Ukweli mchungu: Wanaume hupenda mwanamke malaya kuliko mtulivu. Ndiyo maana malaya wana bahati ya kuolewa mapema kuzidi wengine

Ukweli mchungu: Wanaume hupenda mwanamke malaya kuliko mtulivu. Ndiyo maana malaya wana bahati ya kuolewa mapema kuzidi wengine

[emoji23][emoji23][emoji23] huu uandishi hope [emoji485] ipo kichwani.
Anyway wahi kwa Bibi.
Salamaleko Udugu wangu
Sijanywa Wine nna miezi 7 kama mimba ya mwajuna malaya mwenye makengeza,aivo hapa nilipo nipo mwanarumango nanuwia niolewe mwisho wa mwezi, haiwezekani na uzuri wangu nisuswe itakua nmiyavaa majini ya kigogo Ruhanga poooh! bombom kijiwe samri watanikoma Mwashabani naolewa na tajiri anadaladala za kwenda kihonda Pooh! Mnyanzi Mungu anisaidie
 
Salamaleko Udugu wangu
Sijanywa Wine nna miezi 7 kama mimba ya mwajuna malaya alieshindikana,aivo hapa nilipo nipo mwanarumango nanuwia niolewe mwisho wa mwezi, haiwezekani na uzuri wangu nisuswe itakua nmiyavaa majini ya kigogo Ruhanga poooh! bombom kijiwe samri watanikoma Mwashabani naolewa na tajiri anadaladala za kwenda kihonda Pooh! Mnyanzi Mungu anisaidie
Waleko Salam [emoji23][emoji23][emoji23]
Toa codes uko wap vijana waje kukuchukua maana huenda usifike home salamaaa haupo sawa usibishe .
 

Ungesema MTUNDU kitandani ningekuunga mkono lakini MALAYA hapana, vinginevyo wale wanaojiuza pale corner bar wote wangekuwa wameshaolewa.
Kimtazamo unaweza kudhani ni kweli wanaume hatupendi Malaya!


Lakini kiuhalisia sivyo kabisa!

Leo nawasanua muelewe somo hili mjifunze!

Asilia (Nature) haitaweza kubadilika kamwe!

Mwanaume kaumbiwa matamanio mengi mwilini!
Mbaya zaidi matamanio hayo yanahitaji kutibiwa immediately pasipo kuchelewa!

Mfumo wa matamanio kwa mwanaume umekaa kama haja! Ukibanwa sharti ujisaidie hata porini almradi tu haja itoke!

Hivyo pori litakalokustili Leo ukajisaidia haja hata ukiambiwa lina miimba ww hujali sana, cha mhimu unawaza ukibanwa litakustili fasta!

Ndivyo ilivyo kwa mwanamke Malaya alivyo na thaman kubwa kwa mwanaume!

Mwanamke Malaya anatambuliwa na ubongo wa mwanaume kama LULU inayostarehesha!

Hivyo ni rahisi sana mwanamke Malaya kuolewa kuliko huyo anaebana bana kutoa penzi!

Mwanamke hata awe katoka guest kutafunwa mda huo, akipita kwa mwanaume rijali huonekana anafaida kwa matumizi ya baadae hivyo ni asset!.

Kama hauamini ebu tafakari!

Ebu tafakari ni Malaya wa ngapi wameolewa na tabia zao zinafahamika wazi!

Tena wengine hata ndoa 5 zote wanaolewa na matarumbeta, lakini mrembo aliyetulia tabia akizeekea nyumbani kwao!

Halafu kibaya zaidi wanawake wengi waliotulia, wakiamua kutoa kutoa mbususu hujikuta wanatiwa mimba chap na kutelekezwa kwasababu hawajui mbinu za kukwepesha Mimba, hawajui kula p2, hawawezi kutoa Mimba, hawawezi mchezea mwanaume amwage inje siku za hatari, hawawezi kutoa tigo siku za hatari! Hivyo mbinu pekee ya kuepuka hayo wao HUZINGUA KUFANYA MAPENZI (umalaya) KWA KUSUBIRI NDOA na kuhesabika ni wasumbufu, wasioelewa, wabishi na katili.

Kwahiyo Nathibitisha kwenu Leo, Wanaume hupenda zaidi Mwanamke Malaya kuliko watulivu!

Ewe mwanamke kama unataka ndoa chap, Jichetue, Toa Papa Mara tano halafu omba pesa Mara moja au mbili,
Ukifanya hivyo kwa wanaume watatu lazima mmoja atangaze ndoa fasta!

Lakini hii njia ya nipe Nikupe,yaani toa pesa kwanza ili nikupe penzi. Hakika ndoa kwenu mtaisikia!

UMALAYA WENYE MALENGO HAUCHELEWI KUJIBU!

Wanaume hupenda Malaya ingawa tunaonekana tunapinga!

Hata huko bungeni yule mbunge aliyesemekana kavaa nguo za utupu, Shingo za wanaume zilikatika kwa kumgeukia kwasababu Malaya anagusa mtima!

UMalaya ni kama sinki la choo! Linasemwa vibaya sana lakini kila mtu analo nyumbani kwake anafrash kimya kimya!!!
 
wale wa corner bar wakasome hata urusi/ukraine wapate kujua mbanga ilivyo legit 🤣 🤣
 
Waleko Salam [emoji23][emoji23][emoji23]
Toa codes uko wap vijana waje kukuchukua maana huenda usifike home salamaaa haupo sawa usibishe .
Pooh!!! wanibake niivae nuksi za majini ya hapa na pale. Sitaki mie kama wanaweza wapande daladala za mwanarumango watanikuta nimijaa kwenye pishi kwa bibi yangu kambaulaya waje na nia nzuri la sivyo kitawakuta kitu chekundu.. Poooh! Mnyazi Mungu anisaidie nifanikiwe
 
Kimtazamo unaweza kudhani ni kweli wanaume hatupendi Malaya!

Lakini kiuhalisia sivyo kabisa!

Leo nawasanua muelewe somo hili mjifunze!

Asilia (Nature) haitaweza kubadilika kamwe!

Mwanaume kaumbiwa matamanio mengi mwilini!
Mbaya zaidi matamanio hayo yanahitaji kutibiwa immediately pasipo kuchelewa!

Mfumo wa matamanio kwa mwanaume umekaa kama haja! Ukibanwa sharti ujisaidie hata porini almradi tu haja itoke!

Hivyo pori litakalokustili Leo ukajisaidia haja hata ukiambiwa lina miimba ww hujali sana, cha mhimu unawaza ukibanwa litakustili fasta!

Ndivyo ilivyo kwa mwanamke Malaya alivyo na thaman kubwa kwa mwanaume!

Mwanamke Malaya anatambuliwa na ubongo wa mwanaume kama LULU inayostarehesha!

Hivyo ni rahisi sana mwanamke Malaya kuolewa kuliko huyo anaebana bana kutoa penzi!

Mwanamke hata awe katoka guest kutafunwa mda huo, akipita kwa mwanaume rijali huonekana anafaida kwa matumizi ya baadae hivyo ni asset!.

Kama hauamini ebu tafakari!

Ebu tafakari ni Malaya wa ngapi wameolewa na tabia zao zinafahamika wazi!

Tena wengine hata ndoa 5 zote wanaolewa na matarumbeta, lakini mrembo aliyetulia tabia akizeekea nyumbani kwao!

Halafu kibaya zaidi wanawake wengi waliotulia, wakiamua kutoa kutoa mbususu hujikuta wanatiwa mimba chap na kutelekezwa kwasababu hawajui mbinu za kukwepesha Mimba, hawajui kula p2, hawawezi kutoa Mimba, hawawezi mchezea mwanaume amwage inje siku za hatari, hawawezi kutoa tigo siku za hatari! Hivyo mbinu pekee ya kuepuka hayo wao HUZINGUA KUFANYA MAPENZI (umalaya) KWA KUSUBIRI NDOA na kuhesabika ni wasumbufu, wasioelewa, wabishi na katili.

Kwahiyo Nathibitisha kwenu Leo, Wanaume hupenda zaidi Mwanamke Malaya kuliko watulivu!

Ewe mwanamke kama unataka ndoa chap, Jichetue, Toa Papa Mara tano halafu omba pesa Mara moja au mbili,
Ukifanya hivyo kwa wanaume watatu lazima mmoja atangaze ndoa fasta!

Lakini hii njia ya nipe Nikupe,yaani toa pesa kwanza ili nikupe penzi. Hakika ndoa kwenu mtaisikia!

UMALAYA WENYE MALENGO HAUCHELEWI KUJIBU!

Wanaume hupenda Malaya ingawa tunaonekana tunapinga!

Hata huko bungeni yule mbunge aliyesemekana kavaa nguo za utupu, Shingo za wanaume zilikatika kwa kumgeukia kwasababu Malaya anagusa mtima!

UMalaya ni kama sinki la choo! Linasemwa vibaya sana lakini kila mtu analo nyumbani kwake anafrash kimya kimya!!!
Basi inabidi wake zenu muwapeleke pale kona baa wkaungane na malaya ili mzidi kuwapenda
 
Pooh!!! wanibake niivae nuksi za majini ya hapa na pale. Sitaki mie kama wanaweza wapande daladala za mwanarumango watanikuta nimijaa kwenye pishi kwa bibi yangu kambaulaya waje na nia nzuri la sivyo kitawakuta kitu chekundu.. Poooh! Mnyazi Mungu anisaidie nifanikiwe
@Extrovert uko wap umsaidie bibie [emoji23].
 
Pooh!!! wanibake niivae nuksi za majini ya hapa na pale. Sitaki mie kama wanaweza wapande daladala za mwanarumango watanikuta nimijaa kwenye pishi kwa bibi yangu kambaulaya waje na nia nzuri la sivyo kitawakuta kitu chekundu.. Poooh! Mnyazi Mungu anisaidie nifanikiwe
Safar hii utafanikiwa.
 
Mnyazi Mungu akuweke sana udugu wangu Dmkali
huo ndo ukweli, wanaume wanapenda malaya, aivo nna udugu wangu mwenyewe Zainab malaya wa mburahati anaolewa kutwa mara 3, mie nipo tu kama yatima niliesuswa, Poooh malaya nimefungwa kuolewa... Aivo naenda kisarawe kwa bibi angu kambaulaya malaya wa TANU mwenye ndoa 7 akanifungue!

Poooh ukweli ndo huu udugu wangu Dmkali malaya ndo wanaolewa, sisi watulivu tumekalia Salamaleko Mnyanzi Mungu atusaidie.
Mkuu wewe umeandika kwa lugha gani?
 
Anza kwa kujifunza maana ya 'kujiuza' kwanza, nitakusubiri ukirudi tutaendelea kujadili.
Duh salaale SEX ina mambo mengi hii maana mpya ya kila mwanamke HUJIUZA ndio maana yake siijui labda
ulichozungumzia wewe naona ni hii ya KUDANGA ikiwa na maana ya kujiuza na kupata shilingi akarudi kwa mumewe na inawezekana akatega mahali na yupo katika Ndoa hao ndipo NAKATAA
Kuna ile SEX ya kazini kupata Vyeo mpaka vya kisiasa, kuna ya Vyuoni ili kufaulu, kuna ya Majeshi kupata shushi au post laini km Traffic nk hapo napo ni KUJIUZA?
basi ambao hamjao msioe tena, tuachieni tunaogongewa bila kujua
 
Nonsense!!
Iko hivi:
Mwanaume unayejitambua huwezi kuoa "malaya". Mke ni chombo cha "heshima", ukioa malaya hiyo heshima inakuwa haipo.
Malaya ni mwanamke ambaye ameshachezewa na kila aina ya Wanaume, tena Malaya wa siku hizi ni kama samaki, ukila upande wa juu ni lazima ugeuze na upande wa chini, sasa uoe mwanamke kama huyo ni kujitafutia mikosi na laana.
Ukioa malaya hata ukitembea naye barabarani watu wanakusanifu, wengine walishamwinamisha vichochoroni, wengine walishamgegeda makaburini, wengine kwenye magari yao, yaani ni laana tupu.
 
Kimtazamo unaweza kudhani ni kweli wanaume hatupendi Malaya!

Lakini kiuhalisia sivyo kabisa!

Leo nawasanua muelewe somo hili mjifunze!

Asilia (Nature) haitaweza kubadilika kamwe!

Mwanaume kaumbiwa matamanio mengi mwilini!
Mbaya zaidi matamanio hayo yanahitaji kutibiwa immediately pasipo kuchelewa!

Mfumo wa matamanio kwa mwanaume umekaa kama haja! Ukibanwa sharti ujisaidie hata porini almradi tu haja itoke!

Hivyo pori litakalokustili Leo ukajisaidia haja hata ukiambiwa lina miimba ww hujali sana, cha mhimu unawaza ukibanwa litakustili fasta!

Ndivyo ilivyo kwa mwanamke Malaya alivyo na thaman kubwa kwa mwanaume!

Mwanamke Malaya anatambuliwa na ubongo wa mwanaume kama LULU inayostarehesha!

Hivyo ni rahisi sana mwanamke Malaya kuolewa kuliko huyo anaebana bana kutoa penzi!

Mwanamke hata awe katoka guest kutafunwa mda huo, akipita kwa mwanaume rijali huonekana anafaida kwa matumizi ya baadae hivyo ni asset!.

Kama hauamini ebu tafakari!

Ebu tafakari ni Malaya wa ngapi wameolewa na tabia zao zinafahamika wazi!

Tena wengine hata ndoa 5 zote wanaolewa na matarumbeta, lakini mrembo aliyetulia tabia akizeekea nyumbani kwao!

Halafu kibaya zaidi wanawake wengi waliotulia, wakiamua kutoa kutoa mbususu hujikuta wanatiwa mimba chap na kutelekezwa kwasababu hawajui mbinu za kukwepesha Mimba, hawajui kula p2, hawawezi kutoa Mimba, hawawezi mchezea mwanaume amwage inje siku za hatari, hawawezi kutoa tigo siku za hatari! Hivyo mbinu pekee ya kuepuka hayo wao HUZINGUA KUFANYA MAPENZI (umalaya) KWA KUSUBIRI NDOA na kuhesabika ni wasumbufu, wasioelewa, wabishi na katili.

Kwahiyo Nathibitisha kwenu Leo, Wanaume hupenda zaidi Mwanamke Malaya kuliko watulivu!

Ewe mwanamke kama unataka ndoa chap, Jichetue, Toa Papa Mara tano halafu omba pesa Mara moja au mbili,
Ukifanya hivyo kwa wanaume watatu lazima mmoja atangaze ndoa fasta!

Lakini hii njia ya nipe Nikupe,yaani toa pesa kwanza ili nikupe penzi. Hakika ndoa kwenu mtaisikia!

UMALAYA WENYE MALENGO HAUCHELEWI KUJIBU!

Wanaume hupenda Malaya ingawa tunaonekana tunapinga!

Hata huko bungeni yule mbunge aliyesemekana kavaa nguo za utupu, Shingo za wanaume zilikatika kwa kumgeukia kwasababu Malaya anagusa mtima!

UMalaya ni kama sinki la choo! Linasemwa vibaya sana lakini kila mtu analo nyumbani kwake anafrash kimya kimya!!!
Hakuna mwanaume Duniani anapenda kuoa Malaya.. nadhani ilitakiwa kusema mwanamke anae jua mapenzi ila sio Malaya.. yani mwanaume ukimpenda mwanamke hutamani hata kidogo kusikia mwanamke wako ame cheat au umesahau msala wa Winy Mandela[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


"Mwanaume anapenda mwanamke mtu lakini atulie.. amlage mwenyewe tu"

Hawa Malaya ni wa kuchapa na kusepa.. sio kuoa yani Sex is not everything kwenye Ndoa.
 
Back
Top Bottom