Ukweli mchungu: Mbowe akirudi madarakani, CHADEMA na viongozi wake watapoteza heshima na ushawishi

Ukweli mchungu: Mbowe akirudi madarakani, CHADEMA na viongozi wake watapoteza heshima na ushawishi

Tundu Lissu ndie mpinzani wa kweli asiyedoa ktk siasa zetu. Ni jasiri, mpambanaji, ana akili, ni mkweli, ni muwazi na ana damu ya kupendwa.

Kila mpinzani anatamani kumuona Lissu akishinda hiyo nafasi.
Wakati kina Lissu wakiwa wapambanaji nyie watanganyika mna mchango gani? Abduli na mchengerwa wamechezea uchaguzi wa serikali za mitaa mkiangalia sana mkiwa busy na ngono...ulevi na mipira!! Watu wanaumia nyie mmekalia zinaa na domo ptuuuh!
 
Tundu Lissu ndie mpinzani wa kweli asiyedoa ktk siasa zetu. Ni jasiri, mpambanaji, ana akili, ni mkweli, ni muwazi na ana damu ya kupendwa.

Kila mpinzani anatamani kumuona Lissu akishinda hiyo nafasi.
Lissu hafai kuwa kiongozi mwenye maamuzi ya mwisho katika jambo lolite. Ametawaliwa na jazba, dharau na kisasi. Ni mtu anayedhani ana akili kuliko watu wengi, ni dikteta wa kiwango cha Magufuli
 
Huu ndio ukweli mchungu na pia mtakosa uhalali wa kumpinga. Samia au Mtawala mwingine yoyotw ataeamua kubadili katiba ili ajiongezee muda wa kubaki madarakani.

Mtapoteza uhalali wa kuhoji katiba hii mbovu tuliyonayo na hata madai ys tume huru nayo yatakuwa yamekufa kifo cha mende kwasababu ni lazima muwe mfano tena kwa vitendo wa kile ambacho kwa miaka mingi mmkekuwa mkikihubiri majukwaani.

Na pia iwapo uchaguzi ukifanywa kwa mizengwe, mtapoteza na uhalali wa kuhoji matokeo ya uchaguzi wowote zikiwemo chaguzi zilizopita na hata chaguzi zijazo ukiwemo uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Mashara yatakuwa ni mengi, mfano, mkiitisha maandamano, hata wale watu wachache waliokuwa wanajitokeza, hamtwaona tena na mengine mengi ikiwemo heshima ya viongozi wa chama kushuka katika jamiii na hata mbele ya watu wa mataifa mengine.

Busara ni Mbowe apumzike au uchaguzi ufanyike kwa haki na Lissu akuballi matokeo na aendelee kukitumikia chama. Tofauti na hapo, CHADEMA mtapoteza ushawishi kwa kiwango kikubwa mno na chama kitafifia kama CUF ya Lipumba.

Soma Pia:
Jambo lingine litalowamaliza ni endapo mtaendesha kampeni za chuki badala ya kampeni za hoja hasa zitazoonyesha wagombea wana mikakati gani ya kuleta mabadiliko yatayosaidia kuiondoa CCM madarakani na za kujisahihisha kwa mliokosea siki za nyuma.

Mheshimiwa Mbowe, usipkuwa makini, kazi ulioifanya kwa miaka 20 na heshima uliyojijengea kwa moaka 20, vyote utaviharibu kwa uchaguzi wa siku moja tu.

Nimemaliza, msiponielewa, ulimwengu utawafundisha na wakati huo mtakuwa teyari mmechelewa.
ni wewe huyu?RBC???
 
Huu ndio ukweli mchungu na pia mtakosa uhalali wa kumpinga. Samia au Mtawala mwingine yoyotw ataeamua kubadili katiba ili ajiongezee muda wa kubaki madarakani.

Mtapoteza uhalali wa kuhoji katiba hii mbovu tuliyonayo na hata madai ys tume huru nayo yatakuwa yamekufa kifo cha mende kwasababu ni lazima muwe mfano tena kwa vitendo wa kile ambacho kwa miaka mingi mmkekuwa mkikihubiri majukwaani.

Na pia iwapo uchaguzi ukifanywa kwa mizengwe, mtapoteza na uhalali wa kuhoji matokeo ya uchaguzi wowote zikiwemo chaguzi zilizopita na hata chaguzi zijazo ukiwemo uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Mashara yatakuwa ni mengi, mfano, mkiitisha maandamano, hata wale watu wachache waliokuwa wanajitokeza, hamtwaona tena na mengine mengi ikiwemo heshima ya viongozi wa chama kushuka katika jamiii na hata mbele ya watu wa mataifa mengine.

Busara ni Mbowe apumzike au uchaguzi ufanyike kwa haki na Lissu akuballi matokeo na aendelee kukitumikia chama. Tofauti na hapo, CHADEMA mtapoteza ushawishi kwa kiwango kikubwa mno na chama kitafifia kama CUF ya Lipumba.

Soma Pia:
Jambo lingine litalowamaliza ni endapo mtaendesha kampeni za chuki badala ya kampeni za hoja hasa zitazoonyesha wagombea wana mikakati gani ya kuleta mabadiliko yatayosaidia kuiondoa CCM madarakani na za kujisahihisha kwa mliokosea siki za nyuma.

Mheshimiwa Mbowe, usipkuwa makini, kazi ulioifanya kwa miaka 20 na heshima uliyojijengea kwa moaka 20, vyote utaviharibu kwa uchaguzi wa siku moja tu.

Nimemaliza, msiponielewa, ulimwengu utawafundisha na wakati huo mtakuwa teyari mmechelewa.
Uongo.
 
Huu ndio ukweli mchungu na pia mtakosa uhalali wa kumpinga. Samia au Mtawala mwingine yoyotw ataeamua kubadili katiba ili ajiongezee muda wa kubaki madarakani.

Mtapoteza uhalali wa kuhoji katiba hii mbovu tuliyonayo na hata madai ys tume huru nayo yatakuwa yamekufa kifo cha mende kwasababu ni lazima muwe mfano tena kwa vitendo wa kile ambacho kwa miaka mingi mmkekuwa mkikihubiri majukwaani.

Na pia iwapo uchaguzi ukifanywa kwa mizengwe, mtapoteza na uhalali wa kuhoji matokeo ya uchaguzi wowote zikiwemo chaguzi zilizopita na hata chaguzi zijazo ukiwemo uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Mashara yatakuwa ni mengi, mfano, mkiitisha maandamano, hata wale watu wachache waliokuwa wanajitokeza, hamtwaona tena na mengine mengi ikiwemo heshima ya viongozi wa chama kushuka katika jamiii na hata mbele ya watu wa mataifa mengine.

Busara ni Mbowe apumzike au uchaguzi ufanyike kwa haki na Lissu akuballi matokeo na aendelee kukitumikia chama. Tofauti na hapo, CHADEMA mtapoteza ushawishi kwa kiwango kikubwa mno na chama kitafifia kama CUF ya Lipumba.

Soma Pia:
Jambo lingine litalowamaliza ni endapo mtaendesha kampeni za chuki badala ya kampeni za hoja hasa zitazoonyesha wagombea wana mikakati gani ya kuleta mabadiliko yatayosaidia kuiondoa CCM madarakani na za kujisahihisha kwa mliokosea siki za nyuma.

Mheshimiwa Mbowe, usipkuwa makini, kazi ulioifanya kwa miaka 20 na heshima uliyojijengea kwa moaka 20, vyote utaviharibu kwa uchaguzi wa siku moja tu.

Nimemaliza, msiponielewa, ulimwengu utawafundisha na wakati huo mtakuwa teyari mmechelewa.

Overall Chadema inaumwa na hinahitaji tiba. Hawa jamaa bado tuna tumaini nao. Wakijua tu kuoponya ugonjwa wako nao basiii
 
Uko sahihi mleta mada. Sijui kwann chadema wanamng'ang'ania Mbowe awe mwenyekiti? Kwani hayo anayoyafanya Sasa hawezi kuyafanya akiwa mwanachama wa kawaida?

Maana hoja yao kubwa ni kwamba Mbowe ana misuli minene ya kukiendesha chama. Sasa kwani akiwa siyo mwenyekiti fedha itapotea?
 
Ww ndo una akili ndogo na hujitambui, mara ya kwanza umemkataa lissu afu tena unasema yeyote atakayechaguliwa. Kwahy lissu sio mtu ni mbuzi au.

Fala mmoja ww
Mimi kumkataa lissu hakumaanishi box la kura litamkataa!! Mna akili ndogo sana nyie kima!
 
Watu kama kina Yerriko na wengineo wananishangaza sana kwa kupiga vijembe kwa hoja ambazo hatukuzitarajia kabisa. Waige mfano wa Godbless Lema anaejepusha kutoa hoja zinaxoweza kukigawa chama na wanachama na wafuasi wa CHADEMA kwa ujumla.
Sikuwahi kujua kuwa Yeriko ni mpuuzi kiasi hiki.
 
Huu ndio ukweli mchungu na pia mtakosa uhalali wa kumpinga. Samia au Mtawala mwingine yoyotw ataeamua kubadili katiba ili ajiongezee muda wa kubaki madarakani.

Mtapoteza uhalali wa kuhoji katiba hii mbovu tuliyonayo na hata madai ys tume huru nayo yatakuwa yamekufa kifo cha mende kwasababu ni lazima muwe mfano tena kwa vitendo wa kile ambacho kwa miaka mingi mmkekuwa mkikihubiri majukwaani.

Na pia iwapo uchaguzi ukifanywa kwa mizengwe, mtapoteza na uhalali wa kuhoji matokeo ya uchaguzi wowote zikiwemo chaguzi zilizopita na hata chaguzi zijazo ukiwemo uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Mashara yatakuwa ni mengi, mfano, mkiitisha maandamano, hata wale watu wachache waliokuwa wanajitokeza, hamtwaona tena na mengine mengi ikiwemo heshima ya viongozi wa chama kushuka katika jamiii na hata mbele ya watu wa mataifa mengine.

Busara ni Mbowe apumzike au uchaguzi ufanyike kwa haki na Lissu akuballi matokeo na aendelee kukitumikia chama. Tofauti na hapo, CHADEMA mtapoteza ushawishi kwa kiwango kikubwa mno na chama kitafifia kama CUF ya Lipumba.

Soma Pia:
Jambo lingine litalowamaliza ni endapo mtaendesha kampeni za chuki badala ya kampeni za hoja hasa zitazoonyesha wagombea wana mikakati gani ya kuleta mabadiliko yatayosaidia kuiondoa CCM madarakani na za kujisahihisha kwa mliokosea siki za nyuma.

Mheshimiwa Mbowe, usipkuwa makini, kazi ulioifanya kwa miaka 20 na heshima uliyojijengea kwa moaka 20, vyote utaviharibu kwa uchaguzi wa siku moja tu.

Mheshimiwa Mbowe, ubaki kama mlezi wa CHADEMA na kama ni lazima hicho cheo kitambulike katika katiba ya chama, basi hii iwe ni agenda ya Lissu kwenye uchaguzi(kuingiza hiko kipengele kwenye katiba), agenda ambayo naamini pia italeta umoja zaidi katika chama. kipindi hiki chaguzi.

Nimemaliza, msiponielewa, ulimwengu utawafundisha na wakati huo mtakuwa teyari mmechelewa.
Ufanyike wa haki na uwazi lakini Mbowe asiruhusiwe kushiriki! Seriously ?

Amandla...
 
Bc sema kuwa humtaki na sio kusema hafai, fala ww
Lissu hafai kuwa mwenyekiti huo ndo ukweli mchungu na huwezi nipangia we kima. Kama unamtaka Lissu kampigie kura acha kupoteza muda hapa!
 
Back
Top Bottom