Ukweli ni kwamba Billnass ni chaguo la pili la Nandy baada ya Ruge Mutahaba kufariki

Ukweli ni kwamba Billnass ni chaguo la pili la Nandy baada ya Ruge Mutahaba kufariki

Wanasema kufa kufana, adui muombee njaa. Bill Nenga baada ya vifo vya Godziller na Ruge, mwamba nadhani alienda kuchekea chooni.
 
Utaandamana kweli wewe? Au atafutwe mwingine?
 
Utakuwa papai. Olewa wewe. Eti unaona "Aibu" kwahiyo unaangalia chini ukiwaona, aisee
 
Huu ndo ukweli...

Mdogo wangu Bilnass ajue kuwa Nandy alikuwa Dem wa Ruge.

Sasa mwamba alivyo tangulia ndo hivi sasa...Show zimekuwa nyingi baada ya Ruge kuwa marehem.

Sasa namtizama Nandy kwa unafki kwa Bilnass na huku namtazama Billnass Kwa kumuonea aibu kama second choice...

Any way ndo imeshakuwa...
Dada acha wivu wa kijinga... tafta hela... I gia hata kwenye vikoba kama wenzio
 
Huu ndo ukweli...

Mdogo wangu Bilnass ajue kuwa Nandy alikuwa Dem wa Ruge.

Sasa mwamba alivyo tangulia ndo hivi sasa...Show zimekuwa nyingi baada ya Ruge kuwa marehem.

Sasa namtizama Nandy kwa unafki kwa Bilnass na huku namtazama Billnass Kwa kumuonea aibu kama second choice...

Any way ndo imeshakuwa...
wewe hii inakuhusu nini?
 
Huu ndo ukweli...

Mdogo wangu Bilnass ajue kuwa Nandy alikuwa Dem wa Ruge.

Sasa mwamba alivyo tangulia ndo hivi sasa...Show zimekuwa nyingi baada ya Ruge kuwa marehem.

Sasa namtizama Nandy kwa unafki kwa Bilnass na huku namtazama Billnass Kwa kumuonea aibu kama second choice...

Any way ndo imeshakuwa...
Kwahiyo ulitaka kusemaje? Kwamba mtu akifiriwa na mpenzi wake asipate mpenzi mwingine au? Ebu jieleze vizuri Dogo!
 
Back
Top Bottom