Ukweli mchungu: Wanaume hupenda mwanamke malaya kuliko mtulivu. Ndiyo maana malaya wana bahati ya kuolewa mapema kuzidi wengine

Ukweli mchungu: Wanaume hupenda mwanamke malaya kuliko mtulivu. Ndiyo maana malaya wana bahati ya kuolewa mapema kuzidi wengine

Hata hivyo wanaume tunawaweka wanawake katika makundi mawili. Wapo wa kujirusha nao na wa kuoa na kuweka ndani kama mke? Hawa ni watu wawili tofauti. Hiyo ni sera ya wanaume wote wenye akili.

Hakuna mwanaume anayeoa mwanamke anayempa nyuma, nasema hakuna.

Hakuna mwanaume anayeweka kigezo cha manjonjo kitandani kudifine mke wa ndoa. HAKUNA.

Yes mapenzi yanahitaji ukichaa lakini sio ukichaa uliothihirishwa na jamii kwamba huyu ni mwehu. Ukichaa na uchafu uko chumbani na hakuna anayejua. Watu wengi wakijua huyu ni malaya wanaume hawaoi.

Mwanamke mwenye sifa za kuka naye bata haolewi hata siku moja. Ni asilimia ndogo wamaeolewa.



Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Umalaya ni kama sinki la choo! Linasemwa vibaya sana lakini kila mtu analo nyumbani kwake anafrash kimya kimya!!![emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Mimi naunga hoja mkono.. Sipingani nawe..[emoji817][emoji817][emoji736]

Sent using Jamii Forums mobile app

dmkali

huyu kachanganyikiwa kila siku anatetea malaya kuwa ni wa kuwekwa ndani
Hata vitabu vya Dini vimemtenga Malaya kwani atasababisha Mumewe kukaa akiwaza kumchunga na kupoteza muda wakazi nyingine
sikumbuki mstari ila ni Kitabu cha SIRA
UNALIJUA SINK LA CHOO NI WATU WOTE MTAANI WAKIOMBA KUTUMIA WANARUHUSIWA NA WANASHUSHA MZIGO WAO HALITATAKATA
 
Hata hivyo wanaume tunawaweka wanawake katika makundi mawili. Wapo wa kujirusha nao na wa kuoa na kuweka ndani kama mke? Hawa ni watu wawili tofauti. Hiyo ni sera ya wanaume wote wenye akili.

Hakuna mwanaume anayeoa mwanamke anayempa nyuma, nasema hakuna.

Hakuna mwanaume anayeweka kigezo cha manjonjo kitandani kudifine mke wa ndoa. HAKUNA.

Yes mapenzi yanahitaji ukichaa lakini sio ukichaa uliothihirishwa na jamii kwamba huyu ni mwehu. Ukichaa na uchafu uko chumbani na hakuna anayejua. Watu wengi wakijua huyu ni malaya wanaume hawaoi.

Mwanamke mwenye sifa za kuka naye bata haolewi hata siku moja. Ni asilimia ndogo wamaeolewa.



Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Wee jamaa bhana! Hujui watu wanaratiba kabisa kuna siku za mbele na za nyuma
 

dmkali

huyu kachanganyikiwa kila siku anatetea malaya kuwa ni wa kuwekwa ndani
Hata vitabu vya Dini vimemtenga Malaya kwani atasababisha Mumewe kukaa akiwaza kumchunga na kupoteza muda wakazi nyingine
sikumbuki mstari ila ni Kitabu cha SIRA
UNALIJUA SINK LA CHOO NI WATU WOTE MTAANI WAKIOMBA KUTUMIA WANARUHUSIWA NA WANASHUSHA MZIGO WAO HALITATAKATA
Unajua fact huwa haidanganyi!
Ebu sema kweli brother wewe unapenda MAPENZI ya kuzungushwa kama kitenesi?
 
Malaya tunawapenda kwa sababu ya urahisi wa kunyandua ila sio kuoa.
Kimtazamo unaweza kudhani ni kweli wanaume hatupendi Malaya!

Lakini kiuhalisia sivyo kabisa!

Leo nawasanua muelewe somo hili mjifunze!

Asilia (Nature) haitaweza kubadilika kamwe!

Mwanaume kaumbiwa matamanio mengi mwilini!
Mbaya zaidi matamanio hayo yanahitaji kutibiwa immediately pasipo kuchelewa!

Mfumo wa matamanio kwa mwanaume umekaa kama haja! Ukibanwa sharti ujisaidie hata porini almradi tu haja itoke!

Hivyo pori litakalokustili Leo ukajisaidia haja hata ukiambiwa lina miimba ww hujali sana, cha mhimu unawaza ukibanwa litakustili fasta!

Ndivyo ilivyo kwa mwanamke Malaya alivyo na thaman kubwa kwa mwanaume!

Mwanamke Malaya anatambuliwa na ubongo wa mwanaume kama LULU inayostarehesha!

Hivyo ni rahisi sana mwanamke Malaya kuolewa kuliko huyo anaebana bana kutoa penzi!

Mwanamke hata awe katoka guest kutafunwa mda huo, akipita kwa mwanaume rijali huonekana anafaida kwa matumizi ya baadae hivyo ni asset!.

Kama hauamini ebu tafakari!

Ebu tafakari ni Malaya wa ngapi wameolewa na tabia zao zinafahamika wazi!

Tena wengine hata ndoa 5 zote wanaolewa na matarumbeta, lakini mrembo aliyetulia tabia akizeekea nyumbani kwao!

Halafu kibaya zaidi wanawake wengi waliotulia, wakiamua kutoa kutoa mbususu hujikuta wanatiwa mimba chap na kutelekezwa kwasababu hawajui mbinu za kukwepesha Mimba, hawajui kula p2, hawawezi kutoa Mimba, hawawezi mchezea mwanaume amwage inje siku za hatari, hawawezi kutoa tigo siku za hatari! Hivyo mbinu pekee ya kuepuka hayo wao HUZINGUA KUFANYA MAPENZI (umalaya) KWA KUSUBIRI NDOA na kuhesabika ni wasumbufu, wasioelewa, wabishi na katili.

Kwahiyo Nathibitisha kwenu Leo, Wanaume hupenda zaidi Mwanamke Malaya kuliko watulivu!

Ewe mwanamke kama unataka ndoa chap, Jichetue, Toa Papa Mara tano halafu omba pesa Mara moja au mbili,
Ukifanya hivyo kwa wanaume watatu lazima mmoja atangaze ndoa fasta!

Lakini hii njia ya nipe Nikupe,yaani toa pesa kwanza ili nikupe penzi. Hakika ndoa kwenu mtaisikia!

UMALAYA WENYE MALENGO HAUCHELEWI KUJIBU!

Wanaume hupenda Malaya ingawa tunaonekana tunapinga!

Hata huko bungeni yule mbunge aliyesemekana kavaa nguo za utupu, Shingo za wanaume zilikatika kwa kumgeukia kwasababu Malaya anagusa mtima!

UMalaya ni kama sinki la choo! Linasemwa vibaya sana lakini kila mtu analo nyumbani kwake anafrash kimya kimya!!!
 
Labda kuna ka ukweli.
Ndio maana sikuhizi kuna ndoa nyingi zinakufa baada ya Mume kugundua kuchapiwa kwa Malaya wake aliyemuoa.
 
Kimtazamo unaweza kudhani ni kweli wanaume hatupendi Malaya!

Lakini kiuhalisia sivyo kabisa!

Leo nawasanua muelewe somo hili mjifunze!

Asilia (Nature) haitaweza kubadilika kamwe!

Mwanaume kaumbiwa matamanio mengi mwilini!
Mbaya zaidi matamanio hayo yanahitaji kutibiwa immediately pasipo kuchelewa!

Mfumo wa matamanio kwa mwanaume umekaa kama haja! Ukibanwa sharti ujisaidie hata porini almradi tu haja itoke!

Hivyo pori litakalokustili Leo ukajisaidia haja hata ukiambiwa lina miimba ww hujali sana, cha mhimu unawaza ukibanwa litakustili fasta!

Ndivyo ilivyo kwa mwanamke Malaya alivyo na thaman kubwa kwa mwanaume!

Mwanamke Malaya anatambuliwa na ubongo wa mwanaume kama LULU inayostarehesha!

Hivyo ni rahisi sana mwanamke Malaya kuolewa kuliko huyo anaebana bana kutoa penzi!

Mwanamke hata awe katoka guest kutafunwa mda huo, akipita kwa mwanaume rijali huonekana anafaida kwa matumizi ya baadae hivyo ni asset!.

Kama hauamini ebu tafakari!

Ebu tafakari ni Malaya wa ngapi wameolewa na tabia zao zinafahamika wazi!

Tena wengine hata ndoa 5 zote wanaolewa na matarumbeta, lakini mrembo aliyetulia tabia akizeekea nyumbani kwao!

Halafu kibaya zaidi wanawake wengi waliotulia, wakiamua kutoa kutoa mbususu hujikuta wanatiwa mimba chap na kutelekezwa kwasababu hawajui mbinu za kukwepesha Mimba, hawajui kula p2, hawawezi kutoa Mimba, hawawezi mchezea mwanaume amwage inje siku za hatari, hawawezi kutoa tigo siku za hatari! Hivyo mbinu pekee ya kuepuka hayo wao HUZINGUA KUFANYA MAPENZI (umalaya) KWA KUSUBIRI NDOA na kuhesabika ni wasumbufu, wasioelewa, wabishi na katili.

Kwahiyo Nathibitisha kwenu Leo, Wanaume hupenda zaidi Mwanamke Malaya kuliko watulivu!

Ewe mwanamke kama unataka ndoa chap, Jichetue, Toa Papa Mara tano halafu omba pesa Mara moja au mbili,
Ukifanya hivyo kwa wanaume watatu lazima mmoja atangaze ndoa fasta!

Lakini hii njia ya nipe Nikupe,yaani toa pesa kwanza ili nikupe penzi. Hakika ndoa kwenu mtaisikia!

UMALAYA WENYE MALENGO HAUCHELEWI KUJIBU!

Wanaume hupenda Malaya ingawa tunaonekana tunapinga!

Hata huko bungeni yule mbunge aliyesemekana kavaa nguo za utupu, Shingo za wanaume zilikatika kwa kumgeukia kwasababu Malaya anagusa mtima!

UMalaya ni kama sinki la choo! Linasemwa vibaya sana lakini kila mtu analo nyumbani kwake anafrash kimya kimya!!!
Unaoa mtulivu unachepuka na malaya.
Uzi wako sio wa kweli.
Kitu ambacho wanaume tunacho ni hatutosheki na kei moja, ile itakayojipitisha mbele tunapiga. Hawa malaya wanajipitisha...hata mke wa jirani akijipitisha na kujiingiza kwenye 18 tunapiga.
 
Mnyazi Mungu akuweke sana udugu wangu Dmkali
huo ndo ukweli, wanaume wanapenda malaya, aivo nna udugu wangu mwenyewe Zainab malaya wa mburahati anaolewa kutwa mara 3, mie nipo tu kama yatima niliesuswa, Poooh malaya nimefungwa kuolewa... Aivo naenda kisarawe kwa bibi angu kambaulaya malaya wa TANU mwenye ndoa 7 akanifungue!

Poooh ukweli ndo huu udugu wangu Dmkali malaya ndo wanaolewa, sisi watulivu tumekalia Salamaleko Mnyanzi Mungu atusaidie.
Njoo kwangu kama hujaolewa. Njoo nikuwowe
 
Kwahiyo ufahari ni kutunzwa? What if anaweza kujitunza mwenyewe?
Dhumuni la kuoa ni kumtunza mke?
Unataka kupotoka wewe[emoji23][emoji23]
Ni wajibu wa mume kutunza mke wake.

Malaya unakula na kulipa keshi na hamtajuana hata mkipishana njiani.

Bahati mbaya sipendi K zinazojiuza kamwe nahisi kinyaa.
 
Unaoa mtulivu unachepuka na malaya.
Uzi wako sio wa kweli.
Kitu ambacho wanaume tunacho ni hatutosheki na kei moja, ile itakayojipitisha mbele tunapiga. Hawa malaya wanajipitisha...hata mke wa jirani akijipitisha na kujiingiza kwenye 18 tunapiga.
Huyo mke wa jirani anayejipitisha kwako si ndio hao Malaya walioolewa?. Ulichokipinga ndicho unachokiunga mkono.
 
Unataka kupotoka wewe[emoji23][emoji23]
Ni wajibu wa mume kutunza mke wake.

Malaya unakula na kulipa keshi na hamtajuana hata mkipishana njiani.

Bahati mbaya sipendi K zinazojiuza kamwe nahisi kinyaa.
Najua kumtunza mke ni wajibu wa mume, ni kwamba hatujaelewana hlf naona uvivu kukuelewesha.
Je K zinazotoka bure unazipenda?
 
Woi. Kuitwa mke Kuna raha Kama unapendwa na kuheshimiwa.

Sio inapita zaidi ya mwezi mume hajakugusa maana humvutii tena upo tu hapo home Kama msichana wa kazi.

Hebu futa hii porojo yako mkuu, uliona wapi msichana wa kazi asiyevutia?[emoji22]
 
Back
Top Bottom