makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Sio mwanaume mimi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisaJaribu kutofautisha wanaume wenye tamaa za mwili na waoaji.
when it comes to marriage kila mwanaume ana perception ya mwanamke anae mtaka. na perception ni tofauti
Tena Maharage yaliyochacha.Mkisha shiba wali maharage mnaleta thread za kingeseleee sana
Jisemee wewe kwa nafsi yakoWanaume wote tunatamaa
Mmekalia salamaleko[emoji23][emoji23][emoji23]Mnyazi Mungu akuweke sana udugu wangu Dmkali
huo ndo ukweli, wanaume wanapenda malaya, aivo nna udugu wangu mwenyewe Zainab malaya wa mburahati anaolewa kutwa mara 3, mie nipo tu kama yatima niliesuswa, Poooh malaya nimefungwa kuolewa... Aivo naenda kisarawe kwa bibi angu kambaulaya malaya wa TANU mwenye ndoa 7 akanifungue!
Poooh ukweli ndo huu udugu wangu Dmkali malaya ndo wanaolewa, sisi watulivu tumekalia Salamaleko Mnyanzi Mungu atusaidie.
heheeee Nimipata bwana usiku usiku kama mwizi wa mpunga Pooh!! mwashabani mwenye nyota yangu ya usiku Mnyazi Subaalna wataala kasikia kilio changu, njoo mpenzi wangu nikukogeshee mfezafeza, nikufukize karafuu Napika chapati laini kuliko maisha yako , Pooh karibu mpenzi penzi tulienzi...Mmekalia salamaleko[emoji23][emoji23][emoji23] kama unajua kupika chapati soft, njoo nikuoe
Duh salaale SEX ina mambo mengi hii maana mpya ya kila mwanamke HUJIUZA ndio maana yake siijui labda
ulichozungumzia wewe naona ni hii ya KUDANGA ikiwa na maana ya kujiuza na kupata shilingi akarudi kwa mumewe na inawezekana akatega mahali na yupo katika Ndoa hao ndipo NAKATAA
Kuna ile SEX ya kazini kupata Vyeo mpaka vya kisiasa, kuna ya Vyuoni ili kufaulu, kuna ya Majeshi kupata shushi au post laini km Traffic nk hapo napo ni KUJIUZA?
basi ambao hamjao msioe tena, tuachieni tunaogongewa bila kujua
Huwapendi kwani wee pedesheee ndama? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nitoe kwenye hilo kundi la hao wanaume wanaopenda wanawake malaya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah.Umesema huyo malaya anatoa hadi tigo siku za hatari?? Aisee acha nizeekee kwetu na mbususu yangu tu hapana. [emoji848][emoji848]
Shetani ana akili sana aliwaweka wadada wazuri wawe malaya ili wawaangushe wanaume kwenye dhambi ya uzinzi. Malaya wengi wazuri ila tabia zao zinawafanya wasidumu kwenye ndoaKimtazamo unaweza kudhani ni kweli wanaume hatupendi Malaya!
Lakini kiuhalisia sivyo kabisa!
Leo nawasanua muelewe somo hili mjifunze!
Asilia (Nature) haitaweza kubadilika kamwe!
Mwanaume kaumbiwa matamanio mengi mwilini!
Mbaya zaidi matamanio hayo yanahitaji kutibiwa immediately pasipo kuchelewa!
Mfumo wa matamanio kwa mwanaume umekaa kama haja! Ukibanwa sharti ujisaidie hata porini almradi tu haja itoke!
Hivyo pori litakalokustili Leo ukajisaidia haja hata ukiambiwa lina miimba ww hujali sana, cha mhimu unawaza ukibanwa litakustili fasta!
Ndivyo ilivyo kwa mwanamke Malaya alivyo na thaman kubwa kwa mwanaume!
Mwanamke Malaya anatambuliwa na ubongo wa mwanaume kama LULU inayostarehesha!
Hivyo ni rahisi sana mwanamke Malaya kuolewa kuliko huyo anaebana bana kutoa penzi!
Mwanamke hata awe katoka guest kutafunwa mda huo, akipita kwa mwanaume rijali huonekana anafaida kwa matumizi ya baadae hivyo ni asset!.
Kama hauamini ebu tafakari!
Ebu tafakari ni Malaya wa ngapi wameolewa na tabia zao zinafahamika wazi!
Tena wengine hata ndoa 5 zote wanaolewa na matarumbeta, lakini mrembo aliyetulia tabia akizeekea nyumbani kwao!
Halafu kibaya zaidi wanawake wengi waliotulia, wakiamua kutoa kutoa mbususu hujikuta wanatiwa mimba chap na kutelekezwa kwasababu hawajui mbinu za kukwepesha Mimba, hawajui kula p2, hawawezi kutoa Mimba, hawawezi mchezea mwanaume amwage inje siku za hatari, hawawezi kutoa tigo siku za hatari! Hivyo mbinu pekee ya kuepuka hayo wao HUZINGUA KUFANYA MAPENZI (umalaya) KWA KUSUBIRI NDOA na kuhesabika ni wasumbufu, wasioelewa, wabishi na katili.
Kwahiyo Nathibitisha kwenu Leo, Wanaume hupenda zaidi Mwanamke Malaya kuliko watulivu!
Ewe mwanamke kama unataka ndoa chap, Jichetue, Toa Papa Mara tano halafu omba pesa Mara moja au mbili,
Ukifanya hivyo kwa wanaume watatu lazima mmoja atangaze ndoa fasta!
Lakini hii njia ya nipe Nikupe,yaani toa pesa kwanza ili nikupe penzi. Hakika ndoa kwenu mtaisikia!
UMALAYA WENYE MALENGO HAUCHELEWI KUJIBU!
Wanaume hupenda Malaya ingawa tunaonekana tunapinga!
Hata huko bungeni yule mbunge aliyesemekana kavaa nguo za utupu, Shingo za wanaume zilikatika kwa kumgeukia kwasababu Malaya anagusa mtima!
UMalaya ni kama sinki la choo! Linasemwa vibaya sana lakini kila mtu analo nyumbani kwake anafrash kimya kimya!!!
Nadhani mleta mada angeweka 'muhuni/mtundu kitandani' angeeleweka kiurahisi zaidiHakuna mwanaume Duniani anapenda kuoa Malaya.. nadhani ilitakiwa kusema mwanamke anae jua mapenzi ila sio Malaya.. yani mwanaume ukimpenda mwanamke hutamani hata kidogo kusikia mwanamke wako ame cheat au umesahau msala wa Winy Mandela[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
"Mwanaume anapenda mwanamke mtu lakini atulie.. amlage mwenyewe tu"
Hawa Malaya ni wa kuchapa na kusepa.. sio kuoa yani Sex is not everything kwenye Ndoa.
Mkuu watu wana perceptions za ajabu sana ktk swala la mahusianoKwahiyo ufahari ni kutunzwa? What if anaweza kujitunza mwenyewe?
Dhumuni la kuoa ni kumtunza mke?
Inashangaza kuona kuwa mwanaume anaoa kwasababu anataka kumtunza mke. Yaani mwanamke kashindwa kujitunza sasa yeye ndo anamuonea huruma anamuoa ili amsaidie kumtunza.Mkuu watu wana perceptions za ajabu sana ktk swala la mahusiano
Ni kweli mkuu, na kwa bahati mbaya zaidi, hali hii pia inachangiwa na baadhi ya wanawake walio wengi piaInashangaza kuona kuwa mwanaume anaoa kwasababu anataka kumtunza mke. Yaani mwanamke kashindwa kujitunza sasa yeye ndo anamuonea huruma anamuoa ili amsaidie kumtunza.
.
.
Ni Kama vile mwenye uhitaji sana wa ndoa ni mwanamke, mwanaume aaingia kwenye ndoa ili kumsaidia mke. So pathetic.
Kwa mawazo hayo ya wanaume wengi wa kiafrica ndoa zitaendelea kukosa uthamani na kufa kabisa, maana si wanawake wote watakaokubaliana na mawazo Kama hayo.
Glenn pale juu nilimaanisha hivi.
Wanawake tangu zamani wamekaririshwa kuwa ndoa ni kila kitu na ukiachika au usipoolewa ni aibu jamii inakushangaa.Ni kweli mkuu, na kwa bahati mbaya zaidi, hali hii pia inachangiwa na baadhi ya wanawake walio wengi pia
Maisha ya ndoa ni fahari kwa watoto wako kwa kuishi na baba na mama kuna watoto wamekatishwa haki na furaha zao kuishi na baba zao kisa vihasira na viwivu vya mwanamke na kusababisha mtoto kujihisa vibaya anapoona watoto wenzao wapo na baba zao na anabaki kuita baba madanga yenu ambayo kila kukicha una danga jipya, ntakomaa na my wife na wanangu mwanzo mwisho na siku zote ntajitahidi sana nisimkwaze kwa sababu zisizo na msingi.Wanawake tangu zamani wamekaririshwa kuwa ndoa ni kila kitu na ukiachika au usipoolewa ni aibu jamii inakushangaa.
Mwanamke kafundishwa uvumilivu no matter what usiachike, ukiachika hata Kama kosa ni la mwanaume atanyooshewa kidole mwanamke na kuambiwa mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake mwenyewe.
Wanawake wapo kwenye ndoa wanavumilia kila kitu, vipigo,matusi na mengine kibao. Wengine wamepata ulemavu lkn bado wapo tu. Mtu unapata stress za kufa mtu lkn ndo unashindwa kuondoka eti kisa umeolewa...watoto wangu itakuaje? Inasikitisha kwa kweli.
.
.
Binafsi naamini katika mapenzi, mahali nisipopendwa sikai hata nionekane vipi huwa sijali naondoka. Anayenipenda atabadilika kwaajili yangu...asipobadilika naondoka mchana kweupe na maisha yatasonga with or without him!
Ufahari wa wana ndoa unaletwa na wanandoa wenyewe. Ni vizuri umeamua kukomaa na wife means unamthamini hata mbele ya watoto na jamii kwa ujumla.Maisha ya ndoa ni fahari kwa watoto wako kwa kuishi na baba na mama kuna watoto wamekatishwa haki na furaha zao kuishi na baba zao kisa vihasira na viwivu vya mwanamke na kusababisha mtoto kujihisa vibaya anapoona watoto wenzao wapo na baba zao na anabaki kuita baba madanga yenu ambayo kila kukicha una danga jipya, ntakomaa na my wife na wanangu mwanzo mwisho na siku zote ntajitahidi sana nisimkwaze kwa sababu zisizo na msingi.