Ukweli mchungu: Mbowe akirudi madarakani, CHADEMA na viongozi wake watapoteza heshima na ushawishi

Ukweli mchungu: Mbowe akirudi madarakani, CHADEMA na viongozi wake watapoteza heshima na ushawishi

Mimi mwenyewe nimemdharau sana. Lema hajachagua upande na yuko makini kwenye hoja zake tofauti na Yerriko na Kigaila.
Ni haki yao kuchagua upande na kusema ukweli wao. Kama ambavyo Adolph na yule mama wa Bawacha Mbeya walivyoweka wazi msimamo wao. Hauwezi kutaka kuwa na uchaguzi huru lakini hapo hapo hautaki wengine watoe mawazo yao. Wanaopinga msimamo wa Yeriko Nyerere wana haki kabisa ya kuonyesha amekosea wapi lakini sio kutaka kumnyamazisha kwa kebehi n.k.

Amandla...
 
Lissu hafai kuwa mwenyekiti huo ndo ukweli mchungu na huwezi nipangia we kima. Kama unamtaka Lissu kampigie kura acha kupoteza muda hapa!
Upigaji wa kura kwenye ishu yoyote ile nawaachie nyie muamue
 
ⓨⓐⓐⓝ ⓒⓗⓐⓓⓔⓜⓐ ⓚⓘⓤⓕⓤⓟⓘ ⓥⓘⓞⓝⓖⓞⓩ ⓦⓐⓛⓘⓞⓝⓐⓞ ⓦⓐⓝⓐⓞⓝⓔⓢⓗⓐ ⓤⓒⓗⓤ ⓦⓐ ⓜⓐⓓⓐⓡⓐⓚⓐ
ⓚⓦⓐⓘⓨ ⓦⓐⓝⓐⓣⓤⓟⓐ ⓘⓢⓗⓐⓡⓐ ⓢⓘⓢⓘ ⓦⓐⓟⓘⓖⓐ ⓚⓤⓡⓐ ⓨⓐ ⓚⓦⓐⓜⓑⓐ ⓝⓐ ⓦⓐⓞ ⓗⓐⓦⓐⓕⓐⓘ ⓚⓤⓘⓝⓖⓘⓐ ⓘⓚⓤⓛⓤ ⓜⓐⓐⓝⓐ ⓨⓔⓨⓞⓣⓔ ⓐⓣⓐⓚⓐⓨⓔ ⓑⓐⓗⓐⓣⓘⓢⓗⓐ ⓚⓤⓘⓝⓖⓘⓐ ⓘⓚⓤⓛⓤ ⓐⓣⓐⓐⓝⓩⓐ ⓨⓐⓛⓔⓨⓐⓛⓔ ⓨⓐ ⓚⓤⓣⓐⓚⓐ ⓚⓤⓦⓐ ⓚⓦⓔⓝⓨ ⓚⓘⓣⓘ ⓜⓐⓘⓢⓗⓐ ⓨⓐⓚⓔ ⓨⓞⓣⓔ
ⓢⓞ ⓦⓐⓚⓘⓣⓐⓚⓐ ⓜⓐⓑⓐⓓⓘⓛⓘⓚⓞ ⓚⓦⓔⓝⓨⓔ ⓝⓒⓗⓘ ⓦⓐⓐⓝⓩⓔ ⓚⓦⓐⓝⓩⓐ ⓚⓤⓑⓐⓓⓘⓛⓘⓚⓐ ⓦⓐⓞ ✌
Unatuumiza macho
 
Hahaha sasa hivi tu hamuwaheshimu, sasa mnatudanganya kwamba wakitoka madarakani ndio watakuwa na heshima?

Mbowe mnamsema hana ushawishi, mara kawa dhaifu, lakini huyu dhaifu hamtaki agombee na mgombea mwenye ushawishi nchini, yani Lisu.

MBowe agombee ili tuonyeshe ukomavu wa chadema kwenye demokrasia.

Acheni janja janja kutaka mgombea apite bila kupingwa.
 
Duh kwel Kiswahili kigumu 🙌
Yeah. Unaweza kumuona mgombea fulani anafaa na mwingine hafai. Ukatoa maoni yako hadharani. Lakini ukiulizwa ni yupi hasa atakayefaa kuongoza, unajibu kama mdau alivyojibu: anayefaa ni yule atakayepata kura nyingi za wapiga kura.

Hiyo ndiyo demokrasia. Hatimaye (when the chips are down), jibu si kile wewe mtu binafsi unachotaka au kupenda, bali wengi wape. Usipoielewa demokrasia hutaweza kuelewa hilo jibu sahihi.
 
Kwa viongozi "kupoteza heshima na ushawishi" ni jambo dogo sana ukilinganisha na chama (CHADEMA) kupoteza hadhi yake kama chama cha siasa kilicho pewa matumaini makubwa na wananchi kuwa na uwezo wa kushika madaraka.

Mbowe kuendelea kuwa Mwenyekiti wa chama hicho baada ya mnyukano wa uchaguzi, chama hicho hakitakuwa na lolote jipya la kuwashawishi watu kuwa ni tofauti na CCM.
Labda usalama wake utakuwa katika kuji banza kwa CCM yenyewe kama kitakaribishwa na Samia ili kupunguza misuguano inayo msubiri ndani ya chama chake.

Watakuwa ni sehemu ya serikali endapo Samia ataweza kubakia kwenye madaraka, lakini baada ya hapo, CHADEMA haitakuwa tofauti na hawa wengine, akina CUF, n.k..
 
Yeah. Unaweza kumuona mgombea fulani anafaa na mwingine hafai. Ukatoa maoni yako hadharani. Lakini ukiulizwa ni yupi hasa atakayefaa kuongoza, unajibu kama mdau alivyojibu: anayefaa ni yule atakayepata kura nyingi za wapiga kura.

Hiyo ndiyo demokrasia. Hatimaye (when the chips are down), jibu si kile wewe mtu binafsi unachotaka au kupenda, bali wengi wape. Usipoielewa demokrasia hutaweza kuelewa hilo jibu sahihi.
Jamaa amesema kuwa lissu hafai, Elewa maana ya neno hafai. Tofautisha mtu hafai na simkubali.
Sasa kama hafai kwann yupo kwenye orodha ya wagombea?
 
Tukiacha ushabiki Lissu hafai kuwa top notch huko CDM!!
Hili lime nishangaza kidogo toka kwako.
Unasema "tukiacha ushabiki"; sasa tutajuaje kuwa wewe mwenyewe huendeshwi na ushabiki unapo sema "Lissu hafai..."? Hukuweka hayo maelezo uliyo nayo ambayo unafikiri siyo ya kishabiki ili tujue kuwa hukuweka ushabiki ndani yake.
 
Huu ndio ukweli mchungu na pia mtakosa uhalali wa kumpinga. Samia au Mtawala mwingine yoyotw ataeamua kubadili katiba ili ajiongezee muda wa kubaki madarakani.
And vice versa. Tena itakuwa mbaya zaidi Tundu Lissu akawa mwenyekiti. Hana ubavu wa kupambana na serikali. Ni mwoga kupindukia. Mkiitisha maandamano akasikia muungurumo wa risasi huwa anapoteza fahamu na kuzinduka akiwa Ubelgiji au Marekani kwa mke na watoto wake. Yeye mguu mmoja uko Tanzania ule mwingine uko Marekani inakokaa familia yake. Afadhali hata ya Mnyika ambaye huwa anasepea kanisani. Mbowe ni jasiri, hakuna anachokiogopa.
 
astaafu kwa heshima ipi wakati tayari mumeshamvua nguo? kila kukicha munamvurumishia matusi tu
Bado anayo nafasi kupewa heshima, iwapo atafanya maamuzi ya KUSTAAFU sasa.
 
Back
Top Bottom