Bull Striker
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 456
- 1,003
- Thread starter
- #21
Alafu we dada huwa nakupenda sanaaaaaa...basi tuu mchumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo nini kwani?Aaah so mwamba asingekula Leo hivi kama Ruge angekuwepo...Hakika nielewe
Kwani uliye naye, naye si kaliwa sana tu?Huu ndo ukweli...
Mdogo wangu Bilnas ajue kuwa Nandi alikuwa Dem wa Ruge...alikula na akagaraza...sasa ndo hivyo mwamba alivyo tangulia ndo hivi sasa...Show nyingi baada ya Ruge kuwa marehem.
Sasa namtizama Ndugu Nandi Kwa Unafki Kwa Bilnass na huku namtazama Bilnass Kwa kumuonea aibu kama second choice...
Any way ndo imeshakuwa...
NMimi nnachojua hata kama JF mnajifanyaga matajiri ila hakuna kati yenu aliyenunua iphone 16 🤣🤣
Mleta mada acha umbea , basi Nandy aachike uolewe wewe utakayempa Billnas first priority
😂🤣😁HatakujibuNa we mpenzi wako ni dem wa marehemu nani kwani.....😂
We Dem huwa nakupenda we na mwenzioNa we mpenzi wako ni dem wa marehemu nani kwani.....😂
Unanipenda mimi na mwenzangu!!! Unamaanishaje😹😹😹We
We Dem huwa nakupenda we na mwenzio
Na kumbuka ile clip ilivyovuja bilnass akaja mbio kukanusha na kusema kwa sasa Ana mahusiano mapya. NANDY hakumpenda Ruge sema Ruge aalikuwa na kisu kikali refer kwa Ruby😂😂😂😂zaa ndanii kabisa ni kwamba ruge ndo alikuwa anachapiwa na mchizi
Ndio maisha yalivyo, sio jambo la ajabu, hata mkeo anayekupenda saaana,ukifa tu, baada ya muda, anahamisha upendo, anampa mtu mwingine, apige machine, na inawezekana huyu mpya, akapewa kuliko ulivyopewa wewe! It's just life, no big deal, Luge is not coming back,Huu ndo ukweli...
Mdogo wangu Bilnas ajue kuwa Nandi alikuwa Dem wa Ruge...alikula na akagaraza...sasa ndo hivyo mwamba alivyo tangulia ndo hivi sasa...Show nyingi baada ya Ruge kuwa marehem.
Sasa namtizama Ndugu Nandi Kwa Unafki Kwa Bilnass na huku namtazama Bilnass Kwa kumuonea aibu kama second choice...
Any way ndo imeshakuwa...
wewe bwanako uliye naye kwa sasa ni chaguo lako la ngapi?Huu ndo ukweli...
Mdogo wangu Bilnas ajue kuwa Nandi alikuwa Dem wa Ruge...alikula na akagaraza...sasa ndo hivyo mwamba alivyo tangulia ndo hivi sasa...Show nyingi baada ya Ruge kuwa marehem.
Sasa namtizama Ndugu Nandi Kwa Unafki Kwa Bilnass na huku namtazama Bilnass Kwa kumuonea aibu kama second choice...
Any way ndo imeshakuwa...
imekubali brotherNdio maisha yalivyo, sio jambo la ajabu, hata mkeo anayekupenda saaana,ukifa tu, baada ya muda, anahamisha upendo, anampa mtu mwingine, apige machine, na inawezekana huyu mpya, akapewa kuliko ulivyopewa wewe! It's just life, no big deal, Luge is not coming back,
Wengine tumeoa single mothers, na njemba zao za zamani bado zipo hai! Mtoto anatupa Mambo mpaka anaililia! What the heck bro! Sweat not small staff
Ujinga tu, sasa ulitaka Alioleww?. Acha roho mbayaHuu ndo ukweli...
Mdogo wangu Bilnas ajue kuwa Nandi alikuwa Dem wa Ruge...alikula na akagaraza...sasa ndo hivyo mwamba alivyo tangulia ndo hivi sasa...Show nyingi baada ya Ruge kuwa marehem.
Sasa namtizama Ndugu Nandi Kwa Unafki Kwa Bilnass na huku namtazama Bilnass Kwa kumuonea aibu kama second choice...
Any way ndo imeshakuwa...
Nlijua mapunga lazima mjinadi...Mtoto wa kiume kuanza kufuatilia mambo kama hayo, then kuchukua muda wako kuandika a thread kabisa ni dalili dume ya ushoga.