UKWELI MCHUNGU: Wazazi wengi hawana upendo wa kweli

Acha kabisa
 
Mama mzazi huyo? Duuh

Mi nisingemsaidia
 
Mwana fasihi umeeandika upumbavu...kumsaidia mzazi ni wajibu wako kama ilivyo mzazi kulea na kukusomesha ili uwe na maisha Bora
 
Mama mzazi huyo? Duuh

Mi nisingemsaidia
Wala hata hahitaji msaada anajiweza vema, shida inakua kwako ukikwama ukiwaza nan anakusaidia ndo unapagawa maana hata ukitafuta msaada kwa wengine wanajua mzazi wako hashindwi kukusaidia maana pesa ipo.
Ni kujikaza tu kutoa salamu na kutimiza Mungu anachotaka lkn rohoni hayupo hata kidogo. Mungu azidi kumueka bibi yangu ingawaje umri wake umekimbia mno
 
Duuh inaumiza sana
 
Umeandika madini ya thamani sana mkuu....kiufupi Iko hvyo anayebisha ajaribu kucompare na kujibu swali Hilo; kwny familia kwann mtoto mwenye kipato (fedha) anapendwa kuliko wengne?
Mr ukweli ndiyo huo
Nakumbuka kunasiku nilihisi mama yangu hanipendi kabisaaa na hana uchungu na nnayo yapitia yeye anachotaka NI pesa

Haijalishi nalala lake nakulaje navaaje anacho taka yeye nihera
Mpaka leo hiii nikiiona namba yake maongezi yake nihera tuuu japo atazungukaa Ila mwisho wa siku pesa tuu

Kiukweli NI biashara sio upendo
 
umeandika sana wakati hata huajelewa, punguza mihemko tumia sense
 
Hapa duniani hakuna upendo wa kweli ,
At least upendo ambao uko close na truth ni WA mama

Yaani upendo wa huku duniani basically ni transaction,
Ni mchezo wa nipe nikupe,
Ukipendwa jua aliyekupenda anameona kitu unaweza kuoffer.
 
Hapa duniani hakuna upendo wa kweli ,
At least upendo ambao uko close na truth ni WA mama

Yaani upendo wa huku duniani basically ni transaction,
Ni mchezo wa nipe nikupe,
Ukipendwa jua aliyekupenda anameona kitu unaweza kuoffer.

Upendo wa kweli ni ule wa mume Kwa Mke.
Mechanism ya kumpenda mtu ambaye hamfahamiani, hamjuani na kumuonea uchungu ni zaidi ya Upendo WA Mama Kwa Mtoto.

Wamama wanatabia kuonyesha upendo wa kuendeshwa na mihemko na sio Upendo halisi. Hasa mtoto ukishakuwa mkubwa.
 
Umepuyanga.
Hajapuyanga. Sababu kuu inayofanya waafrika wazae watoto wengi ni kudhani kuwa wanawekeza. Wanazaa watoto ili watoto waje watunze wazazi, na wala siyo ili wazazi watunze watoto.

Hiyo ni kinyume. Ndiyo maaana utakuta mzazi kama ana mtoto wa kike, yuko tayari kumtuma hata afanye ukahaba ili mradi alete pesa, Huo ni ukatili, roho mbaya na ushetani uliopitiliza.

Wazazi wengi Afrika hawajui wajibu wao, ni washenzi, wapuuzi na wapumbavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…