Sema USA wahuni wanaopiga watu silaha bila sababu ni wengi sana.Marekani hakuna usalama wa uhakika ni sawa
Ila nataka nikuambie hakuna nchi yoyote yenye kukupa guarantee ya uhakika wa usalama.
Uganda, Kenya na Saud Arabia zote zimezidiana point moja moja kwenye statics ya Global Peace index.
Saud Arabia ni ya 119
Kenya ni ya 120
Uganda ni ya 121
Hizo zote zimezidiwa na Zambia ambayo ni ya 59.
Kwa maana hiyo tukija kwenye hoja yako ni bora ukaishi Zambia kuliko Saud Arabia.
Ni kwasababu ya uhuru wa raia kumiliki silaha.Sema USA wahuni wanaopiga watu silaha bila sababu ni wengi sana.
Mtu anatembea na shoka kwenda malls anafyeka watu.
Incidencies kama hizo kwenye nchi za ulimwengu wa tatu hazipo.
Hili ndiyo tatizo kubwa linapunguza sana usalama wa watu.Ni kwasababu ya uhuru wa raia kumiliki silaha.
Sehemu nyingine kunaweza kukawa hakuna hivyo vitu lakini ikawa ni sehemu hatari zaidi kuliko hata US.Hili ndiyo tatizo kubwa linapunguza sana usalama wa watu.
Ni mawazo yako.Yawekewe gamba gumu yasichakee.Nchi ya dunia ya tatu ni nini? Nchi ya dunia ya tatu ni nchi yoyote ile isiyo na usalama wa uhakika( wa kutosha ) kwa raia wake na watu wote wanao ishi ndani yake.
Vitu hivi huwezi kuipata Marekani.
Marekani hakuna usalama wa uhakika. Hakuna utu. Watu wanauana kwa sababu za kijinga kabisa. Wanaoneana wivu na husda.
USA to a large extent is a drug infected society ( thanks to Fidel Castro)
Gun culture. Gang culture is a normal thing in the US.
I feel more safety in Kigali or Saudi Arabia than in the US.
Marekani a first world country? I'm terms of development of infrastructures yes but not in terms of social life.
what about technology? No ! Why? USA technology is a polluting technology.
Polluting technology is close to no technology at all.
Technology must be non polluting for it to be called technology.
# USA is a third world country
Ngoja nisubiri comments za wamarekani wa Nzega.
Mkuu rudisha Avatar yako ya Diego Maradona.Aise 😄
Kabisa mkuu, UK uhalifu sio wa kiwango cha kutisha kama US.....Wao silaha ni biashara kubwa sana kwa makampuni yanayotengeneza na wengi wakubwa wamo kama shareholders kwa hiyo wanaitetea kwa nguvu zote na hakuna wa kuweza kufuta sheria za uuzaji wa silaha
Obama alijifanya kupinga na kuleta sheria ila ilipingwa vikali
Ni nchi pekee unaweza kuwa arsenal ya silaha zote hata Mia hakuna anaekukataza
Kuhusu madawa pia wamo wakubwa maadam wao hawatumii ila yanaingia na mpaka Afghanistan wanajeshi walikwenda kwa ajili ya Opium inayotengenezwa Heroin na ni baishara ambayo inategemewa kwa mapato
Ukiangalia na Mexico wanaoingiza madawa ya kukevya kila leo.
Hiyo nchi sijaipenda maisha yangu na siwezi kwenda hata kutembea
Niko 🇬🇧 kuna amani zaidi ya 🇺🇸 maana hata police hawqtembei na pistols lakini vunja sheria uone
Bora uhuru uliopitiliza.Tatizo la Marekani ni Uhuru uliopitiliza
Hata kudhibiti silaha wameshindwa au ndio democracy wanayo ihubiri ?
Mbona kuna mataifa mengi ya Ulaya yapo safe kuliko U.S.A na ya mtindo wa kidemokrasia kama wa U.S.A
Kama us ni dunia ya tatu tz itakua dunia ya ngapi?Nchi ya dunia ya tatu ni nini? Nchi ya dunia ya tatu ni nchi yoyote ile isiyo na usalama wa uhakika( wa kutosha ) kwa raia wake na watu wote wanao ishi ndani yake.
Vitu hivi huwezi kuipata Marekani.
Marekani hakuna usalama wa uhakika. Hakuna utu. Watu wanauana kwa sababu za kijinga kabisa. Wanaoneana wivu na husda.
USA to a large extent is a drug infected society ( thanks to Fidel Castro)
Gun culture. Gang culture is a normal thing in the US.
I feel more safety in Kigali or Saudi Arabia than in the US.
Marekani a first world country? I'm terms of development of infrastructures yes but not in terms of social life.
what about technology? No ! Why? USA technology is a polluting technology.
Polluting technology is close to no technology at all.
Technology must be non polluting for it to be called technology.
# USA is a third world country
Ya saba hiviKama us ni dunia ya tatu tz itakua dunia ya ngapi?
Siku ukifika marekani utakufa Kwa mshangao!! In short USA is next level!! Utasema Kila siku sikukuuNchi ya dunia ya tatu ni nini? Nchi ya dunia ya tatu ni nchi yoyote ile isiyo na usalama wa uhakika( wa kutosha ) kwa raia wake na watu wote wanao ishi ndani yake.
Vitu hivi huwezi kuipata Marekani.
Marekani hakuna usalama wa uhakika. Hakuna utu. Watu wanauana kwa sababu za kijinga kabisa. Wanaoneana wivu na husda.
USA to a large extent is a drug infected society ( thanks to Fidel Castro)
Gun culture. Gang culture is a normal thing in the US.
I feel more safety in Kigali or Saudi Arabia than in the US.
Marekani a first world country? I'm terms of development of infrastructures yes but not in terms of social life.
what about technology? No ! Why? USA technology is a polluting technology.
Polluting technology is close to no technology at all.
Technology must be non polluting for it to be called technology.
# USA is a third world country
Ukiishi USA wiki moja tuu utabadilika Sana kimuonekano Yani utajiona ulikuwa mchafu na unanuka!!acha kabisa sikia redion ndugu america ni hatari!!Ngoja nisubiri comments za wamarekani wa Nzega.
Afike wapi stori za vijiweniUmewahi kufika marekani?,tuanzie hapo kwanza.