sheriff john brown
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 717
- 714
Wanasema kufa kufana, adui muombee njaa. Bill Nenga baada ya vifo vya Godziller na Ruge, mwamba nadhani alienda kuchekea chooni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana ake!!Ko kusamaraizi kwa boss alifata maisha ila moyo upo kwa muhuni sio
Kwani alikua na inshu na ziller pia,kwamba ziller alikua anamla nandyWanasema kufa kufana, adui muombee njaa. Bill Nenga baada ya vifo vya Godziller na Ruge, mwamba nadhani alienda kuchekea chooni.
Uko wapi,,?Unanipenda mimi na mwenzangu!!! Unamaanishaje😹😹😹
"Nakupenda weweee na huyo bwana akooo"
Vp mwamba alikukula nn,maana so nonses zako hivo
Utaandamana kweli wewe? Au atafutwe mwingine?
Familia kawaida sana Mfinanga Mlandizi huko kwa sasa.....Nandy ametoka family bora au maana kelele ni nyingi sanaa.
Nimekumiss sana Joanah, Kila nionapo ujumbe wako ndani mwangu panatokea mpasuko wa chama kama ilivyo kwa chadema ya Sasa!Nachojua mleta mada ni KE
Kwasababu iko wazi adui ya mwanamke ni mwanamke mwenzake
Godzilla alikua na shida gani na Nenga? Maana mtoto wa Godzilla analelewa na NengaWanasema kufa kufana, adui muombee njaa. Bill Nenga baada ya vifo vya Godziller na Ruge, mwamba nadhani alienda kuchekea chooni.
Dada acha wivu wa kijinga... tafta hela... I gia hata kwenye vikoba kama wenzioHuu ndo ukweli...
Mdogo wangu Bilnass ajue kuwa Nandy alikuwa Dem wa Ruge.
Sasa mwamba alivyo tangulia ndo hivi sasa...Show zimekuwa nyingi baada ya Ruge kuwa marehem.
Sasa namtizama Nandy kwa unafki kwa Bilnass na huku namtazama Billnass Kwa kumuonea aibu kama second choice...
Any way ndo imeshakuwa...
wewe hii inakuhusu nini?Huu ndo ukweli...
Mdogo wangu Bilnass ajue kuwa Nandy alikuwa Dem wa Ruge.
Sasa mwamba alivyo tangulia ndo hivi sasa...Show zimekuwa nyingi baada ya Ruge kuwa marehem.
Sasa namtizama Nandy kwa unafki kwa Bilnass na huku namtazama Billnass Kwa kumuonea aibu kama second choice...
Any way ndo imeshakuwa...
Kwahiyo ulitaka kusemaje? Kwamba mtu akifiriwa na mpenzi wake asipate mpenzi mwingine au? Ebu jieleze vizuri Dogo!Huu ndo ukweli...
Mdogo wangu Bilnass ajue kuwa Nandy alikuwa Dem wa Ruge.
Sasa mwamba alivyo tangulia ndo hivi sasa...Show zimekuwa nyingi baada ya Ruge kuwa marehem.
Sasa namtizama Nandy kwa unafki kwa Bilnass na huku namtazama Billnass Kwa kumuonea aibu kama second choice...
Any way ndo imeshakuwa...