Ukweli mchungu: Wanawake hawana faida yeyote kwa wanaume uzeeni

Ukweli mchungu: Wanawake hawana faida yeyote kwa wanaume uzeeni

Loading failed

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2023
Posts
2,603
Reaction score
7,501
Mwanamke hana faida yeyote kwa mwanaume uzeeni zaidi ya kukulipizia kisasi na kukuwahisha kufa mapema

Ndugu zangu kuna misemo na matisho wanayopewa vijana wa kiume huko duniani kuwa wewe mwanaume endelea kukataa kuoa FAINALI NI UZEENI pia wanawadanganya vijana wa kiume kuwa mwanaume akizeeka ana mtegemea sana mwanamke, huu ni ungo na chuki zidi ya vijana waliochagua kutokuoa ili waishi kwa amani, uhuru na furaha tele hapa duniani tena ni wivu kwa hawa wazee wanao zeeka huku wanaonja joto la jiwe kutoka kwa wanawake waliozani watakua msaada uzeeni.

Wanataka na nyie muoe ili mkizeeka mteswe kama na wao wanavyoteswa na hao wanawake huko uzeeni, hawataki kuona mnakuja kua wazee vijana wenye furaha zao za uzee mwema

Mwanaume usidanganywe hakuna mwanamke atakayekuja kua na faida yeyote kwako uzeeni zaidi ya kukuwaisha kaburini ndiyo maana wanawake wanaangalia na wanaume wa kuishi nao ili iwe rahisi kukuangamiza uzeeni, huyo mwanamke uliye naye nikitendo cha muda tuu anasubiri uzeeke ili aanze kukuangamiza na kukulipizia yale yote uliyokua unafanya ujanani kwa kivuli cha kua MWANAUME NI KICHWA CHA FAMILIA NA KIONGOZI WA MWANAMKE HAIJALISHI ULIMTENDEA MEMA AU MABAYA YEYE ATALIPIZA

Ndugu ukweli ni kwamba mwanamke hana faida yeyote kwa mwanaume pindi anapo zeeka bali ni hasara tupu na kukurahisishia wewe mwanaume uwahi kufa kwa stress na vimbwanga vyake vya uzeeni huku akishirikiana na wanao kukutesa mpaka ufe

Mwanaume anapo zeeka na kuishiwa nguvu wanawake wanageuka maninja na walipizi wa visasi dhidi ya huyo mwanaume wake,mwanaume utakapo zeeka fahamu kuwa huyo mwanamke wako unaedanganywa atakusaidia uzeeni atageuka kuwa mgomvi, atakutukana, atakushindisha njaa, atakupa stress kupita kiasi ili kulipia yale aliyoshindwa kukufanyia enzi hizo ukiwa kijana njemba na mwanaume mwenye nguvu zako tele

Wanawake wapo na wanaume kimkakati sana , yupo na wewe sasa hivi akupigi ngumi , akuchomi kisu maana anajua akifanya hivyo utamsokota haswa au utaondoka kwenda kuoa mwanamke mwingine mzuri zaidi yake bali atajifanya mwema ili asubirie ukifika uzeeni akupige ngumi, akutukane na wakati mwingine ashirikiane na watoto wako kukuua ili abaki yeye mwenyewe.

Mwanaume unapo zeeka unakua huna tena thamani kwa huyo mwanamke wako, anajua wewe umesha zeeka na hakuna kitu utafanya zaidi ya kusubiria kufa, anajua kabisa atafanya juu chini upate presha au kisukari ili ukae uko ndani na yeye akukalie na kukupelekesha mpaka uitike abeee mke wangu.

Mwanaume unapo zeeka kaa ukijua mwanamke wako uliedanganywa fainali ni uzeeni atazidisha chuki dhidi yako, ataomba ufe mapema na kila mara atakushinikiza ugawe mali kwa watoto na uonyeshe sehemu atakayo kuzikia

Huyo mwanamke uliedanganywa utamuhitaji uzeeni hatotamani kuongoza tena na wewe babu njiani maana anakuona unatembea pole pole kwa kuchechemea , ataona unampotezea muda na kumkwamisha mambo yake,

Huyo mwanamke atageuka kuwa mchawi dhidi yako atatamani akuloge ili yeye kwa akili zake finyu akae ale maisha yale ambayo hakuyala enzi zako ukiwa na nguvu unampangia kila kitu, atajua sasa pata uhuru baada ya wewe kuzeeka na hakuna rangi utaacha kuona..

Ewe kijana usidanganywe fainali ni uzeeni wewe mwenyewe huko duniani unaona kabisa wazee wanavyoteswa na wake zao mpaka wengine wanakufa upesi kwa kushindwa kuhimili mikiki na njaa za uzeeni, huyo mwanamke uliye ambiwa ukizeeka ndiye utakuja kumujitaji na kua msaada kwako kaa ukijua atageuka kuwa mchawi kwako uzeeni na kukushinikiza uonekane wewe ndiye sababu ya kuvunja ndoa ili apate uhalali wa kugawana mali.

Kijana jenga maisha yako ya uzeeni hakuna mwanamke atakaye kuja kua msaada kwako pindi unapo zeeka, hakuna mwanamke atakayekuja kukusaidia chochote uzeeni zaidi ya kukuwahisha kaburini, jenga maisha yako ya uzeeni , kama unataka kuwa mzee ukiwa na mwanamke jenga maisha ya kutokukosa hela uzeeni na uhakika wa kuishi mpaka huyo mwanamke atakapo kuingiza kaburini,
 
Mlisema Mchumba hasomeshwi, Mimi nikasomesha na NIMEMUOA,

Mkasema pesa ya mwanamke Haina mchango kwenye matumizi ya familia, Huyu wa kwangu ANACHANGIA kwa hiari kabisa,

Sasa kuna hii kwamba hawana faida Uzeeni. NGOJA NISUBIRI NIONE.

Ila maisha hayana general formula.
 
Ninachojua ni kuwa uzeeni kuna manyanyaso mawili wanaume wanapitia
1. Mke kusafiri saana kusalimia wanae hvyo kuna muda anakuwa mpweke
2. Kwichikwichi sahau kwani mke anajitengea chumba kabsa cha kwake cha kulala
 
Oeni mke ni kitu Bora, na wanawaweka waelewa wanajifahamu kua bila mwanaume wao sio kitu, Baba ni kichwa cha familia toka enzi na enzi chagua anayekufaa weka ndani bila tatizo wale wenye matatizo tupa mbali
 
Mwanamke hana faida yeyote kwa mwanaume uzeeni zaidi ya kukulipizia kisasi na kukuwahisha kufa mapema

Ndugu zangu kuna misemo na matisho wanayopewa vijana wa kiume huko duniani kuwa wewe mwanaume endelea kukataa kuoa FAINALI NI UZEENI pia wanawadanganya vijana wa kiume kuwa mwanaume akizeeka ana mtegemea sana mwanamke, huu ni ungo na chuki zidi ya vijana waliochagua kutokuoa ili waishi kwa amani, uhuru na furaha tele hapa duniani tena ni wivu kwa hawa wazee wanao zeeka huku wanaonja joto la jiwe kutoka kwa wanawake waliozani watakua msaada uzeeni.

Wanataka na nyie muoe ili mkizeeka mteswe kama na wao wanavyoteswa na hao wanawake huko uzeeni, hawataki kuona mnakuja kua wazee vijana wenye furaha zao za uzee mwema

Mwanaume usidanganywe hakuna mwanamke atakayekuja kua na faida yeyote kwako uzeeni zaidi ya kukuwaisha kaburini ndiyo maana wanawake wanaangalia na wanaume wa kuishi nao ili iwe rahisi kukuangamiza uzeeni, huyo mwanamke uliye naye nikitendo cha muda tuu anasubiri uzeeke ili aanze kukuangamiza na kukulipizia yale yote uliyokua unafanya ujanani kwa kivuli cha kua MWANAUME NI KICHWA CHA FAMILIA NA KIONGOZI WA MWANAMKE HAIJALISHI ULIMTENDEA MEMA AU MABAYA YEYE ATALIPIZA

Ndugu ukweli ni kwamba mwanamke hana faida yeyote kwa mwanaume pindi anapo zeeka bali ni hasara tupu na kukurahisishia wewe mwanaume uwahi kufa kwa stress na vimbwanga vyake vya uzeeni huku akishirikiana na wanao kukutesa mpaka ufe

Mwanaume anapo zeeka na kuishiwa nguvu wanawake wanageuka maninja na walipizi wa visasi dhidi ya huyo mwanaume wake,mwanaume utakapo zeeka fahamu kuwa huyo mwanamke wako unaedanganywa atakusaidia uzeeni atageuka kuwa mgomvi, atakutukana, atakushindisha njaa, atakupa stress kupita kiasi ili kulipia yale aliyoshindwa kukufanyia enzi hizo ukiwa kijana njemba na mwanaume mwenye nguvu zako tele

Wanawake wapo na wanaume kimkakati sana , yupo na wewe sasa hivi akupigi ngumi , akuchomi kisu maana anajua akifanya hivyo utamsokota haswa au utaondoka kwenda kuoa mwanamke mwingine mzuri zaidi yake bali atajifanya mwema ili asubirie ukifika uzeeni akupige ngumi, akutukane na wakati mwingine ashirikiane na watoto wako kukuua ili abaki yeye mwenyewe.

Mwanaume unapo zeeka unakua huna tena thamani kwa huyo mwanamke wako, anajua wewe umesha zeeka na hakuna kitu utafanya zaidi ya kusubiria kufa, anajua kabisa atafanya juu chini upate presha au kisukari ili ukae uko ndani na yeye akukalie na kukupelekesha mpaka uitike abeee mke wangu.

Mwanaume unapo zeeka kaa ukijua mwanamke wako uliedanganywa fainali ni uzeeni atazidisha chuki dhidi yako, ataomba ufe mapema na kila mara atakushinikiza ugawe mali kwa watoto na uonyeshe sehemu atakayo kuzikia

Huyo mwanamke uliedanganywa utamuhitaji uzeeni hatotamani kuongoza tena na wewe babu njiani maana anakuona unatembea pole pole kwa kuchechemea , ataona unampotezea muda na kumkwamisha mambo yake,

Huyo mwanamke atageuka kuwa mchawi dhidi yako atatamani akuloge ili yeye kwa akili zake finyu akae ale maisha yale ambayo hakuyala enzi zako ukiwa na nguvu unampangia kila kitu, atajua sasa pata uhuru baada ya wewe kuzeeka na hakuna rangi utaacha kuona..

Ewe kijana usidanganywe fainali ni uzeeni wewe mwenyewe huko duniani unaona kabisa wazee wanavyoteswa na wake zao mpaka wengine wanakufa upesi kwa kushindwa kuhimili mikiki na njaa za uzeeni, huyo mwanamke uliye ambiwa ukizeeka ndiye utakuja kumujitaji na kua msaada kwako kaa ukijua atageuka kuwa mchawi kwako uzeeni na kukushinikiza uonekane wewe ndiye sababu ya kuvunja ndoa ili apate uhalali wa kugawana mali.

Kijana jenga maisha yako ya uzeeni hakuna mwanamke atakaye kuja kua msaada kwako pindi unapo zeeka, hakuna mwanamke atakayekuja kukusaidia chochote uzeeni zaidi ya kukuwahisha kaburini, jenga maisha yako ya uzeeni , kama unataka kuwa mzee ukiwa na mwanamke jenga maisha ya kutokukosa hela uzeeni na uhakika wa kuishi mpaka huyo mwanamke atakapo kuingiza kaburini,
Hili liko wazi. Hongera kwa kufahamu.
 
Ubatili mtupu! Hata hatujui tushike lipi.
 
Screenshot_20240512_214014_Facebook.jpg
 
Ninachojua ni kuwa uzeeni kuna manyanyaso mawili wanaume wanapitia
1. Mke kusafiri saana kusalimia wanae hvyo kuna muda anakuwa mpweke
2. Kwichikwichi sahau kwani mke anajitengea chumba kabsa cha kwake cha kulala
Anasafiri kwenda kwa wanae kuwaambia watoto wako utakufa na anawauliza kama kawagaia urithi. Wakisema hapana anaenda mletea vurugu ili afe upesi
 
Back
Top Bottom