Ukweli mchungu: Mbowe akirudi madarakani, CHADEMA na viongozi wake watapoteza heshima na ushawishi

Ukweli mchungu: Mbowe akirudi madarakani, CHADEMA na viongozi wake watapoteza heshima na ushawishi

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Huu ndio ukweli mchungu na pia mtakosa uhalali wa kumpinga Samia au Mtawala mwingine yoyotw ataeamua kubadili katiba ili ajiongezee muda wa kubaki madarakani.

Mtapoteza uhalali wa kuhoji katiba hii mbovu tuliyonayo na hata madai ys tume huru nayo yatakuwa yamekufa kifo cha mende kwasababu ni lazima muwe mfano tena kwa vitendo wa kile ambacho kwa miaka mingi mmkekuwa mkikihubiri majukwaani.

Na pia iwapo uchaguzi ukifanywa kwa mizengwe, mtapoteza na uhalali wa kuhoji matokeo ya uchaguzi wowote zikiwemo chaguzi zilizopita na hata chaguzi zijazo ukiwemo uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Madhara yatakuwa ni mengi, mfano, mkiitisha maandamano, hata wale watu wachache waliokuwa wanajitokeza, hamtwaona tena na mengine mengi ikiwemo heshima ya viongozi wa chama kushuka katika jamiii na hata mbele ya watu wa mataifa mengine.

Busara ni Mbowe apumzike au uchaguzi ufanyike kwa haki na Lissu akuballi matokeo na aendelee kukitumikia chama. Tofauti na hapo, CHADEMA mtapoteza ushawishi kwa kiwango kikubwa mno na chama kitafifia kama CUF ya Lipumba.

Soma Pia:
Jambo lingine litalowamaliza ni endapo mtaendesha kampeni za chuki badala ya kampeni za hoja hasa zitazoonyesha wagombea wana mikakati gani ya kuleta mabadiliko yatayosaidia kuiondoa CCM madarakani na za kujisahihisha kwa mliokosea siki za nyuma.

Mheshimiwa Mbowe, usipkuwa makini, kazi ulioifanya kwa miaka 20 na heshima uliyojijengea kwa moaka 20, vyote utaviharibu kwa uchaguzi wa siku moja tu.

Mheshimiwa Mbowe, ubaki kama mlezi wa chama na kama ni lazima hicho cheo kitambulike katika katiba ya chama, basi hii iwe ni agenda ya Lissu kwenye uchaguzi(kuingiza hiko kipengele kwenye katiba), agenda ambayo naamini pia italeta umoja zaidi katika chama. kipindi hiki chaguzi.

Nimemaliza, msiponielewa, ulimwengu utawafundisha na wakati huo mtakuwa teyari mmechelewa.
 
Huu ndio ukweli mchungu na pia mtakosa uhalali wa kumpinga. Samia au Mtawala mwingine yoyotw ataeamua kubadili katiba ili ajiongezee muda wa kubaki madarakani.

Na uchaguzi ukifanywa kwa makondakonda, mtapoteza uhalali wa kuhoji matokeo ya uchaguzi wowote zikiwemo chaguzi zilizopita na hata chaguzi zijazo ukiwemo uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Mkiitisha maandamano, hata wale watu wachache waliokuws wanajitokeza, hamtwaona tena

Busara ni Mbowe apimzike au uchaguzi ufanyike kwa haki na Lissu akuballi matokeo na aendelee kukitumikia chama. Tofauti na hapo, CHADEMA mtapoteza ushawishi kwa kiwango kikubwa mno na chama kitafifia kama CUF ya Lipumba.

Jambo lingine litalowamaliza ni endapo mtaendesha kampeni za chuki badala ya kampeni za hoja hasa zitazoonyesha wagombea wana mikakati ya kuleta mabadiliko yatayosaidia kuiondoa CCM madarakani na za kujisahihisha kwa mliokosea siki za nyuma.

Msiponielewa, ulimwengu utawafundisha na wakati huo mtakuwa teyari mmechelewa.
Ni muda muafaka sasa kwa MBOWE kustaafu kwa heshima, apishe nguvu/ maarifa mapya yaje kuiondoa CCM madarakani.
 
Huu ndio ukweli mchungu na pia mtakosa uhalali wa kumpinga. Samia au Mtawala mwingine yoyotw ataeamua kubadili katiba ili ajiongezee muda wa kubaki madarakani.

Mtapoteza uhalali wa kuhoji katiba hii mbovu tuliyonayo na hata madai ys tume huru nayo yatakuwa yamekufa kifo cha mende kwasababu ni lazima muwe mfano tena kwa vitendo wa kile ambacho kwa miaka mingi mmkekuwa mkikihubiri majukwaani.

Na pia iwapo uchaguzi ukifanywa kwa mizengwe, mtapoteza na uhalali wa kuhoji matokeo ya uchaguzi wowote zikiwemo chaguzi zilizopita na hata chaguzi zijazo ukiwemo uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Mashara yatakuwa ni mengi, mfano, mkiitisha maandamano, hata wale watu wachache waliokuwa wanajitokeza, hamtwaona tena na mengine mengi ikiwemo heshima ya viongozi wa chama kushuka katika jamiii na hata mbele ya watu wa mataifa mengine.

Busara ni Mbowe apumzike au uchaguzi ufanyike kwa haki na Lissu akuballi matokeo na aendelee kukitumikia chama. Tofauti na hapo, CHADEMA mtapoteza ushawishi kwa kiwango kikubwa mno na chama kitafifia kama CUF ya Lipumba.

Jambo lingine litalowamaliza ni endapo mtaendesha kampeni za chuki badala ya kampeni za hoja hasa zitazoonyesha wagombea wana mikakati gani ya kuleta mabadiliko yatayosaidia kuiondoa CCM madarakani na za kujisahihisha kwa mliokosea siki za nyuma.

Msiponielewa, ulimwengu utawafundisha na wakati huo mtakuwa teyari mmechelewa.
Sahihi kabisa.....ila hata Mbowe ana haki ya kupigiwa kura.

Muhimu uchaguzi uwe huru.

zitto junior JokaKuu Tindo
 
Nimeshikilia shilingi ya heshima ya mwisho ya Mbowe kutokana na hekima na busara atakazotumia this time kunusuru chama.

Akizichanga vibaya chama kitakuwepo lkn tutakuwa tumeijua sura yake halisi.

All the best kamanda Mbowe.
Kazi aliyoifanya kwa miaka 20, ataharibu kwa uchaguzi wa siku moja.
 
Huu ndio ukweli mchungu na pia mtakosa uhalali wa kumpinga. Samia au Mtawala mwingine yoyotw ataeamua kubadili katiba ili ajiongezee muda wa kubaki madarakani.

Mtapoteza uhalali wa kuhoji katiba hii mbovu tuliyonayo na hata madai ys tume huru nayo yatakuwa yamekufa kifo cha mende kwasababu ni lazima muwe mfano tena kwa vitendo wa kile ambacho kwa miaka mingi mmkekuwa mkikihubiri majukwaani.

Na pia iwapo uchaguzi ukifanywa kwa mizengwe, mtapoteza na uhalali wa kuhoji matokeo ya uchaguzi wowote zikiwemo chaguzi zilizopita na hata chaguzi zijazo ukiwemo uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Mashara yatakuwa ni mengi, mfano, mkiitisha maandamano, hata wale watu wachache waliokuwa wanajitokeza, hamtwaona tena na mengine mengi ikiwemo heshima ya viongozi wa chama kushuka katika jamiii na hata mbele ya watu wa mataifa mengine.

Busara ni Mbowe apumzike au uchaguzi ufanyike kwa haki na Lissu akuballi matokeo na aendelee kukitumikia chama. Tofauti na hapo, CHADEMA mtapoteza ushawishi kwa kiwango kikubwa mno na chama kitafifia kama CUF ya Lipumba.

Jambo lingine litalowamaliza ni endapo mtaendesha kampeni za chuki badala ya kampeni za hoja hasa zitazoonyesha wagombea wana mikakati gani ya kuleta mabadiliko yatayosaidia kuiondoa CCM madarakani na za kujisahihisha kwa mliokosea siki za nyuma.

Mheshimiwa Mbowe, usipkuwa makini, kazi ulioifanya kwa miaka 20 na heshima uliyojijengea kwa moaka 20, vyote utaviharibu kwa uchaguzi wa siku moja.

Nimemaliza, msiponielewa, ulimwengu utawafundisha na wakati huo mtakuwa teyari mmechelewa.
Pia watapoteza idadi kubwa ya wanachama na wafuasi.
 
Huu ndio ukweli mchungu na pia mtakosa uhalali wa kumpinga. Samia au Mtawala mwingine yoyotw ataeamua kubadili katiba ili ajiongezee muda wa kubaki madarakani.

Mtapoteza uhalali wa kuhoji katiba hii mbovu tuliyonayo na hata madai ys tume huru nayo yatakuwa yamekufa kifo cha mende kwasababu ni lazima muwe mfano tena kwa vitendo wa kile ambacho kwa miaka mingi mmkekuwa mkikihubiri majukwaani.

Na pia iwapo uchaguzi ukifanywa kwa mizengwe, mtapoteza na uhalali wa kuhoji matokeo ya uchaguzi wowote zikiwemo chaguzi zilizopita na hata chaguzi zijazo ukiwemo uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Mashara yatakuwa ni mengi, mfano, mkiitisha maandamano, hata wale watu wachache waliokuwa wanajitokeza, hamtwaona tena na mengine mengi ikiwemo heshima ya viongozi wa chama kushuka katika jamiii na hata mbele ya watu wa mataifa mengine.

Busara ni Mbowe apumzike au uchaguzi ufanyike kwa haki na Lissu akuballi matokeo na aendelee kukitumikia chama. Tofauti na hapo, CHADEMA mtapoteza ushawishi kwa kiwango kikubwa mno na chama kitafifia kama CUF ya Lipumba.

Jambo lingine litalowamaliza ni endapo mtaendesha kampeni za chuki badala ya kampeni za hoja hasa zitazoonyesha wagombea wana mikakati gani ya kuleta mabadiliko yatayosaidia kuiondoa CCM madarakani na za kujisahihisha kwa mliokosea siki za nyuma.

Mheshimiwa Mbowe, usipkuwa makini, kazi ulioifanya kwa miaka 20 na heshima uliyojijengea kwa moaka 20, vyote utaviharibu kwa uchaguzi wa siku moja.

Nimemaliza, msiponielewa, ulimwengu utawafundisha na wakati huo mtakuwa teyari mmechelewa.
Lissu ana deko.... atatishowa nyau kidogo atakimbilia ubelgiji awaache wenzie kwenye mataa!! Nimeona ashaanza huko mtandaoni X!!

Tukiacha ushabiki Lissu hafai kuwa top notch huko CDM!!
 
Sahihi kabisa.....ila hata Mbowe ana haki ya kupigiwa kura.

Muhimu uchaguzi uwe huru.

zitto junior JokaKuu Tindo
Na naona ni vizuri zaidi kuliko kutafuta land slide wahamasishane wakapige kura!! Mnaweza predict Mbowe kupoteza lkn ikitokea Lissu akaangushwa kwenye box halali la kura atajiharibia mara 100 kuliko Mbowe!!
 
Pia watapoteza idadi kubwa ya wanachama na wafuasi.
Watu kama kina Yerriko na wengineo wananishangaza sana kwa kupiga vijembe kwa hoja ambazo hatukuzitarajia kabisa. Waige mfano wa Godbless Lema anaejepusha kutoa hoja zinaxoweza kukigawa chama na wanachama na wafuasi wa CHADEMA kwa ujumla.
 
mbowe nakuomba usije kimbia mdaharo natamani uwepo na uendeshwe na tido muhando

Hili ni pambano la uzito wa juu nchini( inanikumbusha foreman na Mohamed Ali hapo kongo).....trump wa marekani na washirika wake ,pia brics lazima waombe MUDA uwe mzuri nao watazama mubashara
 
Back
Top Bottom