Ukweli mchungu: M/kiti CCM taifa wanachama wengi hawakupendi

Kwamba wewe mtoa mada ndio msemaji wa wanachama au? πŸ˜†πŸ˜†..

Mbona alipita kwa kura zote na mbona walimpigania kwenye sakata la Ndugai?

Usiwasemee watu jisemee wewe na njaa zako.
 
Sidhani kama atakuwa amekusikia huyu!
 
Kwamba wewe mtoa mada ndio msemaji wa wanachama au? πŸ˜†πŸ˜†..

Mbona alipita kwa kura zote na mbona walimpigania kwenye sakata la Ndugai?

Usiwasemee watu jisemee wewe na njaa zako.
Ndo utakua kua hujui...hizi ni sauti za off mic na vyumbani
 
3. Badilisha viongozi nyeti waliokuwa wakiendesha dhulma na kila aina ya maonevu hapo awali.
Kuna watu wana husuda, roho mbaya na unafiki sana.
Mtu kuwepo kwenye serikali iliyofanya uonevu siyo kwamba na yeye ni muonevu NO, watu walikuwa wanafuata mdundo wa ngoma unavyolia so hawakuwa na jinsi.

Ndiyo maana wengine mfano aliyekuwa waziri wa Afya mrs. Gwajima mdundo alibadiri gear gafla akafuata huo mpya, kila binadamu ana hulka zake na nini cha kufanya na mnajua kuna wale walokataa kufuata mdundo nini kiliwapata, huyo ndiyo binadamu, mengine itakuwa ni zile tabia zetu za kiafrika.
 
Acha unafki we mfumuko wa bei hajakupfikia we??
TUMPE MUDA MADAM ANAYAONA YOTE NI MIEZI 10 TU,TOKA AWE RAIS WETU,KILA KITU KITAKAA SAWA KUANZIA SUKARI MICHELE UNGA KUMBUKA HUYU NI MAMA,ANAJUA VYEMA KILA KITU.
(Tumpe muda) kidogo.
 
Acha unafki we mfumuko wa bei hajakupfikia we??
Mfumuko wa bei unaujua au unajua kutamka tuu hilo neno?

Bei ya vitu kupanda ni sign pia ya uchumi kukua, uchumi haukui bei zikiwa stagnant Wewe kenge..

Kama kungekuwa na mfumuko wa bei mkubwa unaoathiri uchumi Takwimu za Mapato ya serikali kuongezeka zisingekuwepo .

Wengi wenu NYie ni ma layman you no nothing kwenye uchumi.

















 

 
Umesema kweli tupu
 
Huyu maza hapendwi haswa tena sn pia hana mvuto wa kisiasa hata kdg japo ni katili amejificha kwenye dini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…