Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #21
Hujui maana ya upendo wa kweli. Ungejua, ungetambua kwamba mzazi hawezi kukutupa hata upate tatizo gani.
Ukweli mchungu sana, wazazi wa leo ni watu wakuwatwisha mzigo watoto wao.
Hakuna mzazi mwenye Nia mbaya na mwanae
Naomba kujua tofauti kati ya wazazi na baba
Umemtaja mwanaume kama mtu mwenye upendo wa kweli anayehudumia mkewe, watoto na pia kuwasomesha na kila kitu kwa upendo tu
Lakini umewashutumu wazazi kufanya hivyo kwa ku expect matokeo
Swali: huyu mwanaume anasimama kama nani sasa
umepiga kwenye mshono basi tegemea povu
bottom line ni kwamba hakuna yeyote anayekupenda unconditionally
upendo wowote ule ni wa faida(maslahi), kama siyo pesa, materiali basi ngono
huko ndoani ndiyo kabisa
Ungetoa hoja kupinga hoja yangu ningekuona unachochote cha maana lakini ulichofanya ni kuonyesha akili yako haitofautiani na hao wazazi niliowataja hapo. Ni hasara.Ukitaka kila siku uonekane unaandika madini ndio matokeo yake haya.....Punguza ujuaji
Naungana na jamaa juu pale umepuyanga parefu
Yes, wanaume tunapenda sana tu.
Tukipaya pesa tunawaza kula na mpenzi wako.
Lakini mwanamke akipata pesa anawaza kuwa huru yaani mwanaume asimsumbue
Wanao watoa kafara kwa Nia kupata utajiri,hao unasemaje?Hakuna mzazi mwenye Nia mbaya na mwanae
Kaka umenijibu maswali yangu mengi sana natamani huu ujumbe umfikie baba yangu aliyenitenga nikiwa sina kitu na kuwajali watoto wengine waliokuwa wakimtumia fedha na zawadi mimi kapuku hata kuulizwa uhali gani ilikuwa mtihani ila Mungu mkubwa amenifanikisha nipo nchi ya ahadi alivyopata taarifa naishi nje ndio akaanza kunitafuta kwa juhudi kutaka yaishe ila najua kabisa upendo hana na mimi ila amenitafuta kwasababu anataka pesa zangu hili andiko lako limenigusa na kunibariki sana .. kiuhalisia wazazi wengi wa wenye roho za kimaskini wapo hivyo na wamefanikiwa kuvuruga watoto wao sana.. nilichojifunza kwenye maisha haya ni kwamba upendo ni utu sio vitu. Mungu akutunze kamanda karibu sana canada.
Kaka umenijibu maswali yangu mengi sana natamani huu ujumbe umfikie baba yangu aliyenitenga nikiwa sina kitu na kuwajali watoto wengine waliokuwa wakimtumia fedha na zawadi mimi kapuku hata kuulizwa uhali gani ilikuwa mtihani ila Mungu mkubwa amenifanikisha nipo nchi ya ahadi alivyopata taarifa naishi nje ndio akaanza kunitafuta kwa juhudi kutaka yaishe ila najua kabisa upendo hana na mimi ila amenitafuta kwasababu anataka pesa zangu hili andiko lako limenigusa na kunibariki sana .. kiuhalisia wazazi wengi wa wenye roho za kimaskini wapo hivyo na wamefanikiwa kuvuruga watoto wao sana.. nilichojifunza kwenye maisha haya ni kwamba upendo ni utu sio vitu. Mungu akutunze kamanda karibu sana canada.
Bil shaka wewe ni huyo mzazi aliezungumziwa hapo, Tafadhali mzazi fulani acha tabia hiyo ni laanaUmepuyanga.
Hio asilimia ya wazazi kutopenda watoto umeipata wapi? Umefanya utafiti gani? Kama wewe hupendwi na wazazi wako usidhani ni wazazi wote wako hivyo.
Mbona kwenye harusi tunawapa watoto wetu zawadi za viwanja au magari? Unaweza kusema mzazi anayempa mtoto zawadi ya thamani kiasi hicho hampendi?
Kifupi, umeandika PUMBA kwa sababu umetoa takwimu bila utafiti. Ni kweli wapo wazàzi wanataka pesa kwa watoto wao, lakini sio wengi sana.
Wazazi wako wanaweza kuwa wameamua kukudao pesa kwa nguvu kwa sababu wamepata ushahidi kwamba pesa zako unakula na malaya tu wao huwakumbuki
Hii ni kwaajiri ya wazazi masikini ambao hawakujijenga wao kimaisha,mwisho wa siku wanaweka nguvu kuwekeza kwa watoto zao ili waje wawasaidie baadae lakini mzazi mwenye akiri anabalance vyote yeye ajiimalishe kiuchumi akizeeka asipate shida yoyote na huku akimtengenezea mtoto wake njia za kujitegemea kiuchumi vile vile asipate shida kimaisha,hapo kwenye mtoto kumsaidia mzazi panakua sio pa lazima labda kwa upendo tuu
Wazazi wa kiduku lilo wanaupendo wa kweli kwa mtoto wao kiduku lilo