UKWELI MCHUNGU: Wakatoliki wenzangu Papa Francis ni mjumbe wa shetani ndani ya kanisa

UKWELI MCHUNGU: Wakatoliki wenzangu Papa Francis ni mjumbe wa shetani ndani ya kanisa

Swali kwa Wakatoriki.

Mama wa Yesu ambaye aliolewa na Yusufu jina lake ni Mariam.

Mathayo (Mat) 1:16
Yakobo akamzaa Yusufu mumewe Mariamu aliyemzaa YESU aitwaye Kristo.

Luka (Luk) 1:30
Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu.

Katika kila Ibada ya Wakatoriki iwe ya mtu mmoja au wawili au watatu au Jumuiya au Kanisani ni lazima katika sala atajwe mwanamke anayeitwa Maria.
Tena inaenda mbali mpaka anaimbiwa nyimbo za kumtukuza atasikia.

" Salamu Maria eeh mamaa, salamu Maria eeeeeh"

Inaenda mbali hadi katika kila kanisa ni lazima iwekwe sanamu zaidi ya moja ya huyo mwanamke aitwae Maria.

Inaenda mbali mpaka sanamu hiyo inasujudiwa na waumini na kuwekwa mbele ya mimbari huku waumini wakisali kwa kuitizama na kuomba kusamehewa dhambi.

Nimeisoma Injiri Yesu kuanzia Mathayo hadi Ufunuo wa Yohana sijawahi kuliona jina la Maria, katika Biblia zote.

Nimesoma Qurani hakuna Aya inamtaja mwanamke aitwaye Maria Bali inamtaja Mariam tena imempa sura nzima ingawa inamtaja kwa makosa makosa ila inamaanisha Mariam Mama wa Yesu.
فَأَتَتْ بِهِ قَوْمَهَا تَحْمِلُهُ ۖ قَالُوا يَا مَرْيَمُ لَقَدْ جِئْتِ شَيْئًا فَرِيًّا

(MARYAM - 27)
Akenda naye (mwanawe) kwa jamaa zake amembeba. Wakasema: Ewe Maryamu! Hakika umeleta kitu cha ajabu!

Swali naliwauliza Wakatoriki.

Huyo Maria ni nani ?

Wakatoriki Naomba Jibu Tafadharini
Nafkiri ni utofauti wa lugha tuu. Mwingine atamuita Mariam, Maryam, maria, mary
 
Wakati huo mtifuano ukiendelea mwenyezi Mungu anaona , anasikia na anafahamu, sifa zote njema ziwe juu yake.
 
Ungejua tu Mchakato unaotumika kumpata PAPA ungeshangaaa.

Hilo Jina tu mpka lipenye uitwe PAPA kiruuuuu... We kausha tu mwanangu hayo unayoandika gongea tu mihuri.
Ni kura tu. Acha kutukuza saana jambo linalofanywa na binadamu. Huoni huko juu wanachaguliwa na wengine mpka wanatoa rushwa.
 
Nimeona uvivu kusoma maana andiko lenyewe linaanza Kwa majungu....Papa si ndio mungu wenu nyie?
 
No no no.
Mariamu na Maria ni majina mawili tofauti kabisa.

Hakuna Aya katika Injiri ya Kiswahili inavyo taja jina la Maria.

Qurani inamtaja Kama Maryamu kwakuwa Ina lafudhi ya Kiarabu labda. na inasound kama Mariamu na sio Maria.

Biblia hasa Injiri haina jina la Maria kabisa.
Kama lipo niwekee hiyo Aya.

Dada wa Musa aliitwa Miriamu je na yeye ni Maria pia?

Who is Maria ?

Mathayo (Mat) 1:18
Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi. [emoji117]Mariamu mama yake alipokuwa ameposwa na Yusufu, kabla hawajakaribiana, alionekana ana mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Nimeelewa hoja yako. Hii naifananisha na ile hoja ya terehe 25 kuadhimisha kuzaliwa kwa Yesu. Wasabato, orthodox Roman Catholic huadhimisha tofauti. Lakini haiondoi kuzaliwa kwa Yesu. So hapo inshu ni kuwepo kwa mwanamke aliyemzaa Yesu ndiyo hoja ya msingi.
 
Hilo ndilo Jambo muhimu na thabiti hatuishi kwa ajili ya papa Bali kwa KRISTU mfufuka aliye hai
Kwani Dini yenu inasemaje?? Kiongozi wenu ni nani? Na Mafundisho yenu mnayapatia kupitia kwa nani? Kama sio huyo PAPA Mtumishi wa shetani kwenye kivuli cha UDINI???
 
Yawezekana papa Fransisi ni shoga au ana maslahi na ushoga
Tatizo watu wanapenda kushikiwa akili, ukiwa na akili timamu plus maarifa, hekima, busara pamoja na utulivu wa hali ya juu huwezi kuwa na dini! Ila utaamini kuwa ipo nguvu kuu iliyomzidi binaadamu ambayo haina dini!! Kosa la huyu ndugu ni kupinga ushoga! Yaani kutetea maadili ya kweli eti ni kosa!

Pope Francis fires Texan bishop after criticism of reforms​



6 days agoPope Francis has fired the Texan bishop Joseph Strickland, a fierce critic who has questioned the Pope's leadership of the Catholic church.

Bishop Strickland has launched a series of attacks on the Pope's attempts to update the Church's position on social matters and inclusion, including on abortion, transgender rights and same-sex marriage.


BBC - Homepage › world-us-canada


Source: BBC
 
Hii ni vita kati ya Illuminati na Jesuits na haikuanza leo.

BBC ni kama media tu inayotumika kupigana vita hii kueneza propaganda za Illuminati na kupotosha kauli za Papa.

Wajinga wengi mtaingizwa mkenge sana na BBC wakati kanisa lao church of England (Anglican) limehalalisha ndoa za jinsia moja hawana ugomvi nalo, sasa mgomvi wao ni Vatican ambayo IPO against na Illuminati.
Katoliki na illuminati lao moja. Kuanzia ibada mavazi vinafanana sana
 
Na kuna Miriam, ni jina moja.
Mimi hii hoja ya majina nayafananisha na majina ya Yesu, Yeshua, Jesus as longer as una mlifaa yeye Yesu Kristo kwa lugha yenu hakuna shida. Pia kuna ile inshu ya tarehe ya kuzaliwa kwa Yesu. Kinachotakiwa ktk ukristo ni kuamini kuwa Yesu alizaliwa, akafa na siku ya tatu akafufuka ktk wafu Yuko juu mbinguni kutuandalia makao na yeye peke yake ndiye mwenye uwezo wa kusamehe dhambi na kutupa ushindi dhidi ya dhambi. Hakuna tarehe, siku, wala miandamo ya mwezi inayotajwa kuhusika na wokovu.

Ndiyo maana huoni wakristo wakishughulika na siku ya krissass ya wasabato au orthodox. Labda efata ambao hawana krismass ndo tunawashangaa na sijui ni ukrsto gani wanao zile raia.
 
uwepo wa hizo, haimaainishi kwamba hakuna lugha halisi za Mungu ambazo mwamini yeyote inampasa kuwa nayo ili awasiliane na Mungu. kumbuka kuwa tunaweza kuongea/kuomba kwa akili, na tunaweza kuomba kwa Roho pia.
Paulo alionya kuhusu kuwapo wanaonena kwa roho bila kutafsiri.
Mtu akinena kwa roho na atafsiri au awepo mtafsiri.
Ukiangalia walokole wengi wanaonena kwa roho hawajui hata wanasema nini.
hata kwenye kundi la wanaonena kwa roho hukuti hata mmoja anaetafsiri.
Angalieni msije mkawa mnapagawa na pepo na kunena maneno ya kufuru kwa mwenyezi Mungu.
Shetani ni mjanja sana
 
Kwaiyo wewe ndo unajua leo mbona sisi wasabato tunajua kabisa kuwa papa ndo mpinga Kristo na ndo Mungu atakaetakiwa kuabudiwa na ulimwengu kwa lazima.
 
Hii Dini ni ya kishetani, waabudu masanamu ya yesu kristo wanamdhalilisha na misaraba yao uchwara. Dini imejaa uzinzi kwa waumini na viongozi wote wa kanisa kuanzia mapadri hadi masister.

Hii Dini ni watumishi wa shetani ( rejea kwenye movie ya THE NUN). Dini inahamasisha ushoga , kumuabudu Mungu mtu anayeitwa PAPA francis. Ibada zao hazina tofauti na ma illuminati.

Nashangaa bado zinaendelea Kuwa na waumini wanamatatizo GANI au ndio Madhara ya kukaririshwa mistari uchwara ya biblia
 
Umekaririshwa quran hakuna mtu anayekusumbua.
Kila mmoja akariri anachotaka
Sisi hatujaikariri Qur'an pekee, tunamini Katika vitabu vingine kuanzia TAURATI, ZABURI, NA INJILI.
b
Biblia ni mpango shetani Katika kuupotosha ulimwengu
 
Sisi hatujaikariri Qur'an pekee, tunamini Katika vitabu vingine kuanzia TAURATI, ZABURI, NA INJILI.
b
Biblia ni mpango shetani Katika kuupotosha ulimwengu
Sawa sio lazima tufanane.
 
Back
Top Bottom