Ukweli Mchungu kwa Wanasimba: Televisheni ya Yanga kuwa na Thamani kubwa kuliko Klabu ya Simba ni upumbavu

Ukweli Mchungu kwa Wanasimba: Televisheni ya Yanga kuwa na Thamani kubwa kuliko Klabu ya Simba ni upumbavu

Sasa naona umejirekebisha kwa kusema thamani ya Yanga haijulikani, ila pale mwanzo ulitaka watu waamini kuwa hela za udhamini ndio thamani ya timu. Kwa sasa thamani ya Yanga haijulikani, na hiyo 200B ikitokea amepatikana mwekezaji akakubali kuweka 200B (kama yupo atakayekubali), hapo ndipo utakapoanza kusema Yanga ina thamani ya 200B. Kwa sasa inatosha kusema thamani ya Yanga haijulikani.

Tena sio suala la wao kutaka kuuza shea kwa bei hiyo, ni hadi ajitokeze atakayekubali kununua shea kwa bei hiyo. Unaweza ukataka kuuza koti kwa sh. laki tatu, lakini mwenzako mnunuaji anaona kabisa halina tofauti na koti la sh, elfu tatu pale Kariakoo. Thamani ya kitu inaamuliwa na mnunuaji, muuzaji ukikomaa utaendelea kubaki nacho

Wenzetu walijifungia Chumbani na mnunuaji akapanga Bei yake , mkiongea anasema 20B ni nyingi sana, anawza hata kuanzisha Benki. Kwa nini isitangazwe waje wanunuaji wengine wapande Dau ?

Kwa nini 49% kachukua zote kwa kubuni vikampuni vya uwongo viwili?

Hoja yangu ni kama uhtaji wa B20 , mbona unapatikana kwa Rights za TV tu ?

Mkataba wa Kununua Simba kwa Mo kunampa haki zingine za kibiashara kama Matangazo mengi mpaka kwenye TV ya Klabu. Je anawapa kiasi hiko nje ya 20B?. Simba ina utajiri gani wa kukataa 41B in ten years wakati imeburuzwaburuzwa na kukubali kuuza nusu ya timu kwa 20B zaidi ya hiyo miaka 10?

Ndo maana nikasema ni UPUMBAVU
 
Reply
Mkataba wa Kununua Simba kwa Mo kunampa haki zingine za kibiashara kama Matangazo mengi mpaka kwenye TV ya Klabu. Je anawapa kiasi hiko nje ya 20B?.
Mkuu, inaelekea bado unachanganywa na vitu viwili: matangazo ya biashara na matangazo ya mechi. Azam TV anahitaji kununua haki ya matangazo ya mechi. Haiizuii timu kuwa na matangazo ya biashara kwenye jezi. Mo ameweka matangazo ya biashara zake kwenye jezi, na si kwamba amenunua haki ya kurusha matangazo ya mechi (kwanza hana TV station)

Nadhani hiki kitu kilikukoroga tangu mwanzo hadi ukaanzisha uzi. Lakini pia inawezekana umeelewa kuwa ulikuwa unalinganisha viti visivypaswa kulinganishwa, ila unashindwa tu namna ya kuufunga uzi wako
 
Reply

Mkuu, inaelekea bado unachanganywa na vitu viwili: matangazo ya biashara na matangazo ya mechi. Azam TV anahitaji kununua haki ya matangazo ya mechi. Haiizuii timu kuwa na matangazo ya biashara kwenye jezi. Mo ameweka matangazo ya biashara zake kwenye jezi, na si kwamba amenunua haki ya kurusha matangazo ya mechi (kwanza hana TV station)

Nadhani hiki kitu kilikukoroga tangu mwanzo hadi ukaanzisha uzi. Lakini pia inawezekana umeelewa kuwa ulikuwa unalinganisha viti visivypaswa kulinganishwa, ila unashindwa tu namna ya kuufunga uzi wako

Nakurekebisha. AZAM Hawajataka haki za kurusha matangazo ya Mechi , Wametaka Rights za Televisheni za klabu.. JIRIDHISHE NA HILO KWANZA HALAFU UJE UANDIKE UPYA
 
Nakurekebisha. AZAM Hawajataka haki za kurusha matangazo ya Mechi , Wametaka Rights za Televisheni za klabu.. JIRIDHISHE NA HILO KWANZA HALAFU UJE UANDIKE UPYA
Je, hilo linazuia klabu kuwa na matangazo kwenye jezi? That's my issue here, nasubiri ujibu
 
Mo amesema hawezi kukubali mkataba wa Azam kwa sababu Simba ina mashabiki wengi kuliko Yanga kwa kauli hii inaonyesha kuwa hata pesa aliyolipa yeye hailingani na thamani ya simba na pia ile mikataba anayoingia na Simba kutangaza bidhaa zake za milioni 200 anawaibia Simba kwani mikataba haiendani na thamani halisi ya Simba.
 
Wenzetu walijifungia Chumbani na mnunuaji akapanga Bei yake , mkiongea anasema 20B ni nyingi sana, anawza hata kuanzisha Benki. Kwa nini isitangazwe waje wanunuaji wengine wapande Dau ?

Kwa nini 49% kachukua zote kwa kubuni vikampuni vya uwongo viwili?

Hoja yangu ni kama uhtaji wa B20 , mbona unapatikana kwa Rights za TV tu ?

Mkataba wa Kununua Simba kwa Mo kunampa haki zingine za kibiashara kama Matangazo mengi mpaka kwenye TV ya Klabu. Je anawapa kiasi hiko nje ya 20B?. Simba ina utajiri gani wa kukataa 41B in ten years wakati imeburuzwaburuzwa na kukubali kuuza nusu ya timu kwa 20B zaidi ya hiyo miaka 10?

Ndo maana nikasema ni UPUMBAVU
Wewe unao mkataba wa ununuzi wa hisa kati ya Simba Holding na Mo ?
 
Je, hilo linazuia klabu kuwa na matangazo kwenye jezi? That's my issue here, nasubiri ujibu

Haizuii , sasa kwa nini Mo Amekataa 41B kwa ajili ya rights za Simba TV tu tena kwa miaka kumi akidai ni ndogo. wakati yeye kahodhi 49% ya rights zote za Simba SC tena maisha na siyo miaka kadhaa halafu kwa kuipa klabu thamani ya jumla ya 40.8B. Kama Simba ilihitaji 20B kujiendesha, si wangetalk na AZAM ili kutorisk kuuza timu kizembe
 
Wewe unao mkataba wa ununuzi wa hisa kati ya Simba Holding na Mo ?

Swali Zuri,
Wanachama tuliokaa mkutano mkuu kupitisha mo apewe timu au lah , na si tufanye Transformation au lah , Je wanao Mkataba au wanashadadia tu ushindi.

Kama wanao basi na wewe unao, Kama hawana itakuwa KITUKO CHA MWAKA.
 
Mo amesema hawezi kukubali mkataba wa Azam kwa sababu Simba ina mashabiki wengi kuliko Yanga kwa kauli hii inaonyesha kuwa hata pesa aliyolipa yeye hailingani na thamani ya simba na pia ile mikataba anayoingia na Simba kutangaza bidhaa zake za milioni 200 anawaibia Simba kwani mikataba haiendani na thamani halisi ya Simba.
41 B kwa Simba TV tu tena kwa miaka 10 tu ni Ndogo

20B kwa 49% ya Simba SC yote tena kwa miaka zaidi ya 50 ni sawa.

Huu ni wendawazimu wa kiwango cha Lami
 
Swali Zuri,
Wanachama tuliokaa mkutano mkuu kupitisha mo apewe timu au lah , na si tufanye Transformation au lah , Je wanao Mkataba au wanashadadia tu ushindi.

Kama wanao basi na wewe unao, Kama hawana itakuwa KITUKO CHA MWAKA.
Nimekuuliza wewe
 
Mo amesema hawezi kukubali mkataba wa Azam kwa sababu Simba ina mashabiki wengi kuliko Yanga kwa kauli hii inaonyesha kuwa hata pesa aliyolipa yeye hailingani na thamani ya simba na pia ile mikataba anayoingia na Simba kutangaza bidhaa zake za milioni 200 anawaibia Simba kwani mikataba haiendani na thamani halisi ya Simba.
In Hajji Sunday`s voice
 
Kumbuka Fatma Dewj ana hisa Yanga kama mwanachana..
So familia ya Dewj inamiliki zaidi ya 50% ya hisa za Simba. Pia thamani yaSimba ni zaidi ya Bil 20 alizoweka Mo kwa sababu wakati Mo alitaka kuweka hizo hela Simba hukufika hata robo final ya club bingwa
Acha uongo ana hisa Simba kwenye zile 49%
 
Hoja yako ingekuwa na mantiki kama hiyo 38 Billion ingekuwa ni mauzo ya hisa za club but blaza, hizo ni za mauzo ya haki ya maudhui tu!!

And guess what... kama Yanga akitaka mpunga wa mara moja, anaweza kwenda benki na kuchukua hata 30 Billion kama 10 years loan itakayokuwa financed na hizo hizo pesa unazosema zinatoka kidogo dogo!

Ni namna tu ya kucheza na financial management!

Azam alitaka kuweka ngapi kisha akawagomea?!

Kama kweli aliwagomea, ulishawahi kujiuliza kwamba inawezekana aliwagomea kwa sababu alikuwa hajaingiza mpunga wake Simba, na kwahiyo alikuwa na hofu angeonekana hana chake kwenye huo mpunga wa Azam?

Hivi una habari kwamba hatimae Mo ni officially mmiliki wa 49% ya Simba?

Hivi una habari hivi sasa Azam akiingiza mzigo Simba unaweza kufanya thamani ya Simba ikaongezeka?

Hivi una habari thamani ya Simba (Market Value) ikiongezeka kutokana na mpunga wa Azam, maana yake na thamani ya 49% ya hisa za Mwamedi nayo inaongezeka?

Guys...

Kusoma neno "crocodile" ukutani, hamjui, kwani picha ya mamba hamuioni?

Ukiulizwa "what's that?" Achana na neno crocodile,we jibu tu "that's mamba"... simple like that!!!

Nyie subirini muone Fatma nae ananunua angalau 1% ya hisa, na Da' Babara nae ananunua at least 1% kutoka kwenye 51% ya Wanachama...

Baada ya hapo, the end game unakuta Mwamedi anamiliki 49% + At least 1% of Fatma, + 1% of Babara= At least 51% na hatimae anakuwa majority shareholder by using his proxies!

In short, mmepigwa, na mtaendelea kupigwa kwa ujanja ujanja tu wa Mwamedi!!
Fatma tayar anazo kwenye zile 49 waliambiwa wawe 2
 
Biashara haiendi hivo boss
Liverpool inakaririwa kua na thamani ya 1.3B by 2019 lakini walisign deal la jezi na nike lenye thamani ya 91m kwa mwaka..maana yake kwa miaka 10 ni 910M haipishani sana na thamani ya club ina maana wangeongeza kidpgo tu wangeifikia thamani na hizo ni jezi tu..bado kuna tv rights..kuna matangazo ya jezi na mambo mengine meeeeengi maana yake ni kua ndani ya hio miaka 10 Liverpool itakua imeingiza pesa nyingi sanaaaaaa ukilinganisha na thamani yake ila sio pesa ya mara moja kwa mkupuo ambayo kama mtu akitaka kuinunua Liver atatoa.

Hata nyumba za kupanga unakuta kwa mwez 250k kwa mwaka ni 3M ina maana kama nyumba ni ya 30M ndani ya miaka 10 wapangaji wanakua wameshatoa pesa nyingi zaidi ya thaman ya nyumba maana hapo kati hata kodi itapanda lakin hakuna mpangaji kwa akili zake timamu hata kama anajua atakaa kwa miaka 10 eti na yeye akupe pesa ya kodi ya miaka yote 10 hio ni pesa nyingi sana inauoweza kununua nyumba kama hio hio..

Hivyo bas pesa ya kuigawa kwa kawaida hua ni nyingi kuliko pesa ya mkupuo na hio ni kwa biashara yyte ipe duniani huyo azam hata mumfanye nin hawezi kuitoa hio pesa kwa mara 1 la sivyo atawaambia mumpr club moja kwa moja
Aiseee Sahihi mo Katika hili namuona WA ajabu
 
... lakini pia inaibuka hoja nyingine hapo kwa ndani ya thamani halisi ya Klabu ya Yanga in relatin to the Simba-Mo Deal .
1628151778287.png
 
Kawaulize wauza magazeti ya michezo watakupa jibu kati ya Yanga vs Simba ,nani akiwa kwenye kiwango kizuri anayauza......watakupa jibu.......KwaTz Yanga ni brand kubwa zaidi ya Simba
 
Back
Top Bottom