Ukweli ni kwamba Billnass ni chaguo la pili la Nandy baada ya Ruge Mutahaba kufariki

Ukweli ni kwamba Billnass ni chaguo la pili la Nandy baada ya Ruge Mutahaba kufariki

Halafu watu wanaona noma kushea,Billnas alikua anammega Nandy na ilikua inajulikana,yaani ilikua ni MMF,lakini kwasababu Ruge alikua na hela,Billnass ilibidi akubaliane na hali,na hatimaye kamuoa.
Nandy alitoka kwa Bilnas kwenda kwa ruge kwa ajili ya career yake. Ruge amaefariki, nandy karudi kwa Bilnas ikomaanisha kuwa hapo ndipo moyo wake ulipo.

Kuna shida gani hapo
 
Huu ndo ukweli...
Mdogo wangu Bilnas ajue kuwa Nandi alikuwa Dem wa Ruge...alikula na akagaraza...sasa ndo hivyo mwamba alivyo tangulia ndo hivi sasa...Show nyingi baada ya Ruge kuwa marehem.

Sasa namtizama Ndugu Nandi Kwa Unafki Kwa Bilnass na huku namtazama Bilnass Kwa kumuonea aibu kama second choice...
Any way ndo imeshakuwa...
Wewe mwenyewe demu wako sio chaguo lake. Acha kufuatilia maisha ya watu mtoto wa kiume itashikwa T....ko
 
Huu ndo ukweli...
Mdogo wangu Bilnas ajue kuwa Nandi alikuwa Dem wa Ruge...alikula na akagaraza...sasa ndo hivyo mwamba alivyo tangulia ndo hivi sasa...Show nyingi baada ya Ruge kuwa marehem.

Sasa namtizama Ndugu Nandi Kwa Unafki Kwa Bilnass na huku namtazama Bilnass Kwa kumuonea aibu kama second choice...
Any way ndo imeshakuwa...
Hata mkeo au demu wako alikuwa hvyo kwa wanaume wengine kabla ya kumpata waliomgalagaza n wengi hawana idadi
 
Huu ndo ukweli...

Mdogo wangu Bilnass ajue kuwa Nandy alikuwa Dem wa Ruge.

Sasa mwamba alivyo tangulia ndo hivi sasa...Show zimekuwa nyingi baada ya Ruge kuwa marehem.

Sasa namtizama Nandy kwa unafki kwa Bilnass na huku namtazama Billnass Kwa kumuonea aibu kama second choice...

Any way ndo imeshakuwa...
Sa leo wakati watu wanasweemingpool la gitaa...we tulia ndg
 
Back
Top Bottom