Mtoa keshasema hiyo ni furaha ya muda mtu, maumivu yake mtayafeel huko mbeleni, Mo alijua shida yenu ushindi akajiingiza kwenye upangaji wa matokeo ili kuwanyamazisha, mjumbe wenu wa bodi akiyejiuzulu katuambia kilichokuwa kinafanyika
Lets get back miaka minne ilyopita before Mo kuanza huu mchakato....
Hivi ni kwel Simba ilikua na hii thamani tunayoisema leo ki uhalisia ni NO
Utasema team hii ina mashabiki plus brand name yake ni thaman kubwa ina maana hakuna wachumi wazuri ambao wangeshindwa kuweka hela kipind hcho chote kama hii biashara ni nzuri kama wanavyoaminisha?
Guys mpira ni hela na Mo alitake risk kuweka hela yake Simba na leo thaman inaongezeka kwasababu watu waliamua kuinvest huko
Unaweza kuwa na kiwanja Posta ukawa kila siku unakithaminisha na kusema hiki ni hela na ukakaa miaka 100 ukisema hvyo huku ukiwa hujaishika hyo hela ila siku ukiamua sasa kujenga ghorofa ma kuifanyia kitu ile ardhi hapo ndio utaona hela inapoingia hapo kwako na miaka kumi baadae utakuja kuthaminisha kile kiwanja na jengo lake ambayo ni hela imeongezeka zaidi.
Wanachama wa hizi team zetu hawawez hata kurise 1bln kwa mwaka kupitia hyo michango yao kwa maana hawajatengenzwa kuwa wateja wa hzo team na mtu kuchangia membership fees haoni kama ni wajibu wake, ni rahisi sana kusema team ina wanachama milion 3 so kwa fees ya elf 10 jumla ni 3bln ila sasa ukija kwenye uhalisia unakusanya kati ya 100m-300m.
Inawezekana tunampinga Mo kwasababu ya mapenzi yetu kwa team zetu hzi pinzani ila sio kwasababu ya mapenzi yetu na Mpira, Soka linataka hela kwenye uwekezaji ili upate pesa.
Daaa Watanzania tuna akili ndogo Sana.Na kinachonishangaza ni pale mtu anaposhangilia 38bn inayotoka kidogo kidogo na kidharau 20bn iliyotoka Cash.Hivi huyu mwenye 20bn akiiwekeza baada ya hiyo 10yrs itakuwaje? Hili Utopolo hawalifikirii kabisa.
Asante MO kuwagomea Azam,kama wanataka waweke pesa ya kueleweka.Next ni Sportpesa,naona na wao wakipewa masharti mazito,hakuna cha usawa hapa wa Simba na Yanga.Kila mtu atavuna alichopanda.
Daaa Watanzania tuna akili ndogo Sana.
Yaaani unamfananisha mpumbavu aliyeuza nusu ya shamba lake milele kwa 20B na mwelevu aliyeamua kuruhusu watu watumie robo ya shamba lake kuingiza kipato kwa miaka 10 kwa 38B.
Daa unaona ulivo mjinga Sasa.
Daa unaona ulivo mjinga Sasa.
Umeangalia posts zangu na ukajiridhisha kuwa ulichoandika ndicho hasa ulitakiwa kunieleza kwa kuangalia posts zangu?!Brazaaa achana na hesabu za matikiti..pesa ya kidogo kidogo kwa kawaida hua nyingi kuliko ya mara moja mbona kama hizi ni basics tu katika biashara yyte au ndo kujitoa ufahamu
Wacha wee!Waliopigwa ni wakina nani? Kwani Simba ni mali ya nani? Kama ni ya wanachama, je Mo nae sio mwanachama,kama ji mwanachama kuna tatizo gani? Wewe ulitaka nani ndo awe mwekezaji zaidi ya makanjanja wa kutunisha matumbo yao bila kufanya la maana?
Hapana nimesikita ulivyo popoma wa kiwango Cha lamiImeuma eeeeh
Kweli Utopolo wameshindikana, yaani baada ya Thadeo Lwanga kuuzamisha ule mwiko wameotesha mwingine pale pale kwenye mshono.
Kumbuka Fatma Dewj ana hisa Yanga kama mwanachana..
So familia ya Dewj inamiliki zaidi ya 50% ya hisa za Simba. Pia thamani yaSimba ni zaidi ya Bil 20 alizoweka Mo kwa sababu wakati Mo alitaka kuweka hizo hela Simba hukufika hata robo final ya club bingwa
Hebu weka value ya Yanga mwaka 2016 na ya Simba pia weka na value ya Yanga TV kwa mwaka huo
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Wewe umesoma kimhemk zaidi. Mimi sijalinganisha makundi wala sijashindanisha Yanga na Simba. Nimecompare Rights za Yanga Tv na Value ya Simba Sc.Mkuu, tulia halafu usome hii, ikikupendeza urudi kufafanua.
Hapo umezungumzia mdhamini wa Yanga na thamani ya Simba. Lakini hujaweka bado kinyume chake ili ulinganishe vitu vinavyofanana. Naomba uweke pia mdhamini wa Simba na thamani ya Yanga.
Baada ya kuweka uvitenganishe vinavyofanana, yaani thamani ya Simba na thamani ya Yanga, halafu wadhamini wa Simba na wadhamini wa Yanga; hapo utakuwa umelinganisha makundi yanayofanana
Unateseka ukiwa wapi mkuu kumbuka leo tajir wetu ametuaidi ubingwa wa Afrika wa kwenu ameaidi wa ndondo na umemshinda.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Hivi nyie kwa nini mnatumika kuwapigania wanachama wachache wa juu ili wapige pesa? Sisi wanachama tunachokihitaji kwa club ni ushindi na mataji tu,mwekezaji kama amewekeza na amepata zaidi muache avune. Hao wanachama unaotaka wapate nusu wanachangia nini?
Kabla hajaweka pesaa kelelee zilikua mbona haweki mzigoMnaleta choko choko baada ya Mo kuweka pesa
Mtaumia sana mwaka huu
Yanga wenye elimu wako wapi? Ikiwa kushiriki kimataifa hadi wabebwe.Hii elimu ya hisa fans wa simba hawana kabisa! Ukisoma comments zao utasikia sisi tunachotaka ni ushindi tu
Wewe ni chizi wanahisa hawagawani mtaji wanagawana faida tuUshawahi kufikiri MO akifarikia ghafla, maana ni mwanadamu.
Mrithi wake atakuwaje?.. Bado 49% itakuwa kwa warithi wake na Uenyekiti wa Bodi utakuwa wao. Mtafanya nini?. 20B imekata. Mtawafosi wasajili kwa lazima wakati haipo kwenye mkataba wa mauso ya hisa. Kumbuka hapo kila Dili likiingiza Hela au mkataba wa udhamini, familia nayo inamega 49% yao
Umemsikia Ghalib? Anakwambia thamani ya yanga ni 60bn to 200bn, simba wabaki na nafasi yao ya 10 Afrika, na yanga ya 80, ila yanga inakuja huko kwenye 10 kwa kishindo, alijibu kijembe cha moo akiweka tu bn 20Yanga wenye elimu wako wapi? Ikiwa kushiriki kimataifa hadi wabebwe.