Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wananuka Kama beberu
Tunawala hivyo hivyo, ni watamu mno na wanavutia kuliko hao mnaita wake zetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wananuka Kama beberu
Unataka kupotoka wewe[emoji23][emoji23]
Ni wajibu wa mume kutunza mke wake.
Malaya unakula na kulipa keshi na hamtajuana hata mkipishana njiani.
Bahati mbaya sipendi K zinazojiuza kamwe nahisi kinyaa.
jamaa yangu kasome Kitabu cha Yoshua Bin Sira, kuhusu mawanamke asiyefunga mapaja yake kwa wanaume wengine mumewe kila saa anapiga kite akijua tayari mkewe anagawa@dmkali
Unajua fact huwa haidanganyi!
Ebu sema kweli brother wewe unapenda MAPENZI ya kuzungushwa kama kitenesi?
Mangi acha UONGO hujaoa wewe, Mke wa ndani haijafikia huko labda km mm nguvu zimeisha, lkn vikao vya mashehe na mapadri vitakuwa wapi mpaka akajiuzeHakuna K isiyojiuza bwashee, labda sema hupendi zenye kujipanga barabarani.
Mangi acha UONGO hujaoa wewe, Mke wa ndani haijafikia huko labda km mm nguvu zimeisha, lkn vikao vya mashehe na mapadri vitakuwa wapi mpaka akajiuze
Nimeandika comment nikafuta nikaandika tena nikafuta, na sasa naandika tena nifuteKimtazamo unaweza kudhani ni kweli wanaume hatupendi Malaya!
Lakini kiuhalisia sivyo kabisa!
Leo nawasanua muelewe somo hili mjifunze!
Asilia (Nature) haitaweza kubadilika kamwe!
Mwanaume kaumbiwa matamanio mengi mwilini!
Mbaya zaidi matamanio hayo yanahitaji kutibiwa immediately pasipo kuchelewa!
Mfumo wa matamanio kwa mwanaume umekaa kama haja! Ukibanwa sharti ujisaidie hata porini almradi tu haja itoke!
Hivyo pori litakalokustili Leo ukajisaidia haja hata ukiambiwa lina miimba ww hujali sana, cha mhimu unawaza ukibanwa litakustili fasta!
Ndivyo ilivyo kwa mwanamke Malaya alivyo na thaman kubwa kwa mwanaume!
Mwanamke Malaya anatambuliwa na ubongo wa mwanaume kama LULU inayostarehesha!
Hivyo ni rahisi sana mwanamke Malaya kuolewa kuliko huyo anaebana bana kutoa penzi!
Mwanamke hata awe katoka guest kutafunwa mda huo, akipita kwa mwanaume rijali huonekana anafaida kwa matumizi ya baadae hivyo ni asset!.
Kama hauamini ebu tafakari!
Ebu tafakari ni Malaya wa ngapi wameolewa na tabia zao zinafahamika wazi!
Tena wengine hata ndoa 5 zote wanaolewa na matarumbeta, lakini mrembo aliyetulia tabia akizeekea nyumbani kwao!
Halafu kibaya zaidi wanawake wengi waliotulia, wakiamua kutoa kutoa mbususu hujikuta wanatiwa mimba chap na kutelekezwa kwasababu hawajui mbinu za kukwepesha Mimba, hawajui kula p2, hawawezi kutoa Mimba, hawawezi mchezea mwanaume amwage inje siku za hatari, hawawezi kutoa tigo siku za hatari! Hivyo mbinu pekee ya kuepuka hayo wao HUZINGUA KUFANYA MAPENZI (umalaya) KWA KUSUBIRI NDOA na kuhesabika ni wasumbufu, wasioelewa, wabishi na katili.
Kwahiyo Nathibitisha kwenu Leo, Wanaume hupenda zaidi Mwanamke Malaya kuliko watulivu!
Ewe mwanamke kama unataka ndoa chap, Jichetue, Toa Papa Mara tano halafu omba pesa Mara moja au mbili,
Ukifanya hivyo kwa wanaume watatu lazima mmoja atangaze ndoa fasta!
Lakini hii njia ya nipe Nikupe,yaani toa pesa kwanza ili nikupe penzi. Hakika ndoa kwenu mtaisikia!
UMALAYA WENYE MALENGO HAUCHELEWI KUJIBU!
Wanaume hupenda Malaya ingawa tunaonekana tunapinga!
Hata huko bungeni yule mbunge aliyesemekana kavaa nguo za utupu, Shingo za wanaume zilikatika kwa kumgeukia kwasababu Malaya anagusa mtima!
UMalaya ni kama sinki la choo! Linasemwa vibaya sana lakini kila mtu analo nyumbani kwake anafrash kimya kimya!!!
unataka kuniwowa bwana weweNjoo kwangu kama hujaolewa. Njoo nikuwowe
najipanga naanza kutembeza daftariSawa we jipange ndoa mwakan
Noma sanaMalaya si mtu mzuri lakini ana akili ya fasta sana anajua kuteka haswaa
Hao wanajua wababa wanataka nini na kwa wakati ganiNoma sana
Hatununui tunachukua🤣Watakupinga, ila kila siku wanaacha wake zao nyumbani wanaenda kununua malaya
Malaya gani unamchukua bila kumlipa?Hatununui tunachukua
Mchukue mfanye mke halafu urudi hapa kushuhudiaHao wanajua wababa wanataka nini na kwa wakati gani
au nasema uongo ndugu yangu 🤣 🤣 🤣
[emoji23][emoji23][emoji23] huu uandishi hope [emoji485] ipo kichwani.Mnyazi Mungu akuweke sana udugu wangu Dmkali
huo ndo ukweli, wanaume wanapenda malaya, aivo nna udugu wangu mwenyewe Zainab malaya wa mburahati anaolewa kutwa mara 3, mie nipo tu kama yatima niliesuswa, Poooh malaya nimefungwa kuolewa... Aivo naenda kisarawe kwa bibi angu kambaulaya malaya wa TANU mwenye ndoa 7 akanifungue!
Poooh ukweli ndo huu udugu wangu Dmkali malaya ndo wanaolewa, sisi watulivu tumekalia Salamaleko Mnyanzi Mungu atusaidie.
Sio kila malaya analipwa,hivi tukilipa ndio wanakua malaya eeh!Malaya gani unamchukua bila kumlipa?