Ukweli mchungu: Mbowe akirudi madarakani, CHADEMA na viongozi wake watapoteza heshima na ushawishi

Ukweli mchungu: Mbowe akirudi madarakani, CHADEMA na viongozi wake watapoteza heshima na ushawishi

Huu ndio ukweli mchungu na pia mtakosa uhalali wa kumpinga. Samia au Mtawala mwingine yoyotw ataeamua kubadili katiba ili ajiongezee muda wa kubaki madarakani.

Mtapoteza uhalali wa kuhoji katiba hii mbovu tuliyonayo na hata madai ys tume huru nayo yatakuwa yamekufa kifo cha mende kwasababu ni lazima muwe mfano tena kwa vitendo wa kile ambacho kwa miaka mingi mmkekuwa mkikihubiri majukwaani.

Na pia iwapo uchaguzi ukifanywa kwa mizengwe, mtapoteza na uhalali wa kuhoji matokeo ya uchaguzi wowote zikiwemo chaguzi zilizopita na hata chaguzi zijazo ukiwemo uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Madhara yatakuwa ni mengi, mfano, mkiitisha maandamano, hata wale watu wachache waliokuwa wanajitokeza, hamtwaona tena na mengine mengi ikiwemo heshima ya viongozi wa chama kushuka katika jamiii na hata mbele ya watu wa mataifa mengine.

Busara ni Mbowe apumzike au uchaguzi ufanyike kwa haki na Lissu akuballi matokeo na aendelee kukitumikia chama. Tofauti na hapo, CHADEMA mtapoteza ushawishi kwa kiwango kikubwa mno na chama kitafifia kama CUF ya Lipumba.

Soma Pia:
Jambo lingine litalowamaliza ni endapo mtaendesha kampeni za chuki badala ya kampeni za hoja hasa zitazoonyesha wagombea wana mikakati gani ya kuleta mabadiliko yatayosaidia kuiondoa CCM madarakani na za kujisahihisha kwa mliokosea siki za nyuma.

Mheshimiwa Mbowe, usipkuwa makini, kazi ulioifanya kwa miaka 20 na heshima uliyojijengea kwa moaka 20, vyote utaviharibu kwa uchaguzi wa siku moja tu.

Mheshimiwa Mbowe, ubaki kama mlezi wa CHADEMA na kama ni lazima hicho cheo kitambulike katika katiba ya chama, basi hii iwe ni agenda ya Lissu kwenye uchaguzi(kuingiza hiko kipengele kwenye katiba), agenda ambayo naamini pia italeta umoja zaidi katika chama. kipindi hiki chaguzi.

Nimemaliza, msiponielewa, ulimwengu utawafundisha na wakati huo mtakuwa teyari mmechelewa.
Anatumia haki yake ya kidemokrasia, muache ashindwe kwenye sanduku la kura
 
mbowe nakuomba usije kimbia mdaharo natamani uwepo na uendeshwe na tido muhando

Hili ni pambano la uzito wa juu nchini( inanikumbusha foreman na Mohamed Ali hapo kongo).....trump wa marekani na washirika wake ,pia brics lazima waombe MUDA uwe mzuri nao watazama mubashara
Mbowe yuko sawa na wanaccm wengi, huwa hataki kabisa midahalo maana anajua atakutana na maswali yasiyo na majibu. Huwa anapenda kuhutubia tu.
 
Huu ndio ukweli mchungu na pia mtakosa uhalali wa kumpinga. Samia au Mtawala mwingine yoyotw ataeamua kubadili katiba ili ajiongezee muda wa kubaki madarakani.

Mtapoteza uhalali wa kuhoji katiba hii mbovu tuliyonayo na hata madai ys tume huru nayo yatakuwa yamekufa kifo cha mende kwasababu ni lazima muwe mfano tena kwa vitendo wa kile ambacho kwa miaka mingi mmkekuwa mkikihubiri majukwaani.

Na pia iwapo uchaguzi ukifanywa kwa mizengwe, mtapoteza na uhalali wa kuhoji matokeo ya uchaguzi wowote zikiwemo chaguzi zilizopita na hata chaguzi zijazo ukiwemo uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Madhara yatakuwa ni mengi, mfano, mkiitisha maandamano, hata wale watu wachache waliokuwa wanajitokeza, hamtwaona tena na mengine mengi ikiwemo heshima ya viongozi wa chama kushuka katika jamiii na hata mbele ya watu wa mataifa mengine.

Busara ni Mbowe apumzike au uchaguzi ufanyike kwa haki na Lissu akuballi matokeo na aendelee kukitumikia chama. Tofauti na hapo, CHADEMA mtapoteza ushawishi kwa kiwango kikubwa mno na chama kitafifia kama CUF ya Lipumba.

Soma Pia:
Jambo lingine litalowamaliza ni endapo mtaendesha kampeni za chuki badala ya kampeni za hoja hasa zitazoonyesha wagombea wana mikakati gani ya kuleta mabadiliko yatayosaidia kuiondoa CCM madarakani na za kujisahihisha kwa mliokosea siki za nyuma.

Mheshimiwa Mbowe, usipkuwa makini, kazi ulioifanya kwa miaka 20 na heshima uliyojijengea kwa moaka 20, vyote utaviharibu kwa uchaguzi wa siku moja tu.

Mheshimiwa Mbowe, ubaki kama mlezi wa CHADEMA na kama ni lazima hicho cheo kitambulike katika katiba ya chama, basi hii iwe ni agenda ya Lissu kwenye uchaguzi(kuingiza hiko kipengele kwenye katiba), agenda ambayo naamini pia italeta umoja zaidi katika chama. kipindi hiki chaguzi.

Nimemaliza, msiponielewa, ulimwengu utawafundisha na wakati huo mtakuwa teyari mmechelewa.
Umesema kweli, bi vyema Mbowe akasoma alama za nyakati na kuachia hiyo nafasi, lakini kama anaitaka hiyo nafasi agombee, ila uchaguzi uwe wa haki.
 
Huu ndio ukweli mchungu na pia mtakosa uhalali wa kumpinga. Samia au Mtawala mwingine yoyotw ataeamua kubadili katiba ili ajiongezee muda wa kubaki madarakani.

Mtapoteza uhalali wa kuhoji katiba hii mbovu tuliyonayo na hata madai ys tume huru nayo yatakuwa yamekufa kifo cha mende kwasababu ni lazima muwe mfano tena kwa vitendo wa kile ambacho kwa miaka mingi mmkekuwa mkikihubiri majukwaani.

Na pia iwapo uchaguzi ukifanywa kwa mizengwe, mtapoteza na uhalali wa kuhoji matokeo ya uchaguzi wowote zikiwemo chaguzi zilizopita na hata chaguzi zijazo ukiwemo uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Madhara yatakuwa ni mengi, mfano, mkiitisha maandamano, hata wale watu wachache waliokuwa wanajitokeza, hamtwaona tena na mengine mengi ikiwemo heshima ya viongozi wa chama kushuka katika jamiii na hata mbele ya watu wa mataifa mengine.

Busara ni Mbowe apumzike au uchaguzi ufanyike kwa haki na Lissu akuballi matokeo na aendelee kukitumikia chama. Tofauti na hapo, CHADEMA mtapoteza ushawishi kwa kiwango kikubwa mno na chama kitafifia kama CUF ya Lipumba.

Soma Pia:
Jambo lingine litalowamaliza ni endapo mtaendesha kampeni za chuki badala ya kampeni za hoja hasa zitazoonyesha wagombea wana mikakati gani ya kuleta mabadiliko yatayosaidia kuiondoa CCM madarakani na za kujisahihisha kwa mliokosea siki za nyuma.

Mheshimiwa Mbowe, usipkuwa makini, kazi ulioifanya kwa miaka 20 na heshima uliyojijengea kwa moaka 20, vyote utaviharibu kwa uchaguzi wa siku moja tu.

Mheshimiwa Mbowe, ubaki kama mlezi wa CHADEMA na kama ni lazima hicho cheo kitambulike katika katiba ya chama, basi hii iwe ni agenda ya Lissu kwenye uchaguzi(kuingiza hiko kipengele kwenye katiba), agenda ambayo naamini pia italeta umoja zaidi katika chama. kipindi hiki chaguzi.

Nimemaliza, msiponielewa, ulimwengu utawafundisha na wakati huo mtakuwa teyari mmechelewa.
Huu uchaguzi mbona umepewa trend sana???
What is the motive behind????
 
Huu ndio ukweli mchungu na pia mtakosa uhalali wa kumpinga. Samia au Mtawala mwingine yoyotw ataeamua kubadili katiba ili ajiongezee muda wa kubaki madarakani.

Mtapoteza uhalali wa kuhoji katiba hii mbovu tuliyonayo na hata madai ys tume huru nayo yatakuwa yamekufa kifo cha mende kwasababu ni lazima muwe mfano tena kwa vitendo wa kile ambacho kwa miaka mingi mmkekuwa mkikihubiri majukwaani.

Na pia iwapo uchaguzi ukifanywa kwa mizengwe, mtapoteza na uhalali wa kuhoji matokeo ya uchaguzi wowote zikiwemo chaguzi zilizopita na hata chaguzi zijazo ukiwemo uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Madhara yatakuwa ni mengi, mfano, mkiitisha maandamano, hata wale watu wachache waliokuwa wanajitokeza, hamtwaona tena na mengine mengi ikiwemo heshima ya viongozi wa chama kushuka katika jamiii na hata mbele ya watu wa mataifa mengine.

Busara ni Mbowe apumzike au uchaguzi ufanyike kwa haki na Lissu akuballi matokeo na aendelee kukitumikia chama. Tofauti na hapo, CHADEMA mtapoteza ushawishi kwa kiwango kikubwa mno na chama kitafifia kama CUF ya Lipumba.

Soma Pia:
Jambo lingine litalowamaliza ni endapo mtaendesha kampeni za chuki badala ya kampeni za hoja hasa zitazoonyesha wagombea wana mikakati gani ya kuleta mabadiliko yatayosaidia kuiondoa CCM madarakani na za kujisahihisha kwa mliokosea siki za nyuma.

Mheshimiwa Mbowe, usipkuwa makini, kazi ulioifanya kwa miaka 20 na heshima uliyojijengea kwa moaka 20, vyote utaviharibu kwa uchaguzi wa siku moja tu.

Mheshimiwa Mbowe, ubaki kama mlezi wa CHADEMA na kama ni lazima hicho cheo kitambulike katika katiba ya chama, basi hii iwe ni agenda ya Lissu kwenye uchaguzi(kuingiza hiko kipengele kwenye katiba), agenda ambayo naamini pia italeta umoja zaidi katika chama. kipindi hiki chaguzi.

Nimemaliza, msiponielewa, ulimwengu utawafundisha na wakati huo mtakuwa teyari mmechelewa.
Msiwapangie chadema nini cha kufanya
 
Pamoja na Mbowe kuonekana mda wake sasa umepita, Lissu hafai kuwa top notch, hafai hata kidogo. Radicalist as his nature, mkurupukaji as he is, vocalist....

Atafutwe mwingine ila sio Lissu.
 
Lissu hafai kuwa kiongozi mwenye maamuzi ya mwisho katika jambo lolite. Ametawaliwa na jazba, dharau na kisasi. Ni mtu anayedhani ana akili kuliko watu wengi, ni dikteta wa kiwango cha Magufuli
Lissu for 2025.
 
Pamoja na Mbowe kuonekana mda wake sasa umepita, Lissu hafai kuwa top notch, hafai hata kidogo. Radicalist as his nature, mkurupukaji as he is, vocalist....

Atafutwe mwingine ila sio Lissu.
Nenda wewe.
 
Bado anayo nafasi kupewa heshima, iwapo atafanya maamuzi ya KUSTAAFU sasa.

its too late mkuu, kwa kashfa anazoshambuliwa nazo na washabiki wa lissu mitandano naamini hawezi kurudi nyuma tena. Kosa kubwa la wafuasi wa lissu na yeye mwenyewe ni siasa za matusi kwa Mbowe.
 
Lissu hafai kuwa kiongozi mwenye maamuzi ya mwisho katika jambo lolite. Ametawaliwa na jazba, dharau na kisasi. Ni mtu anayedhani ana akili kuliko watu wengi, ni dikteta wa kiwango cha Magufuli
Madikteta huwa SIfa yao kuu nikutoamini hakuna mbadala wakushika nyadhifa zao, kama alivyo Mbowe.
 
Lissu ana deko.... atatishowa nyau kidogo atakimbilia ubelgiji awaache wenzie kwenye mataa!! Nimeona ashaanza huko mtandaoni X!!

Tukiacha ushabiki Lissu hafai kuwa top notch huko CDM!!
Kama walimpa umakamu wa chadema uenyekiti ndo nn😂😂
 
Uko sahihi mleta mada. Sijui kwann chadema wanamng'ang'ania Mbowe awe mwenyekiti? Kwani hayo anayoyafanya Sasa hawezi kuyafanya akiwa mwanachama wa kawaida?

Maana hoja yao kubwa ni kwamba Mbowe ana misuli minene ya kukiendesha chama. Sasa kwani akiwa siyo mwenyekiti fedha itapotea?
Mie nawaza Kwa nn mbowe wasimpe bodi ya wadhani akatafuta mpunga wakati wa uchaguzi
 
Lissu ana deko.... atatishowa nyau kidogo atakimbilia ubelgiji awaache wenzie kwenye mataa!! Nimeona ashaanza huko mtandaoni X!!

Tukiacha ushabiki Lissu hafai kuwa top notch huko CDM!!
unadhani nani anafaa?
 
Back
Top Bottom