
Upumbavu unapokuja Sasa mkereketwa wa Simba bila kufikiria mwaka 2035 timu itakuwa na hali gani wakati 20B zimeisha na Mo & Family wakiendelea kula matunda ya 49% ya Klabu kwa uwekezaji mdogo sana. Huyuhuyu Mkereketwa atakwambia Simba ina thamani kubwa kuliko Yanga, Nami nakubaliana naye kuwa Simba ina thamani kubwa sana kuliko Klabu yeyote si Tanzania tu balia Afrika Mashariki. Lakini hii thamni Mbona haijaheshimiwa wakati wa kuuza Nusu ya hii klabu. Mbona imeuzwa kwa hela ya Mboga?. Bilioni 40 kumiliki klabu kubwa Tanzania kama Simba , assure you kuwa ni Ndogo sana. Maana wengi sana wangeweza kumiliki hizi timu zenye uwekezaji wa Miaka zaidi ya 60 huko nyuma.
Kutokana na Mkataba wa Yanga Tv na Azam tena ni wa miaka 10 tu kuwa mkubwa zaidi ya Simba, huu ni ukweli mchungu kuwa Thamani ya ya Yanga TV ni kubwa kuliko Simba na inaweza pia kuweka kwenye Rekodi za Kibiashara kuwa Yanga ina thamani kubwa kuliko Simba kwa sasa kwani kama Tv yao tu imewaingizia hicho kiasi, vip kuhusu klabu?, pia vipi kuhusu mkataba wa Tv ukiisha? Maana wanaweza kuongeza tena mwingine wenye thamani zaidi.
Tutakazania kufurahia kwenye Mataji na current form ya klabu. Tukumbuke form siyo Parmanent, Ndo maana Recently Chelsea FC amechukua makombe kadhaa kuliko Man Utd lakini Thamani ya Man utd ni kubwa kuliko Chelsea based on Market value. Tukubali kuwa hii dili ya Simba imekosewa Sana. Ni heri ingepelekwa kwa namna yeyote ile kwnye soko la hisa kwa bei ya juu.
Ni jambo la furaha sana upande Mashabiki lakini vikombe na ushindi havidefine hali ya uchumi ya klabu kwa ukanda wetu huu. Lakin hatujui pia huo upande wa furaha ya vikombe miaka 3 ijayo watani nao watakuwa na Nguvu gani kwenye vikombe. Tusiwabeze kwani wanaonekana wanaboresha kikosi kila uchwao na ndani ya miaka hii mitatu watakuwa na ushindani mgumu sana na SIMBA. Na wanaweza pia kutakeover ufalme wa soka. Furaha ya ushindi itaondoka, itakuja hali ya kiuchumi ya klabu na kibiashara sasa, Hapo ndo failure itaonekana kuwa Thamani halisi ya Simba SC haikuheshimiwa.
Mashabiki na wapenzi wataanza movement zao. This time haitakuwa kumvua mwenyewkiti madaraka bali kuvunja mkataba wa kisheria. Ngumu sana Time will tell
Kazi na iendelee!
Nachotaka kujua hivi akiweka hizo bil.20 zinaenda wapi na kwa ajili ya nini?Thamani ya Simba inatokana na wao kufika Robo Fainali au kutokana na assets zake?!
Kwa mawazo yako, unadhani Mo kalipa 20 Billion kutokana na thamani ya Simba ndani ya uwanja au nje ya uwanja?
Waliopigwa ni wakina nani? Kwani Simba ni mali ya nani? Kama ni ya wanachama, je Mo nae sio mwanachama,kama ji mwanachama kuna tatizo gani? Wewe ulitaka nani ndo awe mwekezaji zaidi ya makanjanja wa kutunisha matumbo yao bila kufanya la maana?Hoja yako ingekuwa na mantiki kama hiyo 38 Billion ingekuwa ni mauzo ya hisa za club but blaza, hizo ni za mauzo ya haki ya maudhui tu!!
And guess what... kama Yanga akitaka mpunga wa mara moja, anaweza kwenda benki na kuchukua hata 30 Billion kama 10 years loan itakayokuwa financed na hizo hizo pesa unazosema zinatoka kidogo dogo!
Ni namna tu ya kucheza na financial management!
Azam alitaka kuweka ngapi kisha akawagomea?!
Kama kweli aliwagomea, ulishawahi kujiuliza kwamba inawezekana aliwagomea kwa sababu alikuwa hajaingiza mpunga wake Simba, na kwahiyo alikuwa na hofu angeonekana hana chake kwenye huo mpunga wa Azam?
Hivi una habari kwamba hatimae Mo ni officially mmiliki wa 49% ya Simba?
Hivi una habari hivi sasa Azam akiingiza mzigo Simba unaweza kufanya thamani ya Simba ikaongezeka?
Hivi una habari thamani ya Simba (Market Value) ikiongezeka kutokana na mpunga wa Azam, maana yake na thamani ya 49% ya hisa za Mwamedi nayo inaongezeka?
Guys...
Kusoma neno "crocodile" ukutani, hamjui, kwani picha ya mamba hamuioni?
Ukiulizwa "what's that?" Achana na neno crocodile,we jibu tu "that's mamba"... simple like that!!!
Nyie subirini muone Fatma nae ananunua angalau 1% ya hisa, na Da' Babara nae ananunua at least 1% kutoka kwenye 51% ya Wanachama...
Baada ya hapo, the end game unakuta Mwamedi anamiliki 49% + At least 1% of Fatma, + 1% of Babara= At least 51% na hatimae anakuwa majority shareholder by using his proxies!
In short, mmepigwa, na mtaendelea kupigwa kwa ujanja ujanja tu wa Mwamedi!!
Well said.Mifumo ya "wanachama" wa kuendesha hizi club umezifanya zikashindwa kuweka utaratibu mzuri wa kuendesha mambo yake. Tujiulize maswali kadhaa hapa.
Je hawa wanaoitwa wanachama wamekuwa wakiziendesha clubs kwa michango yao au bado wamekuwa wakitegemea "hisani" za watu wengine?
Je kwa mfumo wa wanachama, kila mwanachama ana haki sawa ya kuchangia na kuhurahia mafanikio ya hizi clubs? Kama ndiyo, motisha gani itamfanya mwanachama wa simba akadhamini clubs zaidi ya kiwango chake cha uanachama?
Kwa miaka kibao ambayo clubs hizi zimekuwa zikiendeshwa kwa mfumo huo zinaweza kujivunia nini ambacho wanachama wamefanya? Ukifuatilia utakuwa zaidi ya mejengo (ambayo nayo inawezekana ilikuwa hisani ya mtu/watu) hakuna kingine walicholeta wanachama. Hapo katikati club ya yanga iliwahi kuitwa inatembeza bakuli kuomba michango kwa wanachama na wapenzi lakini haikufika popote.
Ni kweli thamani ya simba inazidi bilioni 40.8 lakini, wakati MO akitoa ofa ya 20bn kulikuwa na counter offer yoyote? Si ni wanachama hawa hawa waliridhia kwa kura wampe timu?
Kinachoenda kuendelea sasa ni kwamba simba itaendeshwa kama taasisi na ikimilikiwa na MO kwa 49% na 51% kwa wanachama wengine(sijajua kama na wao watakusanya hizo bilions zingine waziweke kwa club)
Lakini tukumbuke kwamba sasa MO ataisimamia simba kama taasisi yake na hatakubali ifie mkononi mwake kama mwekezaji mkubwa
Na kwa kuanzia ni kuweka mifumo sawa ya uendeshaji na kutambulika kwa madeni na mali halali za simba.
Hivyo naamini thamani ya simba itapanda zaidi. Ma kuipa uwezo wa kuingia mikataba mingine mikubwa zaidi ya huo wa matangazo wa yanga tv.
Natamani pia kusikia uwazi utakaofanyika upande wa pili, nachoweza kusema ni kwamba huko wataalika wawekezaji wengi zaidi ambao ndiyo wanaweza kupelekea kuchelewa kufikiwa kwa muafaka wa maamuzi mengi.
All in all, wakati tukiwa tunauliza maswali mengi lakini tuwapongeze Mo na simba kwa kufikia hatua hii
Hii elimu ya hisa fans wa simba hawana kabisa! Ukisoma comments zao utasikia sisi tunachotaka ni ushindi tu
Lets get back miaka minne ilyopita before Mo kuanza huu mchakato....
Hivi ni kwel Simba ilikua na hii thamani tunayoisema leo ki uhalisia ni NO
Utasema team hii ina mashabiki plus brand name yake ni thaman kubwa ina maana hakuna wachumi wazuri ambao wangeshindwa kuweka hela kipind hcho chote kama hii biashara ni nzuri kama wanavyoaminisha?
Guys mpira ni hela na Mo alitake risk kuweka hela yake Simba na leo thaman inaongezeka kwasababu watu waliamua kuinvest huko
Unaweza kuwa na kiwanja Posta ukawa kila siku unakithaminisha na kusema hiki ni hela na ukakaa miaka 100 ukisema hvyo huku ukiwa hujaishika hyo hela ila siku ukiamua sasa kujenga ghorofa ma kuifanyia kitu ile ardhi hapo ndio utaona hela inapoingia hapo kwako na miaka kumi baadae utakuja kuthaminisha kile kiwanja na jengo lake ambayo ni hela imeongezeka zaidi.
Wanachama wa hizi team zetu hawawez hata kurise 1bln kwa mwaka kupitia hyo michango yao kwa maana hawajatengenzwa kuwa wateja wa hzo team na mtu kuchangia membership fees haoni kama ni wajibu wake, ni rahisi sana kusema team ina wanachama milion 3 so kwa fees ya elf 10 jumla ni 3bln ila sasa ukija kwenye uhalisia unakusanya kati ya 100m-300m.
Inawezekana tunampinga Mo kwasababu ya mapenzi yetu kwa team zetu hzi pinzani ila sio kwasababu ya mapenzi yetu na Mpira, Soka linataka hela kwenye uwekezaji ili upate pesa.
Sijapaniki hata kidogo.Umepaniki??
Hebu fafanua... nimeamisha magoli kivipi?
Mifumo ya "wanachama" wa kuendesha hizi club umezifanya zikashindwa kuweka utaratibu mzuri wa kuendesha mambo yake. Tujiulize maswali kadhaa hapa.
Je hawa wanaoitwa wanachama wamekuwa wakiziendesha clubs kwa michango yao au bado wamekuwa wakitegemea "hisani" za watu wengine?
Je kwa mfumo wa wanachama, kila mwanachama ana haki sawa ya kuchangia na kuhurahia mafanikio ya hizi clubs? Kama ndiyo, motisha gani itamfanya mwanachama wa simba akadhamini clubs zaidi ya kiwango chake cha uanachama?
Kwa miaka kibao ambayo clubs hizi zimekuwa zikiendeshwa kwa mfumo huo zinaweza kujivunia nini ambacho wanachama wamefanya? Ukifuatilia utakuwa zaidi ya mejengo (ambayo nayo inawezekana ilikuwa hisani ya mtu/watu) hakuna kingine walicholeta wanachama. Hapo katikati club ya yanga iliwahi kuitwa inatembeza bakuli kuomba michango kwa wanachama na wapenzi lakini haikufika popote.
Ni kweli thamani ya simba inazidi bilioni 40.8 lakini, wakati MO akitoa ofa ya 20bn kulikuwa na counter offer yoyote? Si ni wanachama hawa hawa waliridhia kwa kura wampe timu?
Kinachoenda kuendelea sasa ni kwamba simba itaendeshwa kama taasisi na ikimilikiwa na MO kwa 49% na 51% kwa wanachama wengine(sijajua kama na wao watakusanya hizo bilions zingine waziweke kwa club)
Lakini tukumbuke kwamba sasa MO ataisimamia simba kama taasisi yake na hatakubali ifie mkononi mwake kama mwekezaji mkubwa
Na kwa kuanzia ni kuweka mifumo sawa ya uendeshaji na kutambulika kwa madeni na mali halali za simba.
Hivyo naamini thamani ya simba itapanda zaidi. Ma kuipa uwezo wa kuingia mikataba mingine mikubwa zaidi ya huo wa matangazo wa yanga tv.
Natamani pia kusikia uwazi utakaofanyika upande wa pili, nachoweza kusema ni kwamba huko wataalika wawekezaji wengi zaidi ambao ndiyo wanaweza kupelekea kuchelewa kufikiwa kwa muafaka wa maamuzi mengi.
All in all, wakati tukiwa tunauliza maswali mengi lakini tuwapongeze Mo na simba kwa kufikia hatua hii
Hata nyie nyani hamna ila mko kuikosoa Simba kwani uwekezaji wa Mo umewaumiza kwa miaka minne hii na inaelekea mtaendelea kuteseka kwani msomali anawageuza geuza kama chapati na mwisho wa siku mnaishia kumbeba.Hii elimu ya hisa fans wa simba hawana kabisa! Ukisoma comments zao utasikia sisi tunachotaka ni ushindi tu
Na Luc aliwatambua na kusema nyie ni 'uneducated', mko kama mbwa koko na nyani mnachoweza ni kuzomea zomea tu.Na pia kumtetea huyo Moo! Ukitaka wakutukane na kukukejeli, basi wewe mguse tu Moo uone!!
Ila Rage alisha watambua kitambo na ndiyo maana aliwaita mbumbumbu.
Ujue pia Mo na Azam ni bitter rivals kwenye biashara, ni dhahiri dili nyingi za Azam kwa Mo zitapita kwa Mbinde.