Ukweli mchungu: Wanawake hawana faida yeyote kwa wanaume uzeeni

Ukweli mchungu: Wanawake hawana faida yeyote kwa wanaume uzeeni

Mwanamke hana faida yeyote kwa mwanaume uzeeni zaidi ya kukulipizia kisasi na kukuwahisha kufa mapema

Ndugu zangu kuna misemo na matisho wanayopewa vijana wa kiume huko duniani kuwa wewe mwanaume endelea kukataa kuoa FAINALI NI UZEENI pia wanawadanganya vijana wa kiume kuwa mwanaume akizeeka ana mtegemea sana mwanamke, huu ni ungo na chuki zidi ya vijana waliochagua kutokuoa ili waishi kwa amani, uhuru na furaha tele hapa duniani tena ni wivu kwa hawa wazee wanao zeeka huku wanaonja joto la jiwe kutoka kwa wanawake waliozani watakua msaada uzeeni.

Wanataka na nyie muoe ili mkizeeka mteswe kama na wao wanavyoteswa na hao wanawake huko uzeeni, hawataki kuona mnakuja kua wazee vijana wenye furaha zao za uzee mwema

Mwanaume usidanganywe hakuna mwanamke atakayekuja kua na faida yeyote kwako uzeeni zaidi ya kukuwaisha kaburini ndiyo maana wanawake wanaangalia na wanaume wa kuishi nao ili iwe rahisi kukuangamiza uzeeni, huyo mwanamke uliye naye nikitendo cha muda tuu anasubiri uzeeke ili aanze kukuangamiza na kukulipizia yale yote uliyokua unafanya ujanani kwa kivuli cha kua MWANAUME NI KICHWA CHA FAMILIA NA KIONGOZI WA MWANAMKE HAIJALISHI ULIMTENDEA MEMA AU MABAYA YEYE ATALIPIZA

Ndugu ukweli ni kwamba mwanamke hana faida yeyote kwa mwanaume pindi anapo zeeka bali ni hasara tupu na kukurahisishia wewe mwanaume uwahi kufa kwa stress na vimbwanga vyake vya uzeeni huku akishirikiana na wanao kukutesa mpaka ufe

Mwanaume anapo zeeka na kuishiwa nguvu wanawake wanageuka maninja na walipizi wa visasi dhidi ya huyo mwanaume wake,mwanaume utakapo zeeka fahamu kuwa huyo mwanamke wako unaedanganywa atakusaidia uzeeni atageuka kuwa mgomvi, atakutukana, atakushindisha njaa, atakupa stress kupita kiasi ili kulipia yale aliyoshindwa kukufanyia enzi hizo ukiwa kijana njemba na mwanaume mwenye nguvu zako tele

Wanawake wapo na wanaume kimkakati sana , yupo na wewe sasa hivi akupigi ngumi , akuchomi kisu maana anajua akifanya hivyo utamsokota haswa au utaondoka kwenda kuoa mwanamke mwingine mzuri zaidi yake bali atajifanya mwema ili asubirie ukifika uzeeni akupige ngumi, akutukane na wakati mwingine ashirikiane na watoto wako kukuua ili abaki yeye mwenyewe.

Mwanaume unapo zeeka unakua huna tena thamani kwa huyo mwanamke wako, anajua wewe umesha zeeka na hakuna kitu utafanya zaidi ya kusubiria kufa, anajua kabisa atafanya juu chini upate presha au kisukari ili ukae uko ndani na yeye akukalie na kukupelekesha mpaka uitike abeee mke wangu.

Mwanaume unapo zeeka kaa ukijua mwanamke wako uliedanganywa fainali ni uzeeni atazidisha chuki dhidi yako, ataomba ufe mapema na kila mara atakushinikiza ugawe mali kwa watoto na uonyeshe sehemu atakayo kuzikia

Huyo mwanamke uliedanganywa utamuhitaji uzeeni hatotamani kuongoza tena na wewe babu njiani maana anakuona unatembea pole pole kwa kuchechemea , ataona unampotezea muda na kumkwamisha mambo yake,

Huyo mwanamke atageuka kuwa mchawi dhidi yako atatamani akuloge ili yeye kwa akili zake finyu akae ale maisha yale ambayo hakuyala enzi zako ukiwa na nguvu unampangia kila kitu, atajua sasa pata uhuru baada ya wewe kuzeeka na hakuna rangi utaacha kuona..

Ewe kijana usidanganywe fainali ni uzeeni wewe mwenyewe huko duniani unaona kabisa wazee wanavyoteswa na wake zao mpaka wengine wanakufa upesi kwa kushindwa kuhimili mikiki na njaa za uzeeni, huyo mwanamke uliye ambiwa ukizeeka ndiye utakuja kumujitaji na kua msaada kwako kaa ukijua atageuka kuwa mchawi kwako uzeeni na kukushinikiza uonekane wewe ndiye sababu ya kuvunja ndoa ili apate uhalali wa kugawana mali.

Kijana jenga maisha yako ya uzeeni hakuna mwanamke atakaye kuja kua msaada kwako pindi unapo zeeka, hakuna mwanamke atakayekuja kukusaidia chochote uzeeni zaidi ya kukuwahisha kaburini, jenga maisha yako ya uzeeni , kama unataka kuwa mzee ukiwa na mwanamke jenga maisha ya kutokukosa hela uzeeni na uhakika wa kuishi mpaka huyo mwanamke atakapo kuingiza kaburini,
Mwanaume jitafutie hela zako mapema kabla ya kuzeeka.

Hao watu Kwa umri mkubwa wewe mwaume.huwezi kuwa provider huna maana watatafuta watakazopata chochote.

Mwanaume tupunguze malalamiko.
 
Mwanamke hana faida yeyote kwa mwanaume uzeeni zaidi ya kukulipizia kisasi na kukuwahisha kufa mapema

Ndugu zangu kuna misemo na matisho wanayopewa vijana wa kiume huko duniani kuwa wewe mwanaume endelea kukataa kuoa FAINALI NI UZEENI pia wanawadanganya vijana wa kiume kuwa mwanaume akizeeka ana mtegemea sana mwanamke, huu ni ungo na chuki zidi ya vijana waliochagua kutokuoa ili waishi kwa amani, uhuru na furaha tele hapa duniani tena ni wivu kwa hawa wazee wanao zeeka huku wanaonja joto la jiwe kutoka kwa wanawake waliozani watakua msaada uzeeni.

Wanataka na nyie muoe ili mkizeeka mteswe kama na wao wanavyoteswa na hao wanawake huko uzeeni, hawataki kuona mnakuja kua wazee vijana wenye furaha zao za uzee mwema

Mwanaume usidanganywe hakuna mwanamke atakayekuja kua na faida yeyote kwako uzeeni zaidi ya kukuwaisha kaburini ndiyo maana wanawake wanaangalia na wanaume wa kuishi nao ili iwe rahisi kukuangamiza uzeeni, huyo mwanamke uliye naye nikitendo cha muda tuu anasubiri uzeeke ili aanze kukuangamiza na kukulipizia yale yote uliyokua unafanya ujanani kwa kivuli cha kua MWANAUME NI KICHWA CHA FAMILIA NA KIONGOZI WA MWANAMKE HAIJALISHI ULIMTENDEA MEMA AU MABAYA YEYE ATALIPIZA

Ndugu ukweli ni kwamba mwanamke hana faida yeyote kwa mwanaume pindi anapo zeeka bali ni hasara tupu na kukurahisishia wewe mwanaume uwahi kufa kwa stress na vimbwanga vyake vya uzeeni huku akishirikiana na wanao kukutesa mpaka ufe

Mwanaume anapo zeeka na kuishiwa nguvu wanawake wanageuka maninja na walipizi wa visasi dhidi ya huyo mwanaume wake,mwanaume utakapo zeeka fahamu kuwa huyo mwanamke wako unaedanganywa atakusaidia uzeeni atageuka kuwa mgomvi, atakutukana, atakushindisha njaa, atakupa stress kupita kiasi ili kulipia yale aliyoshindwa kukufanyia enzi hizo ukiwa kijana njemba na mwanaume mwenye nguvu zako tele

Wanawake wapo na wanaume kimkakati sana , yupo na wewe sasa hivi akupigi ngumi , akuchomi kisu maana anajua akifanya hivyo utamsokota haswa au utaondoka kwenda kuoa mwanamke mwingine mzuri zaidi yake bali atajifanya mwema ili asubirie ukifika uzeeni akupige ngumi, akutukane na wakati mwingine ashirikiane na watoto wako kukuua ili abaki yeye mwenyewe.

Mwanaume unapo zeeka unakua huna tena thamani kwa huyo mwanamke wako, anajua wewe umesha zeeka na hakuna kitu utafanya zaidi ya kusubiria kufa, anajua kabisa atafanya juu chini upate presha au kisukari ili ukae uko ndani na yeye akukalie na kukupelekesha mpaka uitike abeee mke wangu.

Mwanaume unapo zeeka kaa ukijua mwanamke wako uliedanganywa fainali ni uzeeni atazidisha chuki dhidi yako, ataomba ufe mapema na kila mara atakushinikiza ugawe mali kwa watoto na uonyeshe sehemu atakayo kuzikia

Huyo mwanamke uliedanganywa utamuhitaji uzeeni hatotamani kuongoza tena na wewe babu njiani maana anakuona unatembea pole pole kwa kuchechemea , ataona unampotezea muda na kumkwamisha mambo yake,

Huyo mwanamke atageuka kuwa mchawi dhidi yako atatamani akuloge ili yeye kwa akili zake finyu akae ale maisha yale ambayo hakuyala enzi zako ukiwa na nguvu unampangia kila kitu, atajua sasa pata uhuru baada ya wewe kuzeeka na hakuna rangi utaacha kuona..

Ewe kijana usidanganywe fainali ni uzeeni wewe mwenyewe huko duniani unaona kabisa wazee wanavyoteswa na wake zao mpaka wengine wanakufa upesi kwa kushindwa kuhimili mikiki na njaa za uzeeni, huyo mwanamke uliye ambiwa ukizeeka ndiye utakuja kumujitaji na kua msaada kwako kaa ukijua atageuka kuwa mchawi kwako uzeeni na kukushinikiza uonekane wewe ndiye sababu ya kuvunja ndoa ili apate uhalali wa kugawana mali.

Kijana jenga maisha yako ya uzeeni hakuna mwanamke atakaye kuja kua msaada kwako pindi unapo zeeka, hakuna mwanamke atakayekuja kukusaidia chochote uzeeni zaidi ya kukuwahisha kaburini, jenga maisha yako ya uzeeni , kama unataka kuwa mzee ukiwa na mwanamke jenga maisha ya kutokukosa hela uzeeni na uhakika wa kuishi mpaka huyo mwanamke atakapo kuingiza kaburini,
Ndio maana tunashauri, msipishane sana umri ili uzee uwakute pamoja
 
Ninachojua ni kuwa uzeeni kuna manyanyaso mawili wanaume wanapitia
1. Mke kusafiri saana kusalimia wanae hvyo kuna muda anakuwa mpweke
2. Kwichikwichi sahau kwani mke anajitengea chumba kabsa cha kwake cha kulala
Sijawahi kuona mambo haya kwa mama yangu.
 
Sijui kwanini wanawake huwa wanaamini wanaume tutatangulia kufa! Anyways, tuendelee kuandaa maisha ya uzeeni.
 
Anasafiri kwenda kwa wanae kuwaambia watoto wako utakufa na anawauliza kama kawagaia urithi. Wakisema hapana anaenda mletea vurugu ili afe upesi
🤣🤣🤣 Mkuu umemaliza kila kitu na miongoni mwa fikra ambazo haziwezi kufutika kwenye vichwa vya wanawake ni hili la nani anatangulia kufa kura zote zitamwangukia mwanamme
 
kila mtu acheze ligi yake.
tahadhari na hatua ni muhimu.
sijasema usioe au uoe.
nitaoa lakini si kwa kuifurahisha jamii wala kwa muda wanaotaka wao. nitaoa kwa vigezo na masharti yangu na utayari wangu na kwa tahadhari zangu.
 
Ebu weka mawazo ya kisasa hapa nami nijifunze mkuu mkuu
Ungetumia commonsensical argument mfano ulichosema si kweli hata kidogo labda zamani huko.

Kwanza hata sasa unafikiri kwanini wastaafu huwa wanahitaji pesa zao wakisaatafu?

Kama pesa zingekuwa hazisaidii hata asilimia 40 ya matatizo yao uzeeni, basi kusingekuwa hata na haja ya kuwa na mafao.

That is just one scenario. There’s plenty of others
 
katika hali ya kuugua maradhi ya uzeeni kwa mfano yasiyoambukiza kama kiharusi /stroke,,n.k au katika hali ya ugonjwa mahututi ukiwa umekutandika ukiwa mgonjwa mahututi kitandani au ugonjwa wa kuambukiza
mfano katika kipindi cha janga la ugonjwa wa korona covid 19
MKE PEKEE NDIO MSAADA KWAKO ATAKAYEKUHUDUMIA
Nimeshuhudia wanawake wakiwahudumia waume zao wagonjwa mahututi wasiojiweza wakiwa wanaugua kitandani
Katika hali ya kutokuwa na fahamu,kuwasafisha haja,kuwavalisha pampasi,kuwanywesha uji,maji/chakula,kuwaogesha,na kuwaombea dua njema sala kwa Mungu ili wapone haraka na kuwahurumia na kuwasikitikia kuwafariji.
MWENZA ANA UMUHIMU ,kuna utofauti katika huduma unazoweza kuzipata unapokuwa mgonjwa mahututi ukiwa na mwenza na usipokuwa na mwenza /kuna upweke.

HITIMISHO
Ni vizuri kuwa na MWENZA SAHIHI ,wife material mwenye utu na hofu ya Mungu(kama my wife wangu kutoka Iringa,namuombea Mungu amtunze my wife muhehe ampe maisha marefu)
Mke sahihi ambaye anaweza akawa msaada kwako hata katika kipindi cha shida ukiwa mgonjwa mahututi kitandani,atakayekuombea mema na kukuhurumia .

Ni vizuri kuachana na mwenza ambaye unamuona yupo kwako kimaslahi na hana sifa njema kwako maana (kama yule Mrombo/mchaga)
,kuliko kukosea kuwa na mwenza sahihi .
ni bora kutokuwa na mwenza kuliko uwe na mwenza asiye sahihi kwako,mwenza anaweza asiwe sahihi kwako akawa sahihi kwa mwingine.
 
Kwa kifupi ni kwamba mwanaume unatakiwa kujua interaction yako yoyote na mwanamke iwe urafiki, ndoa n.k basi mwanamke yupo kimkakati.

Kwaiyo usijisahau na kumwamini sana mwanamke mpaka ukaacha hatma yako mikononi mwake
 
Back
Top Bottom